SANTANA🐇
@digitalsantana
Followers
3K
Following
20K
Media
348
Statuses
20K
I EVEN LOOK GOOD IN A BROKEN MIRROR.
Stamford Bridge, England
Joined August 2022
WATANZANIA kwa pamoja tushikame kufanya mambo Yafuatayo;- -Tusi --- ENGAGE kwa namna Yoyote ile kwenye post za wasanii, Tusi -- like wala Tusi-- COMMENT chochote. -Tusi -- SUPPORT Jambo lolote la MACHAWA, (+Biashara zao) -Tusi --- ENGAGE kwenye MEDIA zote za ndani ya TANZANIA
52
230
673
Huyu Mama Ana Jeuri sana..!! Kampa MTOTO wake WIZARA, Duh.!!
23
20
123
MORTUARY imejaa Mpaka Mnalundika Watu Kama Dagaa Kweli? Mungu Hachezewi Kiasi Hiki asee..!! Atashusha Gharika Yake Na hakuna Miongoni Mwenu Atayesalia.
35
232
1K
Washauri wa Yule Maza Ndo Wanaompoteza Mara Zote, Hata Haya Matokeo Ya Maandamano ni Yeye Kudanganywa kisha akashupaza SHINGO, Matokeo Yake Amechafua Taswira Ya Nchi, Chama Chake Na Yeye Binafsi, Anguko Ambalo Halitachukua Muda Mrefu Ni Atakapo Gusa CATHOLIC EMPIRE 👋
16
33
151
TANZANIA inaenda kuketi kwa ajili ya kufanya maridhiano Ya Kitaifa, Kwa Mara Ya Kwanza Dunia inaenda kushuhudia serikali Ya JMT ikiundwa na Chama zaidi ya kimoja kama awali (Serikali Ya Umoja wa Kitaifa), Baada Ya Hapo kuna Misiba Ya Vichwa Nguli vitafuata Mfululizo.
21
13
122
Go back to Hell Madafaka..!!
Samia Suluhu atashinda kwa zaidi ya 83%. CHADEMA itaendelea kuzama zaidi katika mifarakano ya kimaslahi. ACT Wazalendo bado itasinyaa katika siasa za Bara. Vyama vya siasa vipya vitaanzishwa. Mbio za Urais 2030 ndani ya CCM zitaleta siasa mpya, zenye mengi ya kushangaza na
28
25
403
Wananchi wa Tarime wakimtaka HECHE, Nusu saa Ni Nyingi polisi watakuwa wameshasema HECHE yuko wapi.
13
49
305
Mwenye Picha Za drones kutokea pale Leaders atuwekee kwenye comment tuone jinsi uwanja ulivyo tapika😂🙌
20
33
260
Washajua furaha yenu ni umbea na ndo maana ile silaha waliokuwa wanaitumia kule IG ndio hiyo hiyo imeletwa humu ndani, Mnapandikiziwa umbea na nyie mlivo na akili kisado mnauvaa mnatoka kwenye reli, Miongoni mwa dalili za ushoga ni kuwa na tabia ya kupenda umbea na kusutana.
24
43
152
Leo Mwanza amekohoa sana Mpaka ameshindwa Kumalizia Speech Yake😂🙌
25
35
257
Kaeni makini na yule stud ni shushushu, Kuna code ameipost ghafla bila kuicrop, alipogundua akafuta chap, Usikae kizembe, na tamaa za papuchi zitawachukua wengi humu.
39
52
445
Nyie mnaosukuma reli hakikisheni siku mkikwama mnapiga simu moja kwa moja NYUMBA NYEUPE msaidiwe, Si mnaona mwenzenu anavyokaangwa? Kashaiva huko anakaribia kupakuliwa, Mnakubali vipi kuuza UTU kwa pesa ya chips yai na soda?
15
45
165
Waungwana, Mmechagua kuupa umbea Mileage sio? Basi SAMIA MITANO tena, taifa la kiduanzi sana hili, kama mwanaume yupo tayari kulilia PAPUCHI na kuapa kuwa mtiifu kisa PAPUCHI hakuna mahala mnaenda, OFF THE MIC 🎤, Acha watawala watawale.
18
25
149
Hivi mmeshtuka?, siku ya leo hakuna reli kabisa za mboga mboga😂😂🙌
26
20
132
Chawa & wapushi reli kazi yenu ngumu sana, Yani mnatumiwa ili kuwaaminisha watu wasiotaka kuamini😂😂😂😂, Kazi yenu ngumu sana ebu ombeni muongezewe POSHO na mpewe KAZI sio kupush reli mnakula padogo wenzenu wanajenga mansion huko.
8
24
149
Wauza PAPUCHI wana umoja sana, Ukimgusa mwenzao, wanakuja wengi kushambulia kama nyuki.
4
16
126
Demu picha zako zote umepigia chooni, Maana yake ni kwamba choo cha hotel au bar kina mazingira mazuri kuliko chumba chako unacholala, Sasa kwanini unaleta standards wakati we mwenyewe Huna hizo standards?
7
30
162