digitalsantana Profile Banner
SANTANA🐇 Profile
SANTANA🐇

@digitalsantana

Followers
3K
Following
20K
Media
348
Statuses
20K

I EVEN LOOK GOOD IN A BROKEN MIRROR.

Stamford Bridge, England
Joined August 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@digitalsantana
SANTANA🐇
15 days
WATANZANIA kwa pamoja tushikame kufanya mambo Yafuatayo;- -Tusi --- ENGAGE kwa namna Yoyote ile kwenye post za wasanii, Tusi -- like wala Tusi-- COMMENT chochote. -Tusi -- SUPPORT Jambo lolote la MACHAWA, (+Biashara zao) -Tusi --- ENGAGE kwenye MEDIA zote za ndani ya TANZANIA
52
230
673
@digitalsantana
SANTANA🐇
2 days
Huyu Mama Ana Jeuri sana..!! Kampa MTOTO wake WIZARA, Duh.!!
23
20
123
@digitalsantana
SANTANA🐇
3 days
SAMIA HASSAN SULUHU ni Muuaji.
2
30
98
@digitalsantana
SANTANA🐇
4 days
MORTUARY imejaa Mpaka Mnalundika Watu Kama Dagaa Kweli? Mungu Hachezewi Kiasi Hiki asee..!! Atashusha Gharika Yake Na hakuna Miongoni Mwenu Atayesalia.
35
232
1K
@digitalsantana
SANTANA🐇
4 days
Washauri wa Yule Maza Ndo Wanaompoteza Mara Zote, Hata Haya Matokeo Ya Maandamano ni Yeye Kudanganywa kisha akashupaza SHINGO, Matokeo Yake Amechafua Taswira Ya Nchi, Chama Chake Na Yeye Binafsi, Anguko Ambalo Halitachukua Muda Mrefu Ni Atakapo Gusa CATHOLIC EMPIRE 👋
16
33
151
@digitalsantana
SANTANA🐇
4 days
Hakuna AMANI Bila HAKI ✅️ Hakuna HAKI Bila AMANI ❌️
9
17
86
@digitalsantana
SANTANA🐇
9 days
TANZANIA inaenda kuketi kwa ajili ya kufanya maridhiano Ya Kitaifa, Kwa Mara Ya Kwanza Dunia inaenda kushuhudia serikali Ya JMT ikiundwa na Chama zaidi ya kimoja kama awali (Serikali Ya Umoja wa Kitaifa), Baada Ya Hapo kuna Misiba Ya Vichwa Nguli vitafuata Mfululizo.
21
13
122
@digitalsantana
SANTANA🐇
23 days
Go back to Hell Madafaka..!!
@daudibalali
Daudi T. Balali
23 days
Samia Suluhu atashinda kwa zaidi ya 83%. CHADEMA itaendelea kuzama zaidi katika mifarakano ya kimaslahi. ACT Wazalendo bado itasinyaa katika siasa za Bara. Vyama vya siasa vipya vitaanzishwa. Mbio za Urais 2030 ndani ya CCM zitaleta siasa mpya, zenye mengi ya kushangaza na
28
25
403
@digitalsantana
SANTANA🐇
26 days
Wananchi wa Tarime wakimtaka HECHE, Nusu saa Ni Nyingi polisi watakuwa wameshasema HECHE yuko wapi.
13
49
305
@digitalsantana
SANTANA🐇
29 days
Mwenye Picha Za drones kutokea pale Leaders atuwekee kwenye comment tuone jinsi uwanja ulivyo tapika😂🙌
20
33
260
@digitalsantana
SANTANA🐇
1 month
Washajua furaha yenu ni umbea na ndo maana ile silaha waliokuwa wanaitumia kule IG ndio hiyo hiyo imeletwa humu ndani, Mnapandikiziwa umbea na nyie mlivo na akili kisado mnauvaa mnatoka kwenye reli, Miongoni mwa dalili za ushoga ni kuwa na tabia ya kupenda umbea na kusutana.
24
43
152
@digitalsantana
SANTANA🐇
1 month
Leo Mwanza amekohoa sana Mpaka ameshindwa Kumalizia Speech Yake😂🙌
25
35
257
@digitalsantana
SANTANA🐇
1 month
Kaeni makini na yule stud ni shushushu, Kuna code ameipost ghafla bila kuicrop, alipogundua akafuta chap, Usikae kizembe, na tamaa za papuchi zitawachukua wengi humu.
39
52
445
@digitalsantana
SANTANA🐇
1 month
Nyie mnaosukuma reli hakikisheni siku mkikwama mnapiga simu moja kwa moja NYUMBA NYEUPE msaidiwe, Si mnaona mwenzenu anavyokaangwa? Kashaiva huko anakaribia kupakuliwa, Mnakubali vipi kuuza UTU kwa pesa ya chips yai na soda?
15
45
165
@digitalsantana
SANTANA🐇
1 month
Waungwana, Mmechagua kuupa umbea Mileage sio? Basi SAMIA MITANO tena, taifa la kiduanzi sana hili, kama mwanaume yupo tayari kulilia PAPUCHI na kuapa kuwa mtiifu kisa PAPUCHI hakuna mahala mnaenda, OFF THE MIC 🎤, Acha watawala watawale.
18
25
149
@digitalsantana
SANTANA🐇
2 months
Hivi mmeshtuka?, siku ya leo hakuna reli kabisa za mboga mboga😂😂🙌
26
20
132
@digitalsantana
SANTANA🐇
2 months
Chawa & wapushi reli kazi yenu ngumu sana, Yani mnatumiwa ili kuwaaminisha watu wasiotaka kuamini😂😂😂😂, Kazi yenu ngumu sana ebu ombeni muongezewe POSHO na mpewe KAZI sio kupush reli mnakula padogo wenzenu wanajenga mansion huko.
8
24
149
@digitalsantana
SANTANA🐇
2 months
CAPTAIN TESHA.. Captain wa Mwaka wa Mbele🔥🔥🔥
11
32
164
@digitalsantana
SANTANA🐇
2 months
Wauza PAPUCHI wana umoja sana, Ukimgusa mwenzao, wanakuja wengi kushambulia kama nyuki.
4
16
126
@digitalsantana
SANTANA🐇
2 months
Demu picha zako zote umepigia chooni, Maana yake ni kwamba choo cha hotel au bar kina mazingira mazuri kuliko chumba chako unacholala, Sasa kwanini unaleta standards wakati we mwenyewe Huna hizo standards?
7
30
162