DAWASA
@dawasatz
Followers
6K
Following
1K
Media
3K
Statuses
4K
We are Committed to Providing Quality, Reliable and Affordable Water, and Sanitation Services!
Dar es Salaam, Tanzania
Joined July 2017
UAPISHO WA VIONGOZI IKULU Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 9, 2026, akimuapisha Bi. Rose Zacharia Ambrose baada ya kumteuwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Hafla ya uapisho imefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
0
1
2
Kaya 47 kutoka maneno mbalimbali katika kata nne za Kunduchi, Wazo, Bunju na Mbweni wamenufaika na zoezi la maunganisho mapya ya huduma ya Majisafi yanayoendelea katika mkoa wa kihuduma DAWASA - Tegeta.
1
0
3
Karibu usome gazeti mtandao Wiki hii Mwenye wa Uhuru 2025 umetembelea miradi minne ya majisafi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 38.1 inayotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika jiji la Dar es Salaam. #tuelimike_pamoja
0
0
3