Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽 Profile Banner
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽 Profile
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽

@babbiekabae

Followers
36,662
Following
492
Media
506
Statuses
41,310

Radio presenter/TV Host| MC | PR executive| Philanthropist| Reggae sista....yurrr!!!

Tanzania
Joined April 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kila Mwenye Mtihani, Allah amuondolee, Kila Mwenye Mazito Allah amfanyie wepesi na kila anae uumwa, Allah amponyeshe. Ameen. Juma’a Kareem.
199
150
3K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Nimechoka, nimechoka Sana na hizi Taarifa za Mtoto wa kiume kulawitiwa! Ewe Baba, ewe Mama, ewe Kaka, ewe Dada, ewe Jirani, ewe Rafiki, ewe Serikali… Mlinde Mtoto wa Kiume!!!!
176
210
3K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Obey Allah & Allah will Reward You. Juma’a Kareem 🙏🏾
Tweet media one
108
58
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ramadhan Kareem.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
213
58
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Siku imeisha hivi...Sun,Sand, Sea...
Tweet media one
235
36
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Hivi, Mbona Dini nyingi zina utofauti kwenye Dhana ya Mwenyezi Mungu, ila Shetani ni huyo huyo mmoja?
281
123
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Asante kwa kutizama kipindi leo... #FridayBiryani Leo wapi wapwa?
Tweet media one
266
40
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Alhamdulillah...Mwenyezi Mungu ameniongezea Mwaka Mwingine, siku ya Leo. Nawashukuru wazazi wangu kwa kunileta Duniani na kunilea. #LionHeartDay 👊🏽
248
22
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Eti Naskia Mnamiss Sana?
Tweet media one
239
46
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kuwa na mtu anaelewa akili yako, fikra zako na hisia zako ni aina nyingine ya kileleni😉
123
97
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ulikuwa na umri gani ulipojua “Mask” kwa kiswahili inaitwa “Barokoa”?
435
86
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Naomba niulize, Kwa nini Leseni ya udereva Ina expiry date? Ina maanisha ujuzi wako ina expire na tarehe? Why does it need an expiry date? Ninaelewa Kama umeongeza ujuzi wa udereva unaweza ku-renew license... but expiry? Sielewi
332
81
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Sasa ngoja nikupe stori.Nilikuwa nimezoea kutongozwa kwa “Vingereza” miaka yote, Mara nilipopatana na kiswahili kutoka pwani, Msa na Zanzibar, MaashaAllah! Ikawa Kama Mashairi masikioni mwangu🥰kuna Namna Kiswahili kina amsha hisia ndio Maana “Nakupenda” ni bora kuliko “I love u”
Tweet media one
137
47
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Hivi ushawahi kumwambia mtu “Nakupenda” alafu hakujibu? Ukafanya je?
299
40
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Nimeangalia movie ya “Contagion” kuhusu virusi vinavyoangamiza Dunia, kama Corona. Kwenye movie wanaongelea, kuosha mikono na sabuni, kutumia sanitizer na social distancing! Movie ilitoka 2011... imenifikirisha Sana!
192
106
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Mahusiano yangu na @ManUtd yananifunza uvumilivu... Haya ni mapenzi ya kweli, tunapitia wakati mgumu, Mimi na mpenzi wangu @ManUtd ...
176
87
2K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Leo nimejifunza Kumbe mifugo inaweza kupata magonjwa ya zinaa...
152
27
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Swali kabla hujaswaliwa... Juma’a Kareem.
Tweet media one
93
36
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
How I joined Twitter 10yrs ago today... Nilikuwa nimelazwa hospitali moja Dsm kwa miezi mingi, sababu ya ugonjwa moja ambayo ilikuwa inahatarisha uhai wangu, DVT. Nilikuwa mgonjwa wa kulala tu, bila kugeuka, wala kusogea. Kabla ya kuugua, nilikuwa natangaza kipindi cha asubuhi, “
233
156
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
“Mwamba amenileta saloon nitengeneze nywele na anasubiria Nje kwa gari”... Kumbe jamaa kama Hawa bado wapo?
200
26
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Juma’a tul Wida Mubarak! Heri ya Ijumaa ya Mwisho wa Ramadan.🙏🏾
Tweet media one
99
29
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ulitizama kipindi cha Clouds360 leo? Tulikuwa na Mwanadada ambae hana viungo Vya Kike wala Vya kiume. Una maoni gani kuhusu kipindi cha leo?
300
38
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Sina raha kabisa Leo...Mwenyezi Mungu anipe Moyo wa Subra, na sio Moyo uliojaa uzito. Ameen.
142
33
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Madeni ya wazazi wetu hatuwezi kuyalipa. Wape nafasi ya Dua Njema katika ibada zako... Juma’a Kareem.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
51
122
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Sikujua Kumbe watu wengi ninaowafahamu wanataka kuwa wabunge...🤔
137
27
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Tumetoka Mbali… Radio Days… Simple Life… Maua Yangu.💐💐💐
Tweet media one
74
29
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Huwa unafanya nini ili kupata Amani Moyoni, akilini?
277
20
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Huyu hapa @masoudkipanya ... Sijui nimuulize huwa anamaanisha nini kwenye katuni. Karibu “Sentro” muda Huu, Saa moja na nusu usiku...
Tweet media one
36
24
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Hivi, Kwani maana ya kikuku ni nini, kama sio urembo wa mguuni? Alafu unajua ni pambo lililoruhusiwa kwa Mwanamke?Aliewadanganya ni nani? Akaaa!
217
26
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Rasta Got Soul…💛❤️💚
Tweet media one
77
36
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Kumbe hizi zipo? Bureeee! Nimezikuta Hospitali ya Serikali.
Tweet media one
263
33
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Kata Simu…Nipo Site💜
Tweet media one
89
27
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Siku Kama hii Mwaka Jana, nilikuwa pabaya Sana kwenye Maisha yangu, matatizo bila suluhu, watu wangu wa karibu niliowaamini walinitelekeza, nilikuwa na Mimba, peke yangu, kila kitu kinanitegemea mimi, Afya yangu ilikuwa na matatizo Sana pamoja na mimba Juu.
156
94
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kupinda ni? kuiba matairi yote na rimu kwenye gari la Kamanda wa Polisi, nyumbani kwake... #Geita
94
37
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kumcha Mwenyezi Mungu, ni Msingi wa Maarifa. Juma’a Kareem 🙏🏾
39
56
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Mwanangu wa kiume amepata Mgeni, rafiki yake wa shule wa kiume. Sasa nasikia wanapiga stori wanacheka,kwa kweli ningependa Sana kusikia stori zao, kwa umri Huu wanaongea nini? Interests zao ni nini? Ila Naona kama mimi ni Mmbea 🤣🤣🤣 Nina serve vinywaji hapa, najifanya Niko busy
100
16
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Namuomba Allah, akuweke kwenye hifadhi na ulinzi wake. Akujalie hitaji la Moyo wako. Ameen. Juma’a Kareem.
53
51
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Rule no.1: Never expect anything from anyone...People will let you down.👊🏽
68
82
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ngoja niku Bless, ili utoe Stress, Niku wish Success.👊🏽
Tweet media one
144
35
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Dear Men,Good Morning, Nimeona Mapema Ndo Best. Kumbuka kuacha hivi vitu. 1.Ukikuta Madem wamekaa pamoja at a table enjoying meal yao,salimia Alafu usepe,don’t pull a seat uketi🙄alafu inaonesha uko desperate. 2.Usijitambulishe “Mimi ni flani, kakake wake Flani (ambae ni maarufu)
206
122
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Blessed Mama’s Day... Mimi na Mamangu.
Tweet media one
65
17
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Hivi,kwani ni lazima wauza Alkasusi wavae Kanzu, baraghashe?🤷🏽‍♀️
155
25
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ulikuwa Mwanafunzi Mpiga kelele, Msomi wa darasa, back-bencher, Mtemi Ama “cool kid” wa Shule? Hutasahau nini ulipo kuwa Mwanafunzi? #Sikuyawanafunzi
270
31
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Niwe mkweli leo, Hamna kitu huwa kinanitesa kama vile Mwanaume akiondoka kwenye mfarakano na sijamaliza kuongea...Hio ni tiba zaidi kuliko Kofi au ngumi. Mwamba ananiweza.
147
21
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Mwamba...Nathamini vile unavyotupenda, Mimi na watoto. Unavyonisaidia kwenye mazito na mepesi ya maisha. Unanipa Amani Moyoni. Unajua kunipenda Mpaka basi❤️ Alhamdulillah.
103
24
1K
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Leo nakuombea upate deal ya kuongeza maarifa na ujuzi kwako...
50
83
997
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Ulikuwa unaniita your Best Female MC /Host of events, hata kabla sijaanza Clouds, ulikuwa unaniita Majina “Queen” na “Your Highness” Leo ninekufanyia Show Yako na Nguvu zangu zote, maana navunjika Moyo. I Miss You Boss Ruge, King!
55
54
996
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ni kitu gani ambacho unachojikubali? What do you love most about yourself?
258
26
982
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Nimepita pale Tanzanite Bridge nikaona couple moja Kama wahabeshi hivi, wameshikana mikono wanatembea hapo kwenye bridge wanacheka, wanafurahi, nywele za bidada zipo hewani, wote wamevaa “gogos” za Jua, Jamaa handsome flani hivi, anamchesha mwanamke wake. What a beautiful Moment!
111
36
980
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Eti hii ndo inaitwa “Blue Bahari”? #MistyBlues 🦋
Tweet media one
149
27
972
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
“Unachokitupa kwa Dharau, wenzio watakiokota kwa furaha.” #ChooseDay
56
72
957
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kuna watu wanakupenda na wanakuthamini ingawa hawakufahamu. Na Kuna wale wanakufahamu Sana ila hawaoni thamani yako. Huyu ni Binti Dorah, ana upofu, ila kila asubuhi huwa anasikiliza sauti yangu. Nimetumiwa picha na Babake Mzazi. Dorah, Nimekuthamini Sana. Asante...🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Tweet media one
65
61
950
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Najiuliza na mimi sio mtu wa IT, Lakini ni server ya aina gani IEBC wanatumia na internet ya aina gani kwa siku zote hizi, masaa 24 kwa siku inatumika na kumbuka mtu yeyote anaweza access hio portal, popote duniani na sijasikia “system crush ama system overload” 🤔
121
76
954
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Harusi Tunayo…🥰🥰🥰
Tweet media one
64
18
917
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Hapa najishauri, niende au nisiende #TOTBonanza2020 ... nataka nikutane na wapwa, ila pia pilau inahitajika home na Mwamba!🤷🏽‍♀️
97
14
923
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Eti, ukikaa na Waridi? My moment of “Elevator Pitch” with Tanzania Business Mogul Rostam Aziz...
Tweet media one
29
12
924
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Ofisi za umma, hii issue wanakuomba document flani, Alafu unatumwa mbali Nje huko kuchapa photocopy, na ipigwe Muhuri wa mwanasheria, Mbona Msiwe na mashine ya photocopy hapo hapo na Mwanasheria hapo hapo?
81
56
941
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
“How I met Ruge Mutahaba...It was a Sunday night circa early 2000, tulikuwa Slipway Masaki na Rodney Mutie (Rest In Power Sire)my friend and Boss of EA Radio then, tumekula dinner now tunapata drinks, alafu wakati tunaondoka tukakutana na kundi la “watu” wa Clouds, Joseph Kusaga
126
110
922
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kati ya Trump na Biden, Nani kashinda Round 1, mdahalo wa leo asubuhi?
123
15
899
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Nimepita sehemu wanauza brassiere (sidiria), Mpiga debe anavutia wateja, anasema “Vifuniko Vya asali, Bei nzuri” 🤣🤣🤣
103
54
888
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Mwenyezi Mungu atufungulie Nuru Katika Maisha yetu na atufungulie milango ya Kheir na Rizki ya halali kwetu sote. Juma’a Kareem...🙏🏾
49
46
886
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Basi,leo nimepitia mjini pale kwenye mataa ya Maktaba, Kaja teja kapiga teke tairi langu la Mbele na kioo changu kilikuwa nimekisusha. Mara akasikia mdundo wa reggae kwenye gari, akaomba msamaha...akaanza kucheza. Lutan Fyah “Ungrateful” Day Made👊🏽👊🏽👊🏽🤣
58
43
879
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Kama ungalijua yanayoongelewa nyuma yako, ungeacha kuwachekea watu wengi Sana.
53
54
868
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
10 months
Samahani, ni tozo zipi zimefutwa? Sababu nimetuma hela jioni Leo nimekatwa M-Pesa Fee Tshs 1,440. Ama Mimi ndie sijaelewa?
147
43
882
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Fundi Yupi anazidi janja janja, Nguo, Gari, umeme, Ujenzi, fanicha na wengine...
195
20
848
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Ninazidi kuelewa kuhusu Subra na kutumia muda kukaa na familia... Hizi moments muhimu Sana. Heri Ya Mwezi Mpya, Subra huvuta Heri.
64
35
862
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 months
Wiki hii nimekuwa kwenye series of meetings na Mhindi Mmoja Tajiri Sana wa EA. Kila mkutano Yupo na Mwanae wa kiume Kama (25yrs), kila decision, plan and change tunayojadili, Mwanae yupo anashauri. Nimehusudu Sana hio (succession plan) ya huyu Mhindi. Sisi huwa tunakwama wapi?
111
92
888
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Flying the Wings of Kilimanjaro @AirTanzania ... Asante Sana Capt. Alidina.👊🏽
Tweet media one
23
15
836
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
True Colours👊🏽
Tweet media one
81
32
855
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
....Ewe Allah, nakuomba Ijumaa ya leo umnyanyue msomaji wa msg hii, umfanyie wepesi mambo yake, umsamehe dhambi zake, umuondolee mazito kifuani mwake, umjaalie moyo ulioshiba kukushukuru wewe. Yaa Rabbi mpe siha na afya na umruzuku neema zako daima Ameen. Juma’a Kareem 🙏🏾
98
46
842
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Hiviii, wenzetu wahindi wanawezaje kuwa na “Madada wa Kazi au wafanya kazi kwa miaka mingi hivyo? Hawa Wadada wa kazi ni mtihani Kweli kweli, kwanza unavyoendelea kumzoesha upendo na ufamilia, ndo Bassss!
204
41
855
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Timu ya Taifa!!!👊🏽👊🏽👊🏽👊🏽Hongera Sana My G...👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
@millardayo
millardayo
4 years
Waziri Mkuchika kwa Mamlaka aliyopewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Hassan Ngoma kuwa Katibu Tawala Wilaya ya Singida akichukua nafasi ya Wilson Shimo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyang’wale Mkoani Geita. #MillardAyoUPDATES
Tweet media one
132
60
2K
131
23
826
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Huwa inakutokea? Unaongea na simu dk2 au 3 Alafu ghafla humsikii huyo mtu, alafu simu inajikata unaona “call failed”? Au ni simu yangu tu inadukuliwa?
117
18
814
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Inna Lillahi wa Inna Ilayhi Rajiun... Juzi tu Kibonde, Juzi tu tunapanga ratiba ya Boss Ruge...Allah! ya Allah!
79
60
823
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Mabalozi wa Mazingira... Tukiadhimisha siku ya Mazingira hapa Jakaya Kikwete Convention Centre. “Tutumie Nishati Mbadala kuongoa Mifumo Ikolojia.” Mazingira ni Urithi Wetu.
Tweet media one
51
30
832
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Nimepigiwa simu na Ustaadh wa watoto wangu, kuniuliza kama Tumefika Salama. Nikamuuliza wapi? Akasema amefika nyumbani leo kuwafunza watoto, wakamwambia wanasafiri Zanzibar leo kwa hio hawawezi kusoma...🙄
89
14
813
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Benki ya NMB yazindua Asasi ya NMB Foundation kuimarisha uwekezaji wake kwa Jamii.
Tweet media one
41
42
798
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
“Mjinga anaweza kuwa maarufu kwa ujinga wake na mtu wa Maana akaonekana hana Maana.” #ChooseDay 👊🏽
57
55
807
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Wanaume wangapi washamlilia manzi wao vile Faiza amemlilia Sugu? #Tujuzane
166
19
776
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Legeza mkono wako kwa kutoa sadaka, zitalelegea kamba za matatizo yako yanayokuzunguka... Juma’a Kareem!
31
77
768
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Moment with Kakangu @jaliluzaid
Tweet media one
30
31
768
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Biryani Tamu Dar Es Salaam niipate wapi? Nipe location...
128
9
745
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
We have lost another Tanzania Legend, Father, Mogul and the 1st Billionaire that ALL Tanzanian’s aspired to be...Mzee Mengi, umetufundisha Mengi, tunajivunia kuwa wewe ulikuwa Baba Mlezi wa Wengi, Pumzika Baba. Rest In Peace Dr Abraham Reginald Mengi. 🙏🏾
29
74
753
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
There is no peace without prayer... Juma’a Kareem 🙏🏾
24
29
760
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Hii Blouse nimevaa imevaliwa tangu 1970 na Mamangu…👊🏽👊🏽👊🏽
Tweet media one
58
15
744
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
2 years
Wear Your Hat…As a Crown!🙌🏾
Tweet media one
54
25
738
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
kila mtu anaishi maisha tatu, ya wazi, ya binafsi na ya siri. Eti ni kweli?
43
21
734
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Eti ulisema tunakutana saa ngapi vile? 😉 #FridayFleva
Tweet media one
125
6
734
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Wanaume... kuchapa au kutokuchapa watoto? Una muadhibu vipi mtoto?
115
9
713
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Salaam kutoka Serengeti... #SerengetiSwag #ValentineMbugani
Tweet media one
98
20
726
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Tonite... We Dance.
Tweet media one
49
17
712
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Kwa hio tuna wa-unfollow AS Villa na ku-follow Fenerbahçe?
71
18
714
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
1 year
Update: Tumerudishwa hapa kivukoni, sababu tunaelezwa ni kwamba MV Magogoni ninkama imepata engine knock, na MV Kigamboni inapepesuka kwa upepo, inapoteza njia, haipo. Na MV Kazi, kutokana na wingi wa Abiria huko magogoni, haiweze kubeba na magari. So, tumeombwa radhi.
91
30
730
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Nimemuuliza mwanangu mwenye miaka 9, huwa anajisikia je, kuenda shule ambayo ipo na Msikiti humo humo? Amenijibu, huwa anajisikia salama ni kama wamelindwa dhidi ya uovu...Juma’a Kareem!
40
48
715
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
4 years
Sio upofu wa macho na giza inayosumbua, ni upofu wa Moyo.
33
30
707
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Yajayo yanafurahisha! Huyu ni @IlhanMN , mwanadada Kijana ambae ameshinda uchaguzi wa kuwa Mwakilishi wa Congress, Minnesota, Marekani. -Ilhan alikuwa anaishi kwenye kambi ya wakimbizi, Daadab Kenya. -Alikuwa hajui kiingereza alijifunza kwa kuangalia TV.
Tweet media one
46
75
687
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Sometimes you block your own blessings, by telling everyone your business...
38
116
681
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Mwamba Amesema niwasalimie kidogo...❤️ #MalkiaWaNguvu
Tweet media one
74
16
667
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
5 years
Tufurahi kidogo...👊🏽
81
42
668
@babbiekabae
Babbie Kabae aka SistaDread👊🏽
3 years
Unforgettable memory yako ya 2020 ni...
118
13
659