#UZI
#BusaraZaBonge
My future wife ita na mashoga zako na wake watarajiwa wa watu wengine kuna ujumbe wenu hapa. Usilalamike ukaona kuwa sijali confidentiality kati yatu, hapana! nafanya hivi kwa maslahi ya wengi.
Hakikisha kwenye cycle yako haukosi hawa watu.
1. Mwanasheria
2. IT guy
3. Someone from law enforcement units.
4. Daktari
5. Mission town.
6. Dalali.
7. Someone anaewajua watu. (Wanaokoa sana hawa)
Dear men.
Mara mojamoja mtoe out huyo mpenzi wako mpeleke hata mkale pizzah.
Ni aibu kubebewa manzi kisa kuna mshkaji alimtoa ushamba kwa kumpeleka Pizzah hut.
Ahsante.
Anachotaka US na wenzake ni sawa na Russia kwenda kuweka missiles Mexico au Canada..
Wasingekubali na kingewaka. So kwa kiasi fulani Russia yupo sahihi.
Wacheza mpira wanawake wa Tanzania.
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kuwa mchezaji mpira na kujiweka kiumeume?
Frame 1: Ivan Fuso plays for Brasil and ManUtd women teams.
Frame 2: Mynaco Hamis plays for Simba queens.
Wapeni somo hawa watoto wajikubali kama wanawake.
Dear Ladies.
Wanaume hatupendi kuombwa ila tunapenda kutoa.
Na kuna namna ya kutufanya tutoe bila kuombwa. Stop being too much demanding GFs. mnaboa.
Nimetumwa na nishalipwa, i hope ujumbe umefika.
Nakumbuka kipindi tunatoka home kigamboni kwenda shule kila asubuhi pale ferry. Huyu askari alikua ni zaid ya askari yaani kama mwalimu vile. Usumbufu wa watoto wa Bunge na Olimpio kwenye pantoni na kipindi tukiwa na changamoto za ferry wakati wa matengenezo.
He deserves a medal
Unfollow Dar mpya blog
Tunataka katiba mpya.
Unfollow zack madagaa
Tunataka uhuru wa habari.
Unfollow lubasha
Msimpigie kura zuchu
Msiangalie clouds
Unfollow millard ayo
Msimpigie kura diamond
Hivi nyie watu mnajikuta akina nani labda?
Kumbe mwanangu kelele zote zile za njoo kuna mchongo sijui fursa za kupiga hela. Nikikuuliza ni issue gani hautaki kusema unasema nije tu sitojutia nauli yangu. Ona sasa umenitoa Moro nmeacha mambo yangu nmekuja Dar kumbe unaniitia huu upupu wa global allience?
Mwaka mmoja uliopita na siku kama ya leo niliuaga ubachela na kumuoa Mama Buthayna. Happy 1 year anniversary to us.
Nishakua mwandamizi sasa. Njoeni mniombe ushauri wa mahusiano na ndoa 😂
Dear women
1. We dont care about your education.
2. We dont care about your wealth.
3. We dont care about your status
But
1. We need loyalty
2. Submission.
3. Good sex.
4. Respect.
It is what it is!!
Wanapenda marafiki wa kiume kwa sababu wananufaika with so called urafiki.
Kwavile tumezoea kuwafanyia favor wanawake, utamlipia nauli, utamtoa out na usipoangalia unaweza mpa hata treatments kama unazompa GF wako.
That is the main reason.
#BREAKINGNEWS
: Klabu ya Yanga imeingia mkataba wa Miaka 10 na AZAM TV wa Haki za matangazo za Klabu kupitia YANGA TV.
Mkataba huu una thamani ya BIL 34.8.
Pale Shawarma restaurant wanahisi kila aneenda kula pale ni mtoto wa chuo.
Huduma mbovu mno. Jana tumemaliza kula tu hapohapo tunaambiwa tuondoke ili watu wengine wakae wale. Hapo bado tuna vinywaji mezani na pesa hatujalipa bado. Nilistaajabu sana. Some of us hata kunawa bado.
16 Yrs- I need a guy who can sing.
18 Yrs- I need a guy with swaggs
20 Yrs- I need a handsome guy, well dressed and presentable.
22 Yrs- I need a self sufficient guy.
23/24 yrs- I need am man who can take care of me.
25-27Yrs- I need a man with attitude.
28-30 Yrs- Just a man 🥺
Uharibifu uliofanywa na majeshi ya NATO katika ardhi za mataifa huru ya Palestine, Libya, Iraq & Afghanstan.
Sadly hatukusikia hizi kelele za ubinadamu ambazo zinapigwa sasa hivi.