Andity Purre Mwana Rajabu Profile Banner
Andity Purre Mwana Rajabu Profile
Andity Purre Mwana Rajabu

@abaanzinza

Followers
8,943
Following
3,781
Media
3,950
Statuses
49,333

Mwl (His&Kisw) VOA, Poet, writer, Photographer, Gdesigner 😀 #BusaraZaBonge #AbaaShots 📸 LFC❤ 0714887225 @udsmalumni SIIPENDI MANU

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
#UZI #BusaraZaBonge My future wife ita na mashoga zako na wake watarajiwa wa watu wengine kuna ujumbe wenu hapa. Usilalamike ukaona kuwa sijali confidentiality kati yatu, hapana! nafanya hivi kwa maslahi ya wengi.
Tweet media one
69
189
587
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Hakikisha kwenye cycle yako haukosi hawa watu. 1. Mwanasheria 2. IT guy 3. Someone from law enforcement units. 4. Daktari 5. Mission town. 6. Dalali. 7. Someone anaewajua watu. (Wanaokoa sana hawa)
195
353
2K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
1 year
Unaweza date binti wa Kizanzibar hata miaka mi4. Siku ghafla bin vuu unapokea hiyo message.
Tweet media one
115
70
2K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Nipo chuo hapa UDSM namalizia clearence.. Nimekutana na graduates wenzangu. Asee graduates tumechakaa balaa.. 😂
88
36
2K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Wanaume tunapitia mengi. Kuepuka aibu na stress ndogondogo kama hizi bora afichwe tu.
Tweet media one
381
231
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Hili la kupandisha mashoga jukwaani ndugu yenu amekwama parefu sana.
96
48
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Dogo njoo Oman kuna mchongo. Ramadhan sasa 😂😂
Tweet media one
78
49
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Dear Muslims. Kama hauna ufahamu mzuri wa dini na historia kuhusu hili jambo nakuomba usiseme chochote. Ahsante.
69
85
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Nenda jikoni kamwambie mama ako unataka mdogo wa kucheza nae.
Tweet media one
50
56
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
When you see a man fall. Don't laugh, learn.
Tweet media one
42
89
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Men. Sababu gani umewahi kupewa wakati unaachwa? Mimi niliwahi kuambiwa "You are too nice and childish" 🥺
178
36
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Happy 25th birthday to me.
Tweet media one
196
44
1K
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Washkaji, Mnajua kwanini hamtoboi?, Mnaendekeza umalaya. Mtu mmoja wanawake 8 wa kazi gani. Nimetumwa na nimeshalipwa.
130
49
972
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Kuna mambo mengine ni ya kujitakia na kupima uvumilivu wa mwenye mamlaka. Kaeni chini na huyu binti munfunze adabu.
Tweet media one
410
61
972
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
I stopped watching WWE when Rey Mysterio won this match 😂😂
Tweet media one
56
73
985
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Binti anakuja kwako anakaa wiki nzima na hushtuki. Hana wazazi kwani?
64
31
901
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Uislamu ulipokataza mwanamke kusafiri peke yake walisema uislamu unamkandamiza mwanamke. Mwanamke anahitaji kulindwa wazee, Streets are very rough.
57
86
893
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Kigamboni kuwa single utake. Nipo ferry hapa bebez kama zote.
53
13
651
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Sijui ni lini ila ipo siku tutabebwa humu.
Tweet media one
45
56
639
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Ndiyo maana tuliambiana humu habari za kupostiana ni miyeyusho. Ona sasa jamaa safari ya Mbeya ishakua chungu. To make long story short #TwitterChaos
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
178
54
598
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Warere imerudi kwenye rate yake ya 4.4🤝
Tweet media one
Tweet media two
36
80
597
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Things i hate. 1. Niwashie hotspot.
72
29
586
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Hii couple inaniinspire 😀
Tweet media one
26
15
585
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Sio kila mtu ni kupewa nchi. Urais uheshimiwe.
Tweet media one
62
14
563
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
It is June 29, Happy birthday to me!
Tweet media one
84
24
545
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Mnaowasifia wanawake wa Kizanzibar kwa mapishi ni kwaajili ya haya mamichuzi au?
57
11
549
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Halal is beautiful ❤️ #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
33
51
556
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Make it halal ❤️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
40
30
509
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Mafundi ujenzi hata uwalipe milioni bado wataiba mfuko wa Cement. Hii laana sijui aliwaachia nani!
55
19
498
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Dear men. Mara mojamoja mtoe out huyo mpenzi wako mpeleke hata mkale pizzah. Ni aibu kubebewa manzi kisa kuna mshkaji alimtoa ushamba kwa kumpeleka Pizzah hut. Ahsante.
46
21
500
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
This is Sardalama 📸 #PichaZaSimu
Tweet media one
34
46
505
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
It is 29 June Happy birthday to me!
91
13
487
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Chuo kinafanya graduation kwenye matenti. 😂😂😂.. Habiby, Come to UDSM.
38
13
486
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Anachotaka US na wenzake ni sawa na Russia kwenda kuweka missiles Mexico au Canada.. Wasingekubali na kingewaka. So kwa kiasi fulani Russia yupo sahihi.
47
27
455
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Ila wadigo. Yani darasa moja lina "SALMA MOHAMMED" watano.
32
15
446
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
"WEWE SIO MZURI NI MWEUPE"
33
18
449
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
"Siku mtakapoyasikia mataifa ya kimagharibi yananizungumzia vizuri na kunitaja kama mtu mwemaa. Bas mjue kuwa niliwasaliti." -Samora Machel-
Tweet media one
6
102
452
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Sina uhakika, Ila nina imani kuna namna angetuvusha kwenye hili.
36
12
434
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
You know nothing about production my friend.
@nulphin
Dr Calipso
2 years
Tajiri nae kashaanza kutupanga Bilioni 56? 😁😁
Tweet media one
99
13
374
61
8
427
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Wacheza mpira wanawake wa Tanzania. Hivi kuna uhusiano gani kati ya kuwa mchezaji mpira na kujiweka kiumeume? Frame 1: Ivan Fuso plays for Brasil and ManUtd women teams. Frame 2: Mynaco Hamis plays for Simba queens. Wapeni somo hawa watoto wajikubali kama wanawake.
Tweet media one
Tweet media two
70
40
422
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
18th March 2023. #Alhamdulillah 🙏🏾 📌
Tweet media one
98
45
427
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
My views! I stand to be corrected.
Tweet media one
110
27
416
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
7 months
Watu walipewa mpunga waende IvoryCoast wakamsajili Pacome wenyewe wakarudi na Kramo.
16
16
428
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Dear Ladies. Wanaume hatupendi kuombwa ila tunapenda kutoa. Na kuna namna ya kutufanya tutoe bila kuombwa. Stop being too much demanding GFs. mnaboa. Nimetumwa na nishalipwa, i hope ujumbe umefika.
33
49
397
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
Nakumbuka kipindi tunatoka home kigamboni kwenda shule kila asubuhi pale ferry. Huyu askari alikua ni zaid ya askari yaani kama mwalimu vile. Usumbufu wa watoto wa Bunge na Olimpio kwenye pantoni na kipindi tukiwa na changamoto za ferry wakati wa matengenezo. He deserves a medal
32
20
382
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Jumaa kareem Halal is beautiful ❤️
Tweet media one
Tweet media two
47
26
378
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Halal is beautiful ❤️ #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
21
368
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Unfollow Dar mpya blog Tunataka katiba mpya. Unfollow zack madagaa Tunataka uhuru wa habari. Unfollow lubasha Msimpigie kura zuchu Msiangalie clouds Unfollow millard ayo Msimpigie kura diamond Hivi nyie watu mnajikuta akina nani labda?
79
28
355
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
1 year
Alhamdulillah for the another year +1. Happy bday to me!
Tweet media one
82
25
360
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
1 year
“Unaweza kuwa na umuhimu, lakini sio kama unavyodhani.”
Tweet media one
29
30
362
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
Kumbe mwanangu kelele zote zile za njoo kuna mchongo sijui fursa za kupiga hela. Nikikuuliza ni issue gani hautaki kusema unasema nije tu sitojutia nauli yangu. Ona sasa umenitoa Moro nmeacha mambo yangu nmekuja Dar kumbe unaniitia huu upupu wa global allience?
Tweet media one
44
20
333
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
9 months
Allah ameibariki nyumba yetu kwa mzaliwa wa kwanza. Tumejaaliwa kupata binti. Alhamdulillah
68
24
360
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Dogo njoo Oman kuna mchongo.
Tweet media one
49
14
339
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
6 months
Mwaka mmoja uliopita na siku kama ya leo niliuaga ubachela na kumuoa Mama Buthayna. Happy 1 year anniversary to us. Nishakua mwandamizi sasa. Njoeni mniombe ushauri wa mahusiano na ndoa 😂
Tweet media one
Tweet media two
47
28
351
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 months
Kuna msanii akiimba hivi atapasuka koo.
24
54
339
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Makumbusho, Dar-es-Salaam, Tanzania 🇹🇿 📍 Day or Night? #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
19
53
318
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Congratulation 😊 #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
16
319
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Couple goals 😍 I see Us 😃
Tweet media one
30
8
325
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Japo kwa kuchelewa, ila tulibahatika kuokota shots mbili tatu. #TOTBonanza #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
10
16
316
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Mwanaume unakuaje na uzito chini ya kilo 80?
58
3
317
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Unasema familia yako ina matatizo! Unaijua familia ya Agah Karacày wewe?
Tweet media one
42
12
313
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Wangapi wanaamini kwenye Polygamy?
49
5
303
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Siku mbili viewers mia tisa, kwanini usiwe na stress.
Tweet media one
33
4
293
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
1 year
Dear women 1. We dont care about your education. 2. We dont care about your wealth. 3. We dont care about your status But 1. We need loyalty 2. Submission. 3. Good sex. 4. Respect. It is what it is!!
20
58
307
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Inna lillah wa inna ilayhi raajiuun 🙏🏼
Tweet media one
28
17
300
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Tumezoea kuzodoana. Ila hizi jezi ni kali.
17
13
295
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Wanapenda marafiki wa kiume kwa sababu wananufaika with so called urafiki. Kwavile tumezoea kuwafanyia favor wanawake, utamlipia nauli, utamtoa out na usipoangalia unaweza mpa hata treatments kama unazompa GF wako. That is the main reason.
31
40
294
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Haijishi unapitia magumu kiasi gani. "USIACHE KULA"
Tweet media one
32
12
274
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Ukitoboa usituone wenzako tunaosota ni wazembe. Ni Mungu tu ameamua kukuneemesha.
8
32
280
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
0
0
264
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
Teknolojia😂. Wapwa hii kitaalamu imekaaje?.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
66
19
278
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
Unaambiwa; Tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 mpaka leo wangoni bado superstar wao ni Bambo. Watani zangu mnafeli wapi? #WapwaTuinuane
37
14
277
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
It is monday again 😀
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
17
272
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Let me be your favourite photogrpaher. #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
24
266
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Zuchu aachane na Live mpaka atakapokuwa tayari.
21
3
272
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Dear men. It is just fine saying "You are asking too much, I'm just a boyfriend". Thank you.
20
41
273
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Mzumbe 📍 #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
18
261
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Vaeni bra jamani. Mnatutesa 🥹
38
11
270
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Ningenunua hizi, ni vile tu sina wa kuvaa nae 🚶
Tweet media one
31
8
261
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
She is beautiful ❤️ Kilwa 📍 #NapendaSafari 🚌 #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
22
20
250
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Njaa mbaya kweli 😂😂😂... Labda kama ana haki miliki ya neno "Zunguka"
Tweet media one
Tweet media two
48
4
248
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
#BREAKINGNEWS : Klabu ya Yanga imeingia mkataba wa Miaka 10 na AZAM TV wa Haki za matangazo za Klabu kupitia YANGA TV. Mkataba huu una thamani ya BIL 34.8.
Tweet media one
19
23
245
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Love is the beautiful thing ❤️ #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
26
248
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
4 years
Haya kumekucha... kuna dogo anamuambia baba ake amesahau namba yake ya mtihani 🤣🤣
13
7
239
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Pale Shawarma restaurant wanahisi kila aneenda kula pale ni mtoto wa chuo. Huduma mbovu mno. Jana tumemaliza kula tu hapohapo tunaambiwa tuondoke ili watu wengine wakae wale. Hapo bado tuna vinywaji mezani na pesa hatujalipa bado. Nilistaajabu sana. Some of us hata kunawa bado.
30
10
248
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
16 Yrs- I need a guy who can sing. 18 Yrs- I need a guy with swaggs 20 Yrs- I need a handsome guy, well dressed and presentable. 22 Yrs- I need a self sufficient guy. 23/24 yrs- I need am man who can take care of me. 25-27Yrs- I need a man with attitude. 28-30 Yrs- Just a man 🥺
30
33
233
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
1 year
Wanaume. Let your parents (Mother&Aunt) point someone for you. Wallah hutojuta. Asante.
49
15
239
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Hivi ndio vichwa vya kuvisikiliza sasa. 1. Jordan Peterson 2. Ben Shapiro 3. Andrew Tate.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
21
26
235
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Kuna kipindi nilikua naona mzee kama anazingua hivi. Ila kadri miaka inavyozidi kwenda nabaini kuwa sisi ndio tulikua tunazingua.
10
22
234
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
1 year
Watu wa Zenji. Hizi HONDA Today za mtumba ni sh ngapi? Na utaratibu wa kuzitoa Zenji mpaka Dar upoje?
Tweet media one
23
7
234
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
"Futa na uombe radhi"
18
4
227
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Usidanganyike na "CIAO".. Omba date tena mchana sio usiku. Hakikisha kwanza kama yaliyomo yamo ndiyo mengine yaendelee.
13
10
211
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Gharama za maisha zimepanda. Vipi mahari elekezi imefika sh ngapi?
6
6
214
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Uharibifu uliofanywa na majeshi ya NATO katika ardhi za mataifa huru ya Palestine, Libya, Iraq & Afghanstan. Sadly hatukusikia hizi kelele za ubinadamu ambazo zinapigwa sasa hivi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
36
38
215
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
5 months
I had to post these two. 😂
Tweet media one
Tweet media two
26
16
213
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
2 years
Watu wanamind wenzao kupush hashtag. Tunapangiana sana maisha humu ndani.
9
12
204
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Unafahamu nini kuhusu historia ya tawala kongwe ya Kilwa. #NapendaSafari 🚌 #AbaaShots 📸
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
21
16
192
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Nani hajablockiwa na Evarist Chahali? 😂😂
40
3
197
@abaanzinza
Andity Purre Mwana Rajabu
3 years
Dear ladies. Ukiachana na sex what else can you offer kwenye mahusiano yako?
14
8
193