Nimetoka late gym kama nimebeat after kuinua deadlift 90kgs halafu nikakosa mat, nikaamua nitembee, napatana na tujamaa tuwili combined weight ya kidū 60kgs tukiwa kwa nduthi tukaniambia nitoe simu. Haha nimefurahi sana juu mkono imekaa bila kufunguka..anyways nauza hii RT widely