Ig @william_andason
@WiliamAndason
Followers
24K
Following
40K
Media
3K
Statuses
66K
@afya_kwawote |Health Writer|#ZuiaUkatii|#AfyaKwaWote
Joined April 2012
Huko Iringa kuna kijana (dereva bajaji) kamuua mtoto wake wa kumzaa mwenye miaka 4, kisha kumkatakata vipande vidogo vidogo kama nyama buchani na kuvitupa chooni. Kisa ni imani za ushirikina kwamba atakua tajiri.
0
0
0
Kama Girlfriend wako ni mtu wa Kilimanjaro, Arusha au Manyara. Kaka jitahidi sana usimpoteze ni bahati kuwa naye ni baraka kumuoa🙌🏿
1
0
5
Homeowners insurance is your safety net when a hailstorm wreaks havoc on your roof. Before a conversation with a professional roofing contractor, get started with these tips.
26
49
503
Nitukio Gani Ulifanya/ Mlifanya Shule Huwezi Sahau?
0
0
1
Wakuu Kama unataka kupata Mke Pita. 1. Mara kama Unaelekea Mwanza. 2. Tanga Lushoto 3. Pwani Bagamoyo 4. Kasulu Kigoma 5. Kiela Mbeya 6. Bila Kusahau Singida. Ukitaka Kuona Raha ya Ndoa.
2
0
0
Wadada wanaodumu kwenye Ndoa. 1. Wadada Kutoka Tarime Mara. 2. Wadada Kutoka Lushoto Tanga. 3. Wadada kutoka Kibondo Kigoma. 4. Wadada Kutoka Geita Tanzania. 5. Wadada Kutoka Manyoni Singida. 6. Na wadada kutoka Kyela Mbeya. 7. Wanawake wa Pemba Zanzibar Ongeza
3
1
11
Trade with a prop firm that protects your capital. At SizeProp, you keep the upside while we cover the downside. No risk to your own funds. Just your skill, fully backed.
0
0
0
Hivi kwanini kwenye kila radio kuna mtangazaji mmoja wa kiume battery imevimba?
0
0
1
Kwenye familia au ukoo wenu jitahidi wewe ndio uwe umeoa au kuolewa na Mchaga kama unataka mafanikio.
11
2
62
Mwanaume Aliye Jichanganya Kuoa Warangi Akitoka Kutambulishwa Ukweni😂
0
2
51
Nawakumbusha tena, kama wewe siyo wa kaskazini usioe wanawake wa kaskazini, date nao tu ila usioe. Usiseme hukuambiwa lakini.
19
7
128
POTASH Plants need differing quantities of phosphorus, potassium and nitrogen to grow. One of the world's major sources of potash to create fertilizers is Saskatchewan, Canada. The Middle East is about fertlizers as much as oil and the war in Iran has cut off supplies that
2
22
63
Hivi ni kwa nini ukinunua vocha ukakosea labda ulitaka nunua ya shilingi 2000/- ukakosea ukanunua ya 2,000,000/- kwa nini Mitandao ya simu wanakataa kubadili hii vocha kurudi kuwa pesa wanakulazimisha uuze Vocha?
26
19
462
Ipi dawa ya kumfanya mtoto aache kujikojolea kitandani....?
15
3
17
Uliwahi kufanya kazi ukalipwa halafu ukajiambia, "Hapa sirudi tena, acha nife njaa? Tuambie ilikuwaje?
10
17
93
Kuna kabila dogo wanaitwa Wabena, kijana wakiume ukitaka jiko wacheki hawa.😊
36
26
323
5 Star Resort in the Yasawa Islands Fiji. White Sandy Beach. Amazing snorkelling. Out of this world food.
0
666
8K
Wewe ni mwanaume. Hakuna kitu utakipata kwako kwa urahisi. Lazima ulipie gharama ya upweke, maumivu, kushindwa, kukataliwa, kupoteza, kudharauliwa, na vikwazo ili ushinde katika maisha. Hakuna njia ya mkato rafiki yangu.
2
17
78
Kijana mwenzangu usijisikie vibaya ukahisi umechelewa, kila mtu ana njia yake na muda wake. Ishi kwenye muda na njia yako, wakati wako wa kupata ajira, wa kuanzisha familia, wa biashara yako kustawi na kufanikiwa upo na unakuja. Endelea kupambana na mtegee MUNGU daima.
2
18
82
Formula ya maisha yangu ipo hivi! -Kila kitu kwenye maisha nimemkabidhi Mungu -Naepuka hasira kwa gharama yoyote -Sipendi kumuona mtu anaumia au kusononeka -Sijiwekei matarajio makubwa -Sina marafiki (Nina watu wakaribu) -Sikai na chuki dhidi ya mtu -Kwangu pesa ni baada ya utu.
2
8
50
Kipimo kizuri cha mtu ni yale anayoyatenda akiwa na Pesa, Mali, Mamlaka, Madaraka, Cheo au Umaarufu. Wachache sana watabaki na hekima, busara, Utu na Uungwana licha ya kupata hivyo vyote. Wengi hujisahau na kuonesha wazi uhalisia wao.
0
2
15
The New Era of Bonuses - Mystery Boxes at Jackpotter!
1
0
20
Kıjana mwenzangu; 1. Usipoteze Furaha kisa Mpenzi 2. Usipoteze Amani kisa Mpenzi 3. Usipoteze Malengo kisa Mpenzi 4. Usipoteze Ndoto zako kisa Mpenzi 5. Usipoteze Familia yako kisa Mpenzi 6. Usipoteze Heshima yako kisa Mpenzi
4
27
123
Kijana wakiume; Tafuta Mwanamke anayefit kwenye bajet yako, Pili; asiwe na tamaa.
0
2
8
Ukiamka Asubuhi Hakikisha Macho, Masikio Na Viungo Vyako Vyote Vya Mwili Vinaanza Na MUNGU, Sala, Dua Na Maongezi Mengine Yote Yaanze Kwake Na Kabla Hujalala Utaratibu Uwe Ni Huo Huo, MUNGU Kwanza 🙏🏽
3
4
25