WiliamAndason Profile Banner
Ig @william_andason Profile
Ig @william_andason

@WiliamAndason

Followers
24K
Following
40K
Media
3K
Statuses
66K

@afya_kwawote |Health Writer|#ZuiaUkatii|#AfyaKwaWote

Joined April 2012
Don't wanna be here? Send us removal request.
@WiliamAndason
Ig @william_andason
4 hours
Huko Iringa kuna kijana (dereva bajaji) kamuua mtoto wake wa kumzaa mwenye miaka 4, kisha kumkatakata vipande vidogo vidogo kama nyama buchani na kuvitupa chooni. Kisa ni imani za ushirikina kwamba atakua tajiri.
0
0
0
@WiliamAndason
Ig @william_andason
4 hours
Kama Girlfriend wako ni mtu wa Kilimanjaro, Arusha au Manyara. Kaka jitahidi sana usimpoteze ni bahati kuwa naye ni baraka kumuoa🙌🏿
1
0
5
@MalarkeyRoofing
Malarkey Roofing Products
7 months
Homeowners insurance is your safety net when a hailstorm wreaks havoc on your roof. Before a conversation with a professional roofing contractor, get started with these tips.
26
49
503
@WiliamAndason
Ig @william_andason
22 hours
Nitukio Gani Ulifanya/ Mlifanya Shule Huwezi Sahau?
0
0
1
@WiliamAndason
Ig @william_andason
1 day
Wakuu Kama unataka kupata Mke Pita. 1. Mara kama Unaelekea Mwanza. 2. Tanga Lushoto 3. Pwani Bagamoyo 4. Kasulu Kigoma 5. Kiela Mbeya 6. Bila Kusahau Singida. Ukitaka Kuona Raha ya Ndoa.
2
0
0
@WiliamAndason
Ig @william_andason
4 days
Wadada wanaodumu kwenye Ndoa. 1. Wadada Kutoka Tarime Mara. 2. Wadada Kutoka Lushoto Tanga. 3. Wadada kutoka Kibondo Kigoma. 4. Wadada Kutoka Geita Tanzania. 5. Wadada Kutoka Manyoni Singida. 6. Na wadada kutoka Kyela Mbeya. 7. Wanawake wa Pemba Zanzibar Ongeza
3
1
11
@SizeProp
SizeProp
12 hours
Trade with a prop firm that protects your capital. At SizeProp, you keep the upside while we cover the downside. No risk to your own funds. Just your skill, fully backed.
0
0
0
@WiliamAndason
Ig @william_andason
5 days
Hivi kwanini kwenye kila radio kuna mtangazaji mmoja wa kiume battery imevimba?
0
0
1
@WiliamAndason
Ig @william_andason
6 days
Kwenye familia au ukoo wenu jitahidi wewe ndio uwe umeoa au kuolewa na Mchaga kama unataka mafanikio.
11
2
62
@WiliamAndason
Ig @william_andason
6 days
Mwanaume Aliye Jichanganya Kuoa Warangi Akitoka Kutambulishwa Ukweni😂
0
2
51
@WiliamAndason
Ig @william_andason
6 days
Nawakumbusha tena, kama wewe siyo wa kaskazini usioe wanawake wa kaskazini, date nao tu ila usioe. Usiseme hukuambiwa lakini.
19
7
128
@QuirkyForum
John Bulloch
4 days
POTASH Plants need differing quantities of phosphorus, potassium and nitrogen to grow. One of the world's major sources of potash to create fertilizers is Saskatchewan, Canada. The Middle East is about fertlizers as much as oil and the war in Iran has cut off supplies that
2
22
63
@WiliamAndason
Ig @william_andason
7 days
Hivi ni kwa nini ukinunua vocha ukakosea labda ulitaka nunua ya shilingi 2000/- ukakosea ukanunua ya 2,000,000/- kwa nini Mitandao ya simu wanakataa kubadili hii vocha kurudi kuwa pesa wanakulazimisha uuze Vocha?
26
19
462
@WiliamAndason
Ig @william_andason
7 days
Ipi dawa ya kumfanya mtoto aache kujikojolea kitandani....?
15
3
17
@WiliamAndason
Ig @william_andason
7 days
Uliwahi kufanya kazi ukalipwa halafu ukajiambia, "Hapa sirudi tena, acha nife njaa? Tuambie ilikuwaje?
10
17
93
@WiliamAndason
Ig @william_andason
7 days
Kuna kabila dogo wanaitwa Wabena, kijana wakiume ukitaka jiko wacheki hawa.😊
36
26
323
@Paradise_Covefj
Paradise Cove Resort
2 years
5 Star Resort in the Yasawa Islands Fiji. White Sandy Beach. Amazing snorkelling. Out of this world food.
0
666
8K
@WiliamAndason
Ig @william_andason
8 days
Wewe ni mwanaume. Hakuna kitu utakipata kwako kwa urahisi. Lazima ulipie gharama ya upweke, maumivu, kushindwa, kukataliwa, kupoteza, kudharauliwa, na vikwazo ili ushinde katika maisha. Hakuna njia ya mkato rafiki yangu.
2
17
78
@WiliamAndason
Ig @william_andason
8 days
Kijana mwenzangu usijisikie vibaya ukahisi umechelewa, kila mtu ana njia yake na muda wake. Ishi kwenye muda na njia yako, wakati wako wa kupata ajira, wa kuanzisha familia, wa biashara yako kustawi na kufanikiwa upo na unakuja. Endelea kupambana na mtegee MUNGU daima.
2
18
82
@WiliamAndason
Ig @william_andason
9 days
Formula ya maisha yangu ipo hivi! -Kila kitu kwenye maisha nimemkabidhi Mungu -Naepuka hasira kwa gharama yoyote -Sipendi kumuona mtu anaumia au kusononeka -Sijiwekei matarajio makubwa -Sina marafiki (Nina watu wakaribu) -Sikai na chuki dhidi ya mtu -Kwangu pesa ni baada ya utu.
2
8
50
@WiliamAndason
Ig @william_andason
9 days
Kipimo kizuri cha mtu ni yale anayoyatenda akiwa na Pesa, Mali, Mamlaka, Madaraka, Cheo au Umaarufu. Wachache sana watabaki na hekima, busara, Utu na Uungwana licha ya kupata hivyo vyote. Wengi hujisahau na kuonesha wazi uhalisia wao.
0
2
15
@jackpotterCOM
Jackpotter - Community Powered Crypto Casino
12 days
The New Era of Bonuses - Mystery Boxes at Jackpotter!
1
0
20
@WiliamAndason
Ig @william_andason
9 days
Kıjana mwenzangu; 1. Usipoteze Furaha kisa Mpenzi 2. Usipoteze Amani kisa Mpenzi 3. Usipoteze Malengo kisa Mpenzi 4. Usipoteze Ndoto zako kisa Mpenzi 5. Usipoteze Familia yako kisa Mpenzi 6. Usipoteze Heshima yako kisa Mpenzi
4
27
123
@WiliamAndason
Ig @william_andason
9 days
Kijana wakiume; Tafuta Mwanamke anayefit kwenye bajet yako, Pili; asiwe na tamaa.
0
2
8
@WiliamAndason
Ig @william_andason
9 days
Ukiamka Asubuhi Hakikisha Macho, Masikio Na Viungo Vyako Vyote Vya Mwili Vinaanza Na MUNGU, Sala, Dua Na Maongezi Mengine Yote Yaanze Kwake Na Kabla Hujalala Utaratibu Uwe Ni Huo Huo, MUNGU Kwanza 🙏🏽
3
4
25