VIBER10๐น๐ฟ
@Viber10J
Followers
4
Following
163
Media
11
Statuses
25
Founder and Head of VIBER10 and SPOTIKA NA VIBER10 Sports blogs from Tanzania, Africa. God is greatest all the time๐|
Joined August 2021
When you're American's champion and you can't stop feeling it...๐๐ฆ๐ท
0
0
1
SportsCast imeakaa chini na Francis Baraza, kocha wa Kagera Sugar kujadili mbinu za soka ambazo amekuwa akizitumia. Baraza anatupitisha katika safari yake tangu akiwa Biashara United akitufafanulia baadhi ya maamuzi ya kiufundi aliyowahi kuyafanya. Sikiliza kupitia link hii ๐๐ป
2
3
7
Mpambano mkali wa kuwania mpira. Je, kwa mtizamo wako nani alishinda mpambano huu dodosha comment yako
0
0
1
NO MORE TALK The only thing you supposed to know it's Portuguese believe that "Cristiano Ronaldo is always there when they need him" no matter what? He will always try to find a way for them. Powered by @switchers_gaming_lounge
#Sanuka #Burudika #Viber10Updates
0
0
2
WANANCHI NDANI YA JEZI ZAO KALII Jezi za wananchi za msimu jana zilikuwa nzuri na bora lakini za msimu huu 2021/22 ni nzuri na bora maradufu zaidi ya zile za msimu jana 2020/21. Kitu kizuri zaidi jezi za msimu huu 2021/22 wamezitambulisha na kuziingiza sokoni mapema.
0
1
3
Golikipa Illan Meslier maarufu kama Ice man mashabiki wa Leeds wao hupenda kumuita Stick Stopper toka France aongeza Mkataba Leeds United atahudumu mpaka 2026. #EPL #Contractupdates #LeedsUnited
0
0
2
Naamini kabisa ujio wa Lukaku kunako kikosi cha Chelsea utakuwa chachu kwa kiasi kikubwa au utasaidia klabu ya Chelsea kupigania kutwaa taji la EPL msimu huu 2021/22 na huu ndio usajili wangu bora kipindi hiki cha Majira ya joto kunako EPL. #Lukaku #TheBlues #BlueIsTheColour
0
0
1
Mshindi wa leo kati ya Chelsea Vs Villarreal kuamua either England au Spain ndio kinara wa kutwaa UEFA SUPER CUP mala nyingi zaidi kwa sasa kila taifa limetwaa mala tano, tukutane badae Windsor Park Stadium kumpata kinara.
0
0
1
๐ฃ "It was like my blood ran cold. It was really sad, really difficult."
219
609
10K
Yesterday was unexpectedly drammatic but all is well. As I said, I personally appreciate everyone who wish this club well without being biased or pressurized. A lot of people want to see us fighting over nothing, letโs not give the enemy any reason to destroy us. #NgumuMoja
477
325
5K
This photo, one of the best picture on european night 2020/21
0
0
1