Game lilivyo change mpaka wale ambao walikuwa mashabiki wa mkumbo wa KIGOGO wamemmiss president wa kweli alie onekana....hafai...😄 😄 😄 RIP President Magufuli 🕊️🕊️🕊️
Hapa Crown Media pale Mnyama Simba...
Official Crown media pamoja na Rais wake King Kiba wata husika na tamasha zima la Simba day 2024....Tumekataa media za majungu na umbea 🔥 🔥
Kuna siku nilikua napita twn nakuta watu wamekusanyana kama vile wanachek game ya Simba Na Yanga nauliza kuna nini kumbe Raisi anaongea ikulu daah nkasema kweli balaah raisi anakusanya raia anapo toa speech kiasi hiki ni balaah chek ssa hmmm 🤔 🤔 🤔
Unatongoza demu then anakwambia kwa muonekano wako kwakwel hapana wewe utanifanya niwe na wivu bora ata ungekuwa na sura mbaya kidogo 😁😁 seriously...???
Kumbe huyu mtoto mchafu michezo yake ya bata kitambo halafu uku mdomo mchafu akat mbwandeni kashindwa kupatunza Nilikaa nae taifa feli soko la samaki smell... 😄 😄 😄
Okrah mjanja sana kajua kabisa kwa dakika zile alizo ingia maana yake Mkude atatoka kabla yake na kile kisungura alicho kiacha maana yake jamaa ata enda kukipiga chote kaona yanini kujipa jaka la roho aka jivunja kwenda kukimalizia..😂😂
Kuna hizi account za miaka ya 2009,10,11,12,13,14,15,16,unakuta zina followers mia kadhaaa zikizid sana buku flan hv acheni kubishana nazo kwa kuwatukana......pre caution ⚠ pre alert ⚠....
Wakristo bhana wao wanawatambia waislam kula hii nyama 😄 Na ndio classes ambazo wazungu na waarabu wamefanikiwa kutushika akili zetu, wewe kama unakula usimshangae wala usimcheke hasie kula na ww kama huli usimshangae anae kula pia.
Dini lengo lake tubaguane.
DINI TUMELETEWA.