Je wajua, kuna ongezeko la uhaba wa maji duniani?
Masuluhisho yanahitaji utashi wa kisiasa, kuimarisha ukusanyaji wa data na ubia wa kukuza mikakati jumuishi ya kusimamia maji.
#SikuYaMajiDuniani
, pitia masuluhisho ya kudumisha kuwepo kwa maji safi: