Umoja wa Mataifa Profile Banner
Umoja wa Mataifa Profile
Umoja wa Mataifa

@UmojaWaMataifa

Followers
28,669
Following
650
Media
16,047
Statuses
34,466

Akaunti rasmi ya Umoja wa Mataifa. Kwa amani, utu & usawa katika ulimwengu wenye ustawi.

New York, NY
Joined August 2009
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
3 days
◾Uwezo mdogo wa kusoma. ◾Uwezo mdogo wa kuhesabu. ◾Uwezekano mdogo wa kumaliza shule ya msingi na sekondari. Watoto wanapokosa elimu ya mwanzo, madhara yake ni ya maisha nzima. Zaidi na @‌UNICEF.👉
Tweet media one
0
3
4
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
5 days
Umoja wa Mataifa hufanya kazi kwa ajili ya "Sisi Wanadamu" kwa kusaidia nchi kushughulikia ⏺️ dharura ya hali ya hewa ⏺️ kufikia Malengo ya #GlobalGoals ⏺️ migogoro ya kibinadamu ... na mengi zaidi: #DiplomacyDay
Tweet media one
0
0
3
Umoja wa Mataifa Retweeted
@UNEP_Kiswahili
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa
6 days
Sayari yetu iko hatarini zaidi kutokana na ongezeko la joto duniani, uharibifu mkubwa wa bayoanuai, na uchafuzi mkubwa wa mazingira na taka. Lakini leo #EarthDay ni ukumbusho kwamba vitendo vya mtu binafsi ni muhimu. Hapa kuna njia 5 za kuchukua hatua:
0
6
7
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
7 days
Panda mti 🌳 Punguza ubadhirifu wa chakula 🍝 Tumia tena ♻ Nunua bidhaa zilizozalishwa karibu nawe 🏘 Tuitunze sayari yetu na kuishi kwa amani na asili, leo Siku ya Sayari Mama Dunia, na kila siku. Shiriki: 👉 #EarthDay
Tweet media one
0
4
5
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
9 days
Kujua kusoma na kuandika kunaboresha maisha, kunapunguza umaskini na kuongeza ushiriki katika soko la ajira. Lakini bado vijana na watu wazima milioni 771 hawajui kusoma na kuandika. Angalia harakati za #UmojawaMataifa za #RightToEducation .
Tweet media one
0
1
3
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
13 days
Takriban waandishi wa habari 1,000 wameuawa katika muongo mmoja uliopita. Visa 9 kati ya 10 kati ya hizo bado hazijasuluhishwa. ‌UNESCO inaeleza nini kinapaswa kufanyika ili ku #ProtectJournalists . .
Tweet media one
0
1
3
Umoja wa Mataifa Retweeted
@HabarizaUN
Habari za UN
13 days
Mwaka mmoja wa vita #Sudan "Takriban watu mil 25 ambao ni nusu ya wananchi wa Sudan - wanahitaji msaada wa kuokoa maisha." @antonioguterres Zaidi ya watu mil 8 wamekimbia makazi yao, watu mil 1.8 wakikimbilia nchi jirani.
0
1
4
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
14 days
"Watendee wengine kama unavyotaka kutendewa." -- Mchoro wa "Golden Rule" katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa umechorwa na msanii wa Marekani Norman Rockwell. Siku ya Jumatatu #SikuYaSanaaDunia , tunasherehekea uwezo wa sanaa wa kutufariji wakati wa dhiki na kututia moyo.
Tweet media one
0
2
5
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
15 days
Kutafuta hifadhi ni haki ya msingi ya binadamu kwa watu wanaokimbia vurugu, mateso, vita au maafa nyumbani. Kila mtu ana haki ya kutafuta hifadhi.
Tweet media one
0
2
7
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
17 days
#WaterAction ni hatua kwa 💧usawa wa kijinsia 💧kupunguza umaskini 💧Haki ya hali ya hewa 💧elimu 💧bioanuwai na zaidi. Pata mawazo kuhusu jinsi unavyoweza #ActNow :
Tweet media one
0
6
9
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
23 days
Michezo ni chombo chenye nguvu cha kuimarisha uhusiano wa kijamii na kurejesha mazungumzo wakati wa mivutano ya kisiasa, kitamaduni au kidini. Leo Jumamosi, ungana nasi kusherehekea #SportsDay na nguvu ya michezo kwa amani na maendeleo.
Tweet media one
0
0
7
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
25 days
Kila siku, watu hufa au kupoteza viungo kwa kukanyaga mabomu ya ardhini, na wengi wao ni raia katika maeneo yaliyopata amani. Jumanne #MineAwarenessDay ni fursa ya kuangazia haja ya dharura ya kutokomeza mabomu ya ardhini. v @UNMAS #MineActionCannotWait
Tweet media one
0
2
4
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
28 days
Elimu ni muhimu ili kuhakikisha kwamba vijana wananufaika kwa kupata maarifa zaidi kuhusu mazingira. Pitia zana za #GenerationRestoration ili kupata maarifa na nyenzo za kuboresha mifumo ya ekolojia.
Tweet media one
0
4
12
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
30 days
📸Ubunifu wa aina yake jijini Dar es Salaam, #Tanzania . Tusipobadili tabia zetu, taka za plastiki zitakuwa nyingi baharini kuliko samaki🐟🐠. Leo siku ya #ZeroWaste , fahamu jinsi unavyoweza #BeatPlasticPollution .
Tweet media one
0
5
10
Umoja wa Mataifa Retweeted
@UNEP_Kiswahili
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa
1 month
Je wajua, chakula kinachoharibiwa nyumbani ni takribani milo bilioni 1 kwa siku? Ripoti ya #FoodWasteIndex iliyotolewa na UNEP inaonyesha kiwango cha chakula kinachoharibiwa kote duniani na tunachoweza kufanya ili ku- #KomeshaTakaYaChakula :
Tweet media one
0
2
3
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
1 month
Unyogovu unaweza kutokea kwa mtu yeyote. Ni ugonjwa, si udhaifu wa tabia -- na unaweza kutibiwa. @WHO ina mwongozo kuhusu hatua za kuchukua ikiwa wewe au mtu unayemjali anaugua huzuni.
Tweet media one
0
1
2
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
1 month
Jinsi ya #Kupambana na Ubaguzi. 📖 Jielimishe kuhusu njia nyingi za ubaguzi wa rangi huumiza jamii 💭 TAFAKARI kuhusu suluhu za kutokomeza ubaguzi wa rangi. 🌱 PANDA maadili ya uvumilivu katika jamii yako yote. Mawazo zaidi Jumatatu #RememberSlaveryDay :
Tweet media one
0
3
4
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
1 month
Utokeaji wa El Niño mwaka wa 2023-24 unapoanza kupungua, athari zake duniani zinaendelea kudumu. Gundua jinsi hali hii inavyoendelea kuongeza viwango vya joto na hali mbaya ya hewa, licha ya kupungua kwake polepole. Pata taarifa za sasa kutoka kwa @WMO :
Tweet media one
0
1
6
Umoja wa Mataifa Retweeted
@UNEP_Kiswahili
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa
1 month
Je wajua, kuna ongezeko la uhaba wa maji duniani? Masuluhisho yanahitaji utashi wa kisiasa, kuimarisha ukusanyaji wa data na ubia wa kukuza mikakati jumuishi ya kusimamia maji. #SikuYaMajiDuniani , pitia masuluhisho ya kudumisha kuwepo kwa maji safi:
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
3
3
@UmojaWaMataifa
Umoja wa Mataifa
1 month
Misitu ni muhimu kwa afya ya sayari na ustawi wa binadamu. Pia ni muhimu kwa kuendeleza uzalishaji wa chakula. Siku ya Alhamisi ya Misitu Duniani, jifunze zaidi kutoka kwa @FAO kuhusu umuhimu wa misitu endelevu.
Tweet media one
0
5
9