@TitoMagoti
Kama shida ndo hiyo nadhani hakuna umuhimu wa kuengage na Rais wala CCM maana hawa watu ni wadogo tu, walikua wanasimamia matakwa ya maboss wao
@tonyalfredk
Maridhiano ni dude kubwa beyond lecture na directions za Mahera & Co, kaka Tony. Ninadhani kwamba kuna watu decent na wenye moral authority ya kurejesha Taifa katika kiuno chake. Mahera, Mukandara, etc sio miongoni mwao.
@TitoMagoti
Mkuu kuna uwezekano ningeshiriki kwa kuwa amekuwa mwanafunzi na practitioner hivyo kuna kitu amejifunza na anashare uzoefu (the good, bad and ugly side za huo utawala) hasa baada ya kuwa βmpenzi mtazamajiβ kwa miezi kadhaa. Moderators wawe mashangazi 2 wa Taifa π