Adam anatoa ushahidi mgumu sana. He’s partly smiling akishangaa watesi wake wanavyojifanya watu wema, rafiki, mbele ya Mahakama. Mateso aliyopitia ni masimulizi ya mateso wanayofanyiwa watu wengi wakiwa chini ya ulinzi. Hii taasisi — Polisi, ni janga!
@TitoMagoti
Maumivu aliyepitia Adam hao wanayochekea na kutolea ushaidi wa uongo tuwape mda watalia na familia zao maana uzuri wa Karma Ina anuani zao.
@TitoMagoti
Jamani namuomba Mungu nijiunge na jeshi la polisi, kwa haya wanayopitia wananchi sisi vijana tunatakiwa tuwe sehemu ya jeshi la polisi alafu tubadilishe utendaji. Muniombee, nimetuma maombi naamini nitachaguliwa na nitafanya kwa nafasi yangu yaliyo mema kwa wananchi wa Tz.🙏🙏🙏
@TitoMagoti
@MariaSTsehai
Hapo kwenye pesa hapo Rpc aliupiga mwingi Tunaomba tusomewe mapato na matumizi mi nawasaidia tu waanzie 260000-600 ya mo energy wajumlishe na nyama choma wamalizie mambo mengine twende Sawa wawe transparent 😁😁😁
@TitoMagoti
Hawa Mawakili wa Serikali wasipoyaona na kuyafeel mateso ya hawa vijana,wajue tu,moto wao uko karibu.Wataunguzwa hawa mpaka watajuta kwanini waliomba kazi ya uwakili serikalini.