Unaambiwa hata siye tuliokwisha ingia Kortini tumeondolewa. Ishu ni simu. Tupokonywe simu. Hatujaafiki. Tunangoja kauli ya Msajili. Lakini haya mambo, kwa ujumla, ni ya hovyo sana.
#MboweSioGaidi
@TitoMagoti
@Kiganyi_
Sijui wanataka kutupeleka wapi maana hata RPC wao jana ameongea makande tu wakati anatoa ushahidi.mwisho tunauona mbona......
#mbowe
sio gaidi#
@TitoMagoti
Yego Masika! Nilijua Bunge la Nanhii ndo halitaki liwe LIVE kumbe hata huku LIVE ni shida. Ila ndege zikinunuliwa LIVE. Watu wa Maombi shikilieni hapo hapo karibu shetani ataabishwa na matendo yake.
@TitoMagoti
@OleMtetezi
Hapo kutokana na umuhimu wa hii kesi kulitakiwa kuwa na βlive tvsβ siyo moja zaidi ya 5 , waandishi wa kutosha etc, eti sasa simu ni shida