@TitoMagoti
Chama changu huwa kinanisikitisha sana yaani, inakuwaje kinaogopa vitu vya kawaida kabisa? Na akinanisikitisha zaidi pale kinapotaka kufanya siasa peke yake tu. Tatizo nimekipenda mwenyewe ila si sawa kabisa. Chama changu kinawasomi wengi sana wa ngazi za juu lakini ndio wajinga.
@TitoMagoti
@Greathinker12
Ni hatari brother,kauli yake na waandishi wa habari kuhusu mikutano ya hadhara ndio inazaa matunda.Alisema hataki chokochoko na haya ndio matokeo yake