Katika maisha ya mwanadamu, mambo mawili: mwanzo na mwisho, ni hakika. Japo ni Mungu pekee ajuaye, kwa upendeleo, sisi tumeuona mwanzo na mwisho wako. Tumejifunza mengi kupitia maisha na kifo chako – Ee Mungu tujaalie mwisho mzuri. Kwaheri Mhe. JPM.
@TitoMagoti
Tumeteseka pamoja Gerezani, Leo hii tunashuhudia utukufu wa Mungu juu ya nchi yake hatuna la kusema Wala kunena bali tunanyanyua mikono kwa Muumba na kusema wewe ndie unae tujua utujaalie mwisho mwema.