Thomas-Josephat
@ThomasJosephat3
Followers
679
Following
1K
Media
398
Statuses
3K
Nothing last permanent Be humble!!. Kidogo chako ni bora zaid kuliko kikubwa cha matumaini. Kilimo na ufugaji ni mchongo wenye maslahi. Cogito ergo sum.
Mbeya, Tanzania
Joined September 2016
Msiba wa Taifa lazima mwaka huu bendera ipepee nusu mringoti.
117
65
1K
Kilimo ninakijua zaidi ya ninavyoweza kupewa story na watu
3
2
21
Ukitaka kunijua vizuri njoo shambani. Watu watakujua kupitia unachokifanya
1
9
17
Uwekeji mbolea wa vijana Vijana wanahitaji usimamizi, na hapa nilikuwepo shambani! Je nisingekuwepo.
3
7
18
Kazini Kwetu Boxing Day ni Mwendo wa Kubandua na Kusimika Mbegu.
3
4
12
Ivory on Top of Mount Kilimanjaro. Kutoka shambani kwangu imekuwa ni ufunguo wa biashara ya mihogo (makopa) Note. Chochote unachoweza kukianzisha kizingatie sana kinaweza kuwa ni mlango wa vitu vingine vikubwa. #KilimoNiBiasharaYakudumu
1
4
13
Hakuna MKULIMA aliye mshindani wetu, kwa sababu wote tuna lengo moja KULISHA na KUJENGA TAIFA.
2
2
11
Staafu ukiwa bado mchanga, staafu ukiwa tajiri 👏💸" Heshima ni kuwaza nje ya box.
1
4
21