TAMWA Zanzibar
@TAMWA_Zanzibar
Followers
3K
Following
5K
Media
2K
Statuses
3K
TAMWA Zanzibar is a non-partisan not for profit sharing, non-Governmental professional membership organization. #MwanamkeNiKiongozi #ZuiaUkatiliZanzibar
Zanzibar
Joined April 2017
"Ni wakati sasa wa kuongeza juhudi ya utolewaji wa elimu ya masuala ya udhalilishaji kupitia vyombo vya habari na maeneo mengine ikiwemo nyumba za ibada na shuleni ili kujenga jamii itakayoheshimiana", Mchungaji LAMEC A. BYONGE kutoka KKKT Zanzibar.
0
1
2
"Wapo baadhi ya wanawake hawakufanya mkutano wa kampeni hata mmoja na hii ni kutokana na changamoto ya kukosa fedha na misaada mengine kutoka katika vyama vya siasa, Nasra Khatib, Mwanachama, TAMWA-ZNZ.
0
3
4
" Jamii inapaswa kutambua makosa yanayofanywa mtandaoni yanayo sheria yake hivyo ni vyema anaefanyiwa makosa haya kuripoti katika vituo vya polisi ili sheria iweze kufata mkondo wake", Inspekta wa Polisi Sadik Ali Sultan kutoka Makao Makuu ya Polisi Zanzibar.
0
2
2
" Tuimarishe juhudi zetu za kupinga vitendo vya udhalilishaji kwa wanawake na watoto kwa kutoa elimu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza udhalilishaji mitandaoni" Mjumbe wa Bodi, TAMWA-ZNZ, Mwatima Rashid Issa.
0
3
9
Leo tarehe 06 Disemba 2025 taasisi zinazotetea haki za wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na watoto Zanzibar zimeungana kwa pamoja kuadhimisha Siku 16 za Kupinga Udhalilishaji wa Kijinsia, hafla inayofanyika katika Ofisi za TAMWA Zanzibar, Tunguu. Taasisi hizo ni Jumuiya ya
0
4
6
Leo tumekutana na wadau wetu muhimu wakiwemo Asasi za kiraia (CSOs), taasisi za serikali, waandishi wa habari, wahamasishaji jamii (CBs), vyama vya siasa, na wanachama wa TAMWA ZNZ kwa ajili ya kuwasilisha Ripoti ya Maendeleo ya Program ya SWIL kwa mwaka 2024/2025. Ripoti
0
5
7
Tunapoanza kipindi cha siku 16 za kupinga udhalilishaji, mwaka huu tunawekeza nguvu katika kupinga ukatili wa kidijitali dhidi ya wanawake na wasichana. Mtandao salama ni haki ya kila mmoja. #STOPGBV
0
3
4
As we begin the 16 Days of Activism, we stand united to end all forms of digital violence against women and girls. Safe spaces online are a right not a privilege. #STOPGBV
0
4
7
Kila kura ya mwanamke ni hatua kuelekea usawa wa kijinsia katika uongozi.
0
3
5
Kumpa mwanamke nafasi ya kumiliki ardhi ni hatua ya kuleta maendeleo na usawa wa kijinsia katika jamii. Muwezeshe mwanamke Leo, ulete mabadiliko kesho. #mwanamkenikiongozi
#mwanamkenatabianchi
1
11
13
Ni Jumatatu nyengine β¨ Leo Dr. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ anashiriki na kuwa miongoni mwa wazungumzaji katika Mkutano wa 5 wa Jukwaa la Uongozi wa Wanawake (Womenβs Leadership Forum) ulioandaliwa na @uongozi_institute jijini Dar es Salam. Ushiriki wa Dkt. Mzuri ni
1
9
12
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. JAMII YASHAURIWA KUACHA KUWACHUKUA WATOTO KWENYE MIKUTANO YA KAMPENI.
13
23
33
Kila habari nzuri ni hatua kuelekea jamii yenye usawa.
0
16
17
Mh. Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes, na ujumbe wake wamekutana na waandishi wa habari na content creators ili kusikia simulizi za mafanikio yao kupitia program ya SWIL. Kupitia mafunzo ya wanawake na uongozi, waandishi wamekuwa daraja muhimu la kusambaza habari,
0
13
16