TWITTER ni Family na
@mishalymish
ni mwanafamily Mwenzetu, naomba kwa moyo mkunjufu pitia pale IG ya malisa kasome kisa cha dada yetu kuwa kitandan kwa 10yrs.
Pia nikuombe kachangie chochote dada etu aludi kwenye hali yake ya zaman,Natanguliza shukran.
Pia nikuombe retweet.