Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Prof. Raphael Chibunda akibadilishana zawadi na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Artemisa cha Cuba Dkt. Adianez Bermundes alipofanya ziara ya siku moja SUA ukiwa ni mwanzo wa ushirikiano wa Vyuo hivyo, leo tarehe 25.01.2023.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Prof. Raphael Chibunda akibadilishana zawadi na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Artemisa cha Cuba Dkt. Adianez Bermundes alipofanya ziara ya siku moja SUA ukiwa ni mwanzo wa ushirikiano wa Vyuo hivyo, tarehe 25.01.2024.