Baadhi ya vijana waliopata ajira ya muda kupitia Mradi wa Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT) wakiwa katika picha ya pamoja na Rasi wa Ndaki ya Kilimo Dkt. Nyambilila Amuri baada ya usaili uliofanyika Ukumbi wa Multipurpose Kampasi ya Edward Moringe, Morogoro.
Vijana 294 ambao wamepatikana awamu hii ya kwanza wanaenda katika sekta ndogo ya kilimo cha pamba wakiwa ni Maafisa Kilimo, Maafisa Kilimo Wasaidizi na Wahandisi Kilimo