Ndaki ya Kilimo, Idara ya Lishe na Sayansi ya Mlaji imekutana na wadau wakiwemo waajiri kutoka Sekta za Umma na Binafsi katika kikao cha kuboresha mitaala programu zinazofundishwa na Ndaki hiyo, lengo ni kuona mitaala mipya inagusa mahitaji muhimu ya sasa katika kumuandaa mhitimu
@SokoineU
Msisahau watu wa rural development ambao wanazalishwa hapo na wengi wao hawana ajira. Ktk Hilo boresheni hiyo idara ihusike ktk policy management and project development and Management.
@SokoineU
Haya maboresho ya mitaala yatasaidia sana ,kwa sababu Wanafunzi wa Human Nutrition tunapoenda Field tunapata changamoto sana kwa sababu ulicho nacho kichwani na mazingira ya kazi yanakua ni tofauti sana.