Baadhi ya Wanafunzi wanaoendelea kuripoti SUA kwa ajili ya kuanza masomo ya mwaka wa kwanza 2023/2024 wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi hapa Chuoni Ndg. Lusotola Philipo baada ya kupokelewa katika Stand ya Msamvu, Morogoro tarehe 23.10.2023.