@SokoineU
Pongezi kwa mwalimu wangu Dr. Philip Damian. Macroeconomic course aliifanya ionekane rahisi Sana kwangu. Kiufup yeyei ni mjuvi Sana kwenye uchumi.
@SokoineU
Kwa mtindo huo vyuo vikukuu hamuoni mtabaki na wakufunzi wasiobobezi?
Pili, kwenye lecture thytres mbona mnakuwa wakali wa kushusha nondo mkienda serikalini mPhD mnayaacha mageti ya vyuo vikuu?