sara💕 Profile Banner
sara💕 Profile
sara💕

@SaraphinahW

Followers
10,208
Following
5,968
Media
118
Statuses
28,174

#Hakuna amani Bila upendo

Iringa, Tanzania
Joined September 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@SaraphinahW
sara💕
2 months
Si munaona Sina wateja njoeni basi muniungishe
Tweet media one
145
110
2K
@SaraphinahW
sara💕
4 years
Ivi Kuna mwanaume humu akitongozwa na mdada anauwezo was kusema "samahani" Nina mpenzi wangu siwezi kumsaliti?
416
35
1K
@SaraphinahW
sara💕
1 month
Asante Mungu Kwa zawadi ya uhai mapambano na yaendelee.
Tweet media one
69
104
1K
@SaraphinahW
sara💕
4 years
Mwanaume unaweza kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Tweet media one
416
25
845
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Mbaya kwako mzuri kwa baby wangu.
Tweet media one
86
26
689
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Hivi kutongozwa Sana ndo inakudefine kuwa wewe ni mzuri?
76
37
569
@SaraphinahW
sara💕
8 months
Mapambano yanaendelea
Tweet media one
40
58
374
@SaraphinahW
sara💕
6 months
Wanaume kutumia Kinga hamtaki,kumwaga nje hamtaki, watoto hamtaki mnataka nini?
114
34
373
@SaraphinahW
sara💕
9 months
Kupambana sio dhambi hakikisha unapambana mpaka ufanikiwe huku ukimtanguliza Mungu mbele.
Tweet media one
13
43
357
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Hakuna kitu kinamfurahisha mtu ambaye hajasoma kama vile akiona mtu aliyesoma anahangaika kutafuta ajira 😂😂😂
45
57
361
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Asante Mungu kwa afya na uzima nikapambane Sasa.🙏
Tweet media one
19
37
290
@SaraphinahW
sara💕
8 months
Tuendelee kupambana mpaka kieleweke
Tweet media one
44
49
283
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Salimiaga watoto wa jirani unaweza fungia funguo ndani na hautoshi dirishani.😂😂
37
53
277
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Ukiona wewe na mpenzi wako mkiwa pamoja hamuwasemi watu nyie hampendani.😂😂
37
37
275
@SaraphinahW
sara💕
8 months
Asante Mungu Kwa mwaka mwingine.Happy birthday to me 🙏
Tweet media one
57
38
253
@SaraphinahW
sara💕
6 months
Unakuta toto la kiume linasema mi siwezi kuoa mwanamke mwenye mtoto wakati mama yake aliolewa akiwa nalo 😂😂
70
42
257
@SaraphinahW
sara💕
2 months
Masikini anayeweza kujilisha anaheshimika sana kuliko msomi anayetegemea kulishwa
11
42
246
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Ni sahihi mwanaume kwenda kufanya mapenzi nyumbani Kwa mwanamke?
81
22
238
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Unanipenda huniambii napata mchumba nampost unakasirika😂😂
18
25
193
@SaraphinahW
sara💕
1 month
Ninune nashida gani? Asante Mungu Kwa zawadi ya uhai nikapambane sasa.
Tweet media one
18
27
205
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Ukiona mtu masikini anakusaidia huo sio msaada bali ni upendo.
10
32
192
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Mwanaume ni kama umeme akirudi usimuulize alikuwa wapi we akirudi sema tu huyooooo.
30
37
191
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Mwanaume ukishindwa kazi acha kusema njoo juu umeshawahi kuona gesi juu ya sufuria?
28
26
189
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Ukipewa million 10 uangalie maisha yako yote kwenye TV na wazazi wako utaweza?
58
22
175
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Tafuta hela umtoe huyo mtoto wawatu out mapenzi gani hayo mnachati muda wote kama madalali😂
25
35
172
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Wanaume wa siku hizi ni ovyo Sana ,pesa hawana,heshima hawana, upendo wa dhati hawana na nguvu za kiume pia hawana.
71
23
163
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Hakuna kitu kizuri kama kuachwa halafu ukapata mtu anayemzidi Kwa kila kitu mtu aliyekuacha.
22
27
162
@SaraphinahW
sara💕
10 months
Kuwa na kitanda na godoro kusikudandanye ukaoa .Kumbuka Kuna maisha baada ya kulala
19
38
164
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Uamkapo anza na Mungu hakika utabarikiwa🙏
Tweet media one
9
20
156
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Kuuza bar ni uvivu wa baadhi ya wanawake na ufinyu wa fikra
32
24
150
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Hakuna zawadi inayozidi uhai.Asante Mwenyezi Mungu kwa siku nyingine tena🙏
14
24
133
@SaraphinahW
sara💕
2 months
Zamani niliogopa kupoteza watu ila Kwa sasa naogopa kupoteza muda Kwa watu ambao hawastahili kuwa maishani mwangu.
12
52
150
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Mtumie text mwambie "nimefiwa" labda atajibu😂😂
22
16
148
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Epuka Sana kuwa chanzo cha MAUMIVU kwenye Maisha ya watu wengine machozi ya mtu huwa yanaacha alama.
8
30
135
@SaraphinahW
sara💕
2 years
A real man doesn't love a million girls, he loves one girl in million ways.🙏
19
15
138
@SaraphinahW
sara💕
10 months
Mengi siyajui ila moja ambalo nina uhakika nalo ni kwamba MUNGU yupo.
14
30
128
@SaraphinahW
sara💕
27 days
Asante Mungu Kwa zawadi ya uhai mapambano yanaendelea.
Tweet media one
15
25
132
@SaraphinahW
sara💕
29 days
Kama hauna wazazi au ndugu wa kukujali na kukusaidia wakati wa matatizo basi omba Mungu akupe mke au mume atakayekua msaada kwako kwenye matatizo.
9
27
132
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Mtoto alimwambia mama yake "Nipe ushauri mama" Mama yake akajibu "jihadhari na (vitendo vinavyosababisha ) mtu kulalamika juu yako Kwa Mwenyezi Mungu
10
25
128
@SaraphinahW
sara💕
9 months
Nashukuru Mungu kaniamsha salama nikapambane sasa.
Tweet media one
17
38
122
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Ukizaa na mwanaume mwenye uhitaji na mtoto/ watoto raha sana ila sasa jichanganye uzae na mwanaume haelewi anataka au hataki mtoto utajuta.
8
17
127
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Huwezi kuwa single milele na huwezi kuteseka na stress za mapenzi daima.siku Moja utakufa ukapumzike😂
12
23
122
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Wanaume kwanini mnawapenda zaidi watoto wa kike kuliko wa kiume?
16
15
126
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Baba yako amerudi amechoka, analala hataki kelele,nenda kacheze Kwa jirani nitakuita akiamka. jibu kama mtoto mjanja.
12
22
123
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Kuna muda ni Bora kukaa kimya na kuwaacha waamini kuwa wewe ndo mkosefu maana sii kila mtu anahitaji maelezo yako.
12
32
123
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Wanaume wanadhani kila mwanamke anapenda hela lakini hawajui baadhi yetutunapenda vitu vidogo vidogo kama magari, biashara na ardhi😂😂
19
18
119
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Ukiona masikini anadate na tajiri jua Kuna mambo mengi masikini anayavumila,tutafuteni hela jamanii 🙏
17
25
120
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Kuna watu waliosoma kiswahili kabisa hebu mniambie missed call huitwaje Kwa kiswahili?
13
17
117
@SaraphinahW
sara💕
1 month
Maradhi ni ujumbe mfupi unaotambulisha kuwa kila mwanadamu ni dhaifu.
15
45
120
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Wakati mwingine mengine Bora tusiyajue ili kubaki na amani ya moyo.
17
29
114
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Mahali usipokubalika ondoka haraka ili kulinda heshima yako.
7
19
113
@SaraphinahW
sara💕
10 months
Kama mwanamke anaweza ongeza nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha,kwanini unashangaa kuongeza mwanaume juu ya mwanaume.
10
32
113
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Leo weekend chagua nikupe ipi?
Tweet media one
Tweet media two
22
32
109
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Jitahidi isiwe unapatikana kila wakikuhitaji si unaona watu walivyo busy ukipata shida?
8
27
112
@SaraphinahW
sara💕
1 month
Imagine na urembo wote huo ipo siku ng'ombe watakuja kwenu na wewe utaenda Kwa kina ng'ombe.😂😂
14
24
116
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Mimi huyo nikupe moyo wangu ,wakati mama yako hata chetichako Cha kuzaliwahajakupa anaogopa utapoteza.
17
22
109
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Date na mtu ambaye hata usipomtafuta Kwa wakati ataamini wewe ni wake nana unampenda.achana na hao wanaotaka kuchati muda wote kama madalali.
8
24
110
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Kama unafikiri nitakuwa nakucheki kwenye simu kila wakati kama nimebandika maharage nasema mwaka huu utaungua 😂😂
15
35
106
@SaraphinahW
sara💕
1 month
Mnaweza kuvuka milima na mabonde halafu mkaachana kwenye tambalale.
14
35
109
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Watu ambao mnalike,mnacomment na kuretweet post zangu nimewamack siku ya harusi yangu mtarudia chakula mara mbili 😂😂🙏
15
17
106
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Je unawaza nini mpenzi wako akishindwa kupokea simu anazopigiwa mkiwa pamoja?
19
19
106
@SaraphinahW
sara💕
10 months
Tulikua wema Sana huko nyuma wakatupa ubaya, sasa tupo Kama walivyotaka tuwe.
5
26
107
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Madaktari wa X eti ni kweli kwamba shahawa zinanenepesha🫢?
15
11
103
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Ni bidhaa gani ambayo hujawahi kuona ikipanda Bei au kushika Bei Toka unazaliwa?
21
17
101
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Badala mtu akuambie tu vizuri kuwa umerudia nguo anasema nilivyoona tu Hilo shati nikajua ni wewe 😂
12
16
102
@SaraphinahW
sara💕
30 days
Baadhi ya watu X wanajikutaga watu wa maisha ya matawi flani hivi au wanamionekano flani hivi ila kiuhalisia ni shida tu🚮🚮🚮
15
19
104
@SaraphinahW
sara💕
1 year
Medali bila ubingwa ni sawa na shanga tuu....😂😂😂
25
11
101
@SaraphinahW
sara💕
10 months
Bora tajiri kuigiza umasikini kuliko masikini kuigiza Kama tajiri.
13
32
100
@SaraphinahW
sara💕
10 months
Ni bora niibiwe mpenzi kuliko niibiwe simu maana simu itaondoka na wapenzi wengine.
15
21
100
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Kwenye mpira wa miguu mwisho sub ngapi?
16
17
99
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Kwanini wanawake ni rahisi kupata follower kuliko wanawaume?
22
12
98
@SaraphinahW
sara💕
8 months
Usipende kuongea maneno makali ukiwa na hasira kwani elewa hasira zitaisha ila maneno makali uliyoongea yatabaki daima.
5
28
102
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Kama kwenye post zangu huwa sikuoni basi hayo maswala ya pitia pinned post kwangu usijisumbue
12
16
95
@SaraphinahW
sara💕
2 months
Kwenye maisha mtu akikufanya kuwa adui usimfanye awe rafiki,vita havihitaji watu waoga.
11
30
97
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Pesa zinaisha. Umaarufu unaisha. Uzuri unaisha. Tumia muda wako vizuri.
5
14
93
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Afadhali stress za mapenzi zinatuvunja moyo zingekua zinavunja miguu ninauhakika nchi nzima tungekuwa viwete.
8
22
86
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Maisha yako yanaisha kwa kila dakika inayopita.
8
14
87
@SaraphinahW
sara💕
6 months
Unavuta bangi wakati wa unaangalia movie, inafika scene ambayo mvua inanyesha tunatoka nje kwenda kuanua nguo😂😂
25
26
88
@SaraphinahW
sara💕
7 months
Kitanda sio jeneza tafuta mtu ulale nae.
17
22
87
@SaraphinahW
sara💕
9 months
Anayekupenda atakuambia ukweli hata Kama ukweli wake utakuudhi lengo lake ubadilike.
7
22
91
@SaraphinahW
sara💕
8 months
Ni kweli Mungu hakupi vyote ila hakikisha anakupa kumjua yeye zaidi.
10
22
84
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Ujinga wa kudate na mbena wa njombe wakati tunahisi atakua serious na moyo wako yeye anawaza parachichi 😂😂
7
11
89
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Najua unajua ila ngoja nikukumbushe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja.
21
20
87
@SaraphinahW
sara💕
5 months
Ishi ukitambua kuwa hata wanaotamani uteseke wapo kwenye pia kundi la wanaokusifia.
8
18
88
@SaraphinahW
sara💕
6 months
Asante Mungu Kwa zawadi ya uhai Mimi na wenzangu 🙏
15
35
86
@SaraphinahW
sara💕
3 months
Utajiri hauambukizwi Kwa njia ya ngono. Fanya kazi
8
27
85
@SaraphinahW
sara💕
8 months
Huwezi ukampa mtu uchungu afu Mungu akakupa wewe furaha.
11
31
84
@SaraphinahW
sara💕
6 months
Tuna watu wengi wa kutulaum kuliko kutushukuru pambania Nia yako walimwengu wamezaliwa na lawama.
14
36
81
@SaraphinahW
sara💕
6 months
Nani asiyependa zawadi hii basi Mwenyezi Mungu awajalie wahitaji wote wapate🙏
Tweet media one
12
20
82
@SaraphinahW
sara💕
2 years
Ee Mungu baba sisi ni mali yako tunaomba utulindie sisi na watoto wetu.🙏
4
10
77
@SaraphinahW
sara💕
4 months
Uko na upwilu umelala pekeako unasikia majirani wananyanduana daaa nyumba za kupanga hizi🙌
9
11
82