💨 BE MPYA ZA SAMSUNG NA XIAOMI
📍Tunatazamana na Geti la kuingia KKKT Kariakoo Floor ya 1 utaingia ndani duka limeandikwa Njiwa Store
GoogleMap
📞 0745100757
💨 Karibu
@SimuZaNjiwa
kwa simu zote kali zinazofanya vizuri sokoni.
Tupo Kariakoo Msimbazi/Uhuru mataa ya Congo kwenye Jengo la Infinix | Tunasafirisha mikoani 🚚
📞 0745100757
💨 Je unahitaji simu gani? Je unatamani kujua nini kuhusu simu yoyote ile karibu tukupatie ushauri wa kitaalamu bure kabisa kabla haujafanya maamuzi.
Retweet for awareness 🙌
💨 Kesho Mwenyenzi Mungu akijalia tutaona Mbeya.
Tunafanya delivery mikoa yote Tanzania 🇹🇿 kwa uaminifu na uhakika.
📍Infinix Tower, Kariakoo
📞 0745100757
💨 Tuamke na hii simu Google Pixel 3a simu inayokimbiza kitaa na vyuoni ikiwa na camera moja matata sana kwa Tsh. 260,000
📍Infinix Tower, Kariakoo | Delivery Mikoani 🚚
@Njiwa_Store
📞 0745100757
💨 Vivo Y1s
Hii simu iliingizwa sokoni November 2020 kutokea huko China. Mpaka sasa inazidi kufanya vizuri sokoni.
Ina (2+32gb) camera, UI na performance yake ni vitu hutojutia 250,000 yako. Thanks me later.
#SimuZaNjiwa
🧿
💨 Ndugu mteja tunazidi kukuboreshea huduma
Sasa unaweza kulipia kidogo kidogo simu zetu
@SimuZaNjiwa
ndani ya App ya
@tunzaaHQ
Ukifungua App ya Tunzaa mwanzo kwenye Top Business utabonyeza Views All (Tazama Zote) chini kabisa utaona duka letu utafungua na kuchagua bidhaa.