Muba Asha
@MubaAsha
Followers
543
Following
26K
Media
184
Statuses
15K
MD๐น๐ฟ|Painter|Mkufunzi|Innovationโค๏ธ|
Morogoro & Mzizima,Tanzania
Joined August 2019
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemumwagia sifa kiungo klabu hiyo, Bruno Fernandes baada ya nyota huyo wa Kimataifa wa Ureno kutoa pasi mbili za magoli (asisti) kwenye ushindi wa 3-1 wa Mashetani hao Wekundu dhidi ya Everton siku ya Jumapili. Nahodha
7
10
292
Napitapita humu naona watu wamekuwa wakali sana Bruno kutajwa kwenye nafasi ya kutwaa tuzo ya mchezaji bora EPL msimu huu. Sasa nasema kwa ajili ya fans wote wa United, sisi hata Bruno asipotwaa hatuna shida , tunaridhika kwa alichofanya kwetu msimu huu.
108
131
1K
The mazy run, the crowd noise, the substitutes running, Artetaโs reaction, the camera shakingโฆ the limbs! ๐น๐ฎโ๐จ
244
5K
28K
RAIS mwenyewe alifeli form 4. Wewe bado unakimbizana kutafuta GPA kubwa Usipoona, UTAONYESHWA
38
52
464
Raia ndio tunaleta mijadala ya Skills au Gpa Bungeni sheria anatunga baba levo za nini kichukuliwe kati ya Gpa,skills or both
10
21
95
Great draw for City and Liverpool they can remind us of their great rivalry over the last 7 years in which City won 6 titles. Never a bad thing when you draw your own father in the cup.
113
1K
8K
The Uganda Medical Association ๐ฟ๐ฒ๐ท๐ฒ๐ฐ๐๐ the proposed changes to undergraduate medical training and internship policy. ๐๐ป๐๐ฒ๐ฟ๐ป๐๐ต๐ถ๐ฝ ๐ถ๐ ๐ป๐ฎ๐๐ถ๐ผ๐ป๐ฎ๐น ๐๐ฒ๐ฟ๐๐ถ๐ฐ๐ฒ, ๐ป๐ผ๐ ๐ฎ ๐๐๐ถ๐๐ถ๐ผ๐ป ๐๐ฒ๐ฎ๐ฟ! @Educ_SportsUg @MinofHealthUG Full statement below. ๐
60
353
757
TANESCO @Tanescoyetu mnaukata umeme, mnauwasha, mnaukata, mnauwasha, mnaukata, mnauwasha, ni kitu cha hatari sana kwa maisha ya watu na mali zao. Tafuteni namna bora ya kutatua hii changamoto.
0
1
3
@MubaAsha Mapinduzi ya jambo ni subjective kaka Labda kiongozi yeye hakuna anachoona Ni kama kwenye Reggae,wanazi wenyewe wanaona Bob Marley hamna kitu Kuna wamba wengine ila sisi huku mzigo wa Nesta tunauelewa
0
1
1
Nikki Mbishi and his colleagues walibadili sanaa nzima ya uchanaji, na impact yao tunaiona mpaka leo across different genres za muziki hapa bongo. Hayo ni mapinduzi tosha.
MAPINDUZI????? Mnambebesha mzigo mzito NIKKI. Ngoja nikupe MAPINDUZI Sasa ya game yetu. 1. Chemsha bongo - prof jay 2. Sugu na ANTIVIRUS TEAM 3. JUMA NATURE - ALBUM YA UGALI 4. LADY JAYDEE - NAAMKA TENA CONCERT 5. AFANDE SELE - MFALME WA RHYMES 6. AY 7. DIAMOND HAYO NI BAADHI
0
3
6
Haki ya Mungu nakubali kabisa list yako, swali mapinduzi yanakikomo? Kuanzia 2012 - till now, Je Nikki Mbishi kupitia [KAZI YAKE YA SANAA] tuache mambo yake binafsi, hazina ushawishi wa Mapinduzi japo sehemu fulani katika game hii ya Hiphop? @MoruoKing
MAPINDUZI????? Mnambebesha mzigo mzito NIKKI. Ngoja nikupe MAPINDUZI Sasa ya game yetu. 1. Chemsha bongo - prof jay 2. Sugu na ANTIVIRUS TEAM 3. JUMA NATURE - ALBUM YA UGALI 4. LADY JAYDEE - NAAMKA TENA CONCERT 5. AFANDE SELE - MFALME WA RHYMES 6. AY 7. DIAMOND HAYO NI BAADHI
2
3
5