200K followers wow!!! Sikutegemea. Niko chini ya miguu yenu. Nawashukuru wote mlionifuata, na hasa tuliojadiliana nao, wanaonishabikia na wanaonichukia na kunitusi. MATAGA na MABOGA, waishiwa na waheshimiwa. Tuzidi kubishana, ktk kutafuta maendeleo chanya ya nchi yetu.