Richard Mabala Profile
Richard Mabala

@MabalaMakengeza

Followers
294,244
Following
1,427
Media
543
Statuses
60,525

Dar es Salaam, Tanzania
Joined February 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Leo ninafurahi kutimiza miaka arobaini kama Mtanzania. Tarehe ya leo miaka arobaini iliyopita nilipokea cheti changu cha uraia 😊😊😊🔥🔥🔥🤩🤩🤩🥳🥳🥳
316
232
4K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Kimsingi kwa nini tuhame nchi yetu kama hatupendi kitu fulani? Kwa nini viongozi wanaona kwamba maagizo yao ni sawa na amri kumi za Mungu? Na asiyependa maagizo yao anastahili kutupwa palipo na kulia na kusaga meno? Kwa nini hawako tayari kusikiliza kero za wananchi?
265
434
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Hata ningekuwa Mataga ningevaa nyeupe leo. Tuna Rais bora, maendeleo yasiyowahi kutokea, wananchi wenye furaha, wapinzani hohehahe. Tumwogope nani? Waje tu kushindana na sis. Tume huru itathibitisha #77Nyeupe
Tweet media one
155
235
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kuhusu suala la kutishia amani, tukumbuke kwamba jaribio lolote la kuiba kura au kuvuruga hesabu ndilo tishio kuu la amani
64
283
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Jamani naomba msaada. Niko hospitali. Nilikuwa navuka barabara jamaa akanipigia kelele, angalia kuna gari linakuja kwa kasi. Nikasimama ili nimwulize kama ana sifa ya kuniambia hivyo. Kabla sijaweza kujua ana digrii ngapi, nikagongwa na kuvunjika miguu.
257
199
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Nilipoomba kesiya Mbowe iletwe mahakamani haraka, nilitegemea mengi yatafichuliwa lakini sikiasi hiki. These accounts of torture and brutality are heart breaking. When will someone be held accountable? Simulizi hizi za mateso na ukatili zinavunja moyo. Lini mtu atawajibika?
107
329
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Nakiri kukosea sana. Naipongeza sana BASATA kwa kuzuia wimbo wa Nay. Bila kuizuia wengi zaidi wameitafuta na kuisikiliza kwa umakini kuliko ambavyo wangesikiliza kikawaida. Heko BASATA heko.
105
148
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Naomba mgombea Ubunge wa Kawe atuoneshe vitabu vyake vya Kijpan, tutafute mtafsiri ili tuweze kufaidi maoni yake
101
120
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
6 years
Nawashukuru wote waliotumia muda wao hapa Twitter kunitambua kama Mtanzania mwenzao. Wamenifanya nizidi kujivunia kuwa Mtanzania.
190
277
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
ki ... go ... go ... gone
158
111
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
The problem with Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) is that its casting is not broad at all. Maybe it should be renamed Tanzania Narrowcasting Corporation (TNC)
100
198
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
picha 1. Old Testament/agano la kale picha 2 New Testament/agano jipya 😛😛😛😛😛
Tweet media one
Tweet media two
161
94
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Hivi hatuwezi kugeuza dreamliner moja iwe na kazi ya zimamoto?
173
114
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
5 years
Nilikuwa na bahati ya kusoma Oxford. Nilifanya mtihani baada ya muhula mmoja kisha hakukukuwa na mtihani hadi mwisho wa mwaka wa 3. Ndiyo maana niliweza kusoma widely ... nje ya masomo yangu na kupanua fikra sana. Kuhudhuria lectures ilikuwa hiari tu. Ila assignments lazima.
42
203
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Hivi madaktari na wataalam wa ubongo hawawezi kufanya utafiti maalum kuhusu athari za watoto kuamka mapema sana kwenda shule na kuchelewa kurudi hivyo kukosa saa za kutosha za kulala. Unakuta hata chekechea wanatembea au kusubiri basi gizani kabisa.
199
200
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
mwisho tutaambiwa kwamba haukuwa mkutano wa ndani kwa sababu walifungua madirisha.
109
165
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Leo ni mtihani mkubwa kwa taifa letu
74
79
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Mdude anaachiwa baada ya mateso yote haya. Sasa waliomfanyia uhuni wote huo washtakiwe.
57
175
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Kwa nini wasitangaze tu vita rasmi kati ya polisi na CHADEMA tujue moja?
79
240
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Hayati Prof Mwaikusa alimtetea Mapalala hadi alipoweza kuanzisha chama. Lkn Mapalala alipomwendea kumpa kadi ya chama Mwaikusa alikataa Nilikuwa natetea haki yako ya kuanzisha chama, haina maana kwamba ni lazima nikubaliane na chama chako Alikuwa anaongelea misingi ya demokrasia
55
228
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Hatimaye kimetoka. Niandae kuona vituko tele vya Mabala yuleyule
Tweet media one
95
265
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Vijana wasema. Tutawapisha kwenye viti vya mabasi mtakapotupisha kwenye viti vya maofisi 😇😇😇
70
215
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
CCM wasitudanganye. Wao ndio walioanzisha mchakato wa katiba kwa gharama kubwa wakati watu walijitahidi elimu afya na maji pia. Walipoona wananchi walitaka katiba tofauti na matakwa yao kwanza walivuruga mchakato kwa bunge la katiba KICCM tu kisha wakazika.
88
289
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kama washindani wako wote wanaondolewa kwa sababu moja au nyingine hujapita bila kupingwa. Umepita bila kuenguliwa. Tutumie lugha sahihi
64
195
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Followers laki moja!! Wow!! Sikutegemea. Nawashukuru wote walioamua kunifollow (kwa kweli sijui kwa nini) na hasa waliozidi kutoa maoni, na ubishi, na mawazo mbadala maana naamini tunaelimishana hivyo. Bila kusahau mabot wenye matusi kibao. Bila wao nisingefikia 100,000 😂😂😂
123
90
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Shaaban Robert hakuwa na digrii, Shakespeare hakuwa na digrii, Ibsen (ambaye alisomwa na mheshimiwa Form 6) hakuwa na digrii, Miriam Makeba hakuwa na digrii. Masekela hakuwa na digrii, Remmy Ongala hakuwa na digrii n.k. n.k. n.k.
145
195
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
kuna wabunge wengine hawstahili kabisa kuitwa 'mheshimiwa' maana wanashusha hadhi yao kwa matamko yao.
83
128
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Hivi hawa Wamalawi bado wapo SADC? Bora wasimamishwe jamani. Wameonesha mfano gani kwa wenzao?
107
88
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Canteen in quarantine. Mhenga anajifunza kupika. Kolekole pie not papai. 😀😀😀
Tweet media one
Tweet media two
75
59
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Kuuliza si majanga: hivi kwa nini barua hii iliandikwa kwa herufi kubwa mwanzo mwisho? Ni kawaida? Ni itifaki?
156
71
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Alipokamatwa nilisema walete kesi mahakamani haraka sana maana walidai wana 'ushahidi tosha' Baada ya huu 'ushahidi tosha' basi tusikie ushahidi upande wa pili. Wanadai tena ana kesi ya kujibu lkn wajihadhari. Kuwapa nafasi ya kujitetea kwaweza kufungua bonge la 'Pandora's Box
42
223
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Naomba mahospitali mjiandae. Nina wasiwasi mtapata kesi nyingi za watu kupaliwa kutokana na kulazimishwa 'kula maneno yao'.
80
155
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Tweet media one
160
96
2K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Kidogo nihamie Yanga leo
97
62
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Ukiona nyumba au soko linawaka moto piga simu faya na sema kwa saitu MKUTANO WA NDANI. Wahusika watafika mara moja na maji ya kutosha tena maji ya kuwasha hadi moto itakimbia
65
202
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Wanakigamboni, tunachapa kazi kwa nguvu. Kazi na bata. Hatutaki kukonda wala kukondaesha.
75
97
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Chama cha Mabango
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
203
121
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
5 years
leo nilisimamishwa na traffic ambaye aliendelea kutukanana matusi ya nguoni konda. Nilipolalamika akaniambia hainihusu wanaelewana na makonda. Nilipozidi kusisitiza kwamba yeye kama mtumishi wa serikali hatakiwi kutumia lugha chafu hivyo alitaka kunipeleka kituoni. 😂😂😂😂
127
82
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
dah, nimefika followers 150k. Nashangaa na nawashukuru wote ambao si tu wanafollow bali wanachangia mawazo na ujuzi. Kwa kweli nimejifunza mengi na nazidi kujifunza kutoka kwenu. Twitter ni jukwaa muhimu kwa wanaopenda kujifunza na kuwasiliana na watu ambao sikufahamiana nao
57
79
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Tweet media one
168
149
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
waliopanda na kuvuna chuki wameshangaa kuona mbegu zao zimeruka na kuingia mashamba ya wengine. Chuki ni sawa na GMO. Haiwezi kukaa sehemu moja. Inasambaa na kuharibu mimea kila mahali.
55
222
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Thabo Mbeki alizaliwa ndani ya mapambano. Baba yake, Govan Mbeki, alikuwa kiongozi wa ANC na chama cha kikomunisti akafungwa na Mandela huko kisiwa cha Robben. Thabo aliongoza migomo ya wanafunzi na mwisho alipelekwa nje kisiri na wanaharakati wenzie wakijifanya timu ya mpira.
48
172
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Kabla ya kulima inabidi kusafisha shamba kwanza. Hata mimi nataka katiba mpya lakini bila kusafisha shamba, na bila kuweka mchakato wa kweli wa kupata katiba mpya mazao hayataota.
68
151
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
wanaodai kuhofia ukabila ndio wanaouchochea
53
134
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
tume ya upendeleo wa taifa
47
122
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
6 years
#povertyporn ngoja nitoe mfano. Mwanangu alipolazwa Muhimbili miaka 25 uliopita, kila Ijumaa alikuja Mwislamu fulani kwenye wodi. Kila Ijumaa akasoma dua na kuzunguka kutoa 5000 kwa kila mgonjwa kisha kutoweka. Nilipouliza ni nani nikaambiwa Bakhresa no kamera, no kujitangaza
81
273
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
PGO ni mfano mwingine athari za matumizi yasiyo sahihi ya lugha. PGO ni maelekezo na maelezo muhimu kwa ajili ya askari wote, hivyo zinatakiwa kuandikwa kwa lugha wanayoielewa. Kiingereza si kipimo cha uwezo wake wa kuwa askari bora.
96
135
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
1 year
Nimesoma kwa Dr Mashamba kwamba Rwanda wamebadili saa za masomo na kazi. Shule zitaanza saa 2.30 asubuhi na kumaliza saa 11 jioni. Saa za kazi ni saa 3 -saa 11. Hii ni kuwaongezea watoto muda wa kulala na kuwawezesha wazazi kunywa chai na wao kabla ya kwenda kazini. WOW!
74
92
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
kuahirisha tatizo ni namna ya kuongeza tatizo mara dufu. Kwa nini waahirishe wakati walisema ushahidi umekamilika???!!! Ukweli upewe nafasi.
55
174
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
1 year
Tarehe kama ya leo miaka 50 iliyopita nilitua Tanzania mara.ya kwanza. Nikasikia raha sana. Hatimaye. Nilitegemea kukaa miaka 2 tu. Tena enzi zile nilikuwa chekibobu sasa ni chekibabu na bado nasikia raha. Mungu amenibariki kweli
85
112
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kuuliza ni majanga. Kwa nini mtu akienda kwenye kiotomotela (ATM) anaruhusiwa kutoa 400,000/- tu kwa mpigo mmoja wakati anaweza kurudia mara ya pili na ya tatu. Kwa nini kiasi kisiongezwe kwa raundi ya kwanza ...?
203
63
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Ishara nyingine ya kushuka kwa uwezo wa kiingereza ni katika vitabu vya kiada vya literature. Zamani Things Fall Apart kilisoma Kidato cha Nne lakini nimeambiwa sasa ni kitabu cha Kidato cha Sita. Vitabu vya Kidato cha Nne ni vidogovidogo tu
114
112
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
jana niliona maendeleo. Nilikuwa kwenye basi la masafa marefu nikisoma mashairi ya Mohammed Ghassani, nilitoka kuchimba dawa, niliporudi kitabu kimetoweka. Ni maendeleo, si tu kuiba kitabu bali kitabu cha mashairi 😊😊😊
162
97
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Namshukuru Mungu. Kama mstaafu wa UNICEF nimepewa chanjo ya kwanza dhidi ya UVIKO. Lakini haitanifanye nisichukue tahadhari zote bado. Ila wanaopinga chanjo wakae mbali nami hata kwenye twitter. Wanaweza kuathiriwa kwa twitterosis.
128
123
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Wasanii wasio praise singers wapo lakini kutokana na uchache wao, wanakuwa isolated.
40
74
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Magwiji wa kulaani matukio ya mbali. Ya karibu ...?
113
159
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
1 year
Shule zitaendelea kushindana lakini si kazi ya baraza la mitihani kuhalalisha mashindano haya.
101
123
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Kuuliza si majanga. Tunarudisha uchifu kwa madhumuni gani? Itatusaidiaje katik kupigania maendeleo?
166
107
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Itabidi kila hospitali iwe na mtabiri wa kujua maisha ya baadaye ya kila mtoto aliye tumboni. Na utoaji mimba uruhusiwe iwapo utabiri ni mbaya.
105
180
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
200K followers wow!!! Sikutegemea. Niko chini ya miguu yenu. Nawashukuru wote mlionifuata, na hasa tuliojadiliana nao, wanaonishabikia na wanaonichukia na kunitusi. MATAGA na MABOGA, waishiwa na waheshimiwa. Tuzidi kubishana, ktk kutafuta maendeleo chanya ya nchi yetu.
88
120
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
6 years
Naomba BASATA wapige marufuku nyimbo za Bob Marley (Mallya) maana ni mchochezi. Get up stand up, stand up for your rights ... dah! Hatareeeee.
67
211
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Hii picha ya mwanamke wa Msumbiji imenivuruga kabisa. Kwanza kwa nini alikuwa hana nguo kabisa? Walitaka kumbaka? Au? Halafu hana silaha, hana kitu lakini anapigwa na mwisho kuuawa na wanaomwua wanafurahia kurekodi.
182
98
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Naanza kupata mashaka kama waheshimiwa na waishiwa wanaishi nchi moja.
58
121
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Kwa miaka karibu 50 tumejikita katika kubadilisha makuzi ya mtoto wa kike lakini tumeacha kabisa makuzi ya mtoto wa kiume. Matokeo yake ni mgongano mkubwa maana mwanaume yuleyule anakutana na mwanamke mwenye msimamo tofauti. Tuangalie sana makuzi ya mtoto wa kiume.
87
204
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kuuliza si ujinga: Naona Hawa the Bus Driver kimepata likes mara mbili ya Mabala the Farmer. Hivyo ni sahihi kusema kwamba Hawa the Bus Driver kinapendwa kuliko Mabala the Farmer? Na kwa nini? Hii itanisaidia katika uandishi wangu.
113
68
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kweli mtihani wa kwanza tumefaulu vizuri sana. Tafakuri ya leo: Kumbe Jeshi la Polisi likitumia busara katika kulinda amani lina nguvu zaidi maradufu kuliko likitumia nguvu. Asante @UpoleTu kwa wazo hilo
47
105
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Nikimwona mwenezi naona uongo huzeesha haraka
83
104
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Apumzike kwa amani Prof Baregu, gwiji mbobevu aliyekuwa tayari kuishi kulingana na msimamo wake licha ya misukosuko aliyopewa. Mfano wa kuigwa. 😭😭😭
24
91
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Ninaamini, inawezekana ninakosea, lakini ninaamini nilipigania women empowerment katika Hawa the Bus Driver kwa kusifia tabia na nguvu zake si kwa kuwa alikuwa mtoto au mrembo.
55
95
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Hata Mwalimu Nyerere hakupita bila kupingwa. Ilipangwa makusudi angalau tuseme ndiyo au hapana na watu walipewa fursa ya kusema hapana.
44
72
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Tukiwa na tume huru, Tutalala na kuamka salama na kujenga taifa kwa nguvu zaidi na zaidi 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 @MariaSTsehai
Tweet media one
37
71
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Wakati umefika vyombo vyote.kukemea Covid 19 hadi nayo ijiuzulu
78
100
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Waheshimiwa spika, Zungu na wabunge wenzako. Hatutaamini maneno yenu yoooote juu ya tozo hadi tuone kwamba mnakatwa kodi na nyinyi pamoja na kupunguza matumizi ya bunge n.k.
47
172
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Hizi pesa zote zilikuwa wapi?
42
47
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Mimi sikatai kwamba machinga ni kero kubwa kwa tabaka lililo nacho. Lakini kuwapiga na kuwafukuza hakutaondoa tatizo la machinga. Wao nao wanataka maisha. Mipango iko wapi kwa ajili yao?
101
108
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Kuna wengine wengi hawapo MATAGA wala MATHA bali MABA Make Tanzania Bankrupt Again. Wanajificha katika haya makundi mengine
49
96
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
mchungaji mchongaji
83
103
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
1 year
Upende usipende ucheke usicheke Arsenal damudamu
Tweet media one
161
67
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
Huu mjadala ya kodi za biashara mtandaoni Narudia. Kabla ya kutafuta kuongeza kodi kwa walio nacho kidogo, tuangalie jinsi ya kupunguza matumizi ya walio nacho. Matumizi yao makubwa sana huleta madai ya kuongeza kodi.
67
163
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
5 years
Wasomi wetu wengi are not educated, they are examicated.
51
184
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
yes yes yes yes yes ... naam naam naam naam naam 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@millardayo
millardayo
4 years
"Ukiniuliza mimi, honest opinion Nchi yetu haiwezi kuzungumza Kiingereza, hivyo tunahitaji kuwa na mjadala juu ya sera ya lugha, tusipokuwa na mjadala huu, hatufiki popote kwani language of instruction is everything" - LISSU #MillardAyoUPDATES
Tweet media one
55
101
1K
51
74
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kumbe katika kuunga kuna kuungua!
63
59
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Nasoma mjadala hapa na najiuliza hivi Mama Samia ana kasoro gani hadi watu wanafikiria awe sidelined. Nashangaa!!!
65
40
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Hivi mabega ya Katibu Mkuu hayajapanda?
70
44
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Is national distancing a form of social distancing?
60
48
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Napenda kuwatangazia madereva wote iwapo uko nyuma yangu kwenye taa na taa zikigeuka kijani .... kupiga honi huko nimeshaanza kuondoka nitasimamisha gari na kutoka kukuuliza una shida gani uso kwa uso. Kiherehere cha nini. Nikichelewa kuondoa gari hili ni suala lingine
104
75
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Wangefunga mashule kwa ajili ya kusikiliza wagombea wote, ningeelewa maana ingekuwa somo zuri sana la uraia (civics). Lakini iwapo ni kwa mgombea mmoja tu, somo, hasa la demokrasia, ama halitaeleweka ama litaeleweka vibaya.
36
139
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Mbuni ni ndege wa ajabu. Mbele ya hatari anaficha kichwa chake eti asipoona hatari hatari haitamwona yeye. Kumbe matako bado yanaonekana waziwazi.
102
108
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Kwa mujibu wa Biblia, Herodi aliwaua watoto wangapi wasio na hatia ili kujaribu kuzuia ukombozi? Alifanikiwa?
50
148
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Ili kuhamasisha uvaaji wa barakoa, napendekeza Yanga, Simba na Azam (na hata timu nyingine) watengeneze barakoa zao na kushiriki katika kuhamasisha.
74
71
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Dr Nchemba anapaswa kutambua yeye mwenyewe ni mwanaharakati wa aina ya maendeleo anayoyataka na jinsi ya kuyapata. Hawa anaowaita wanaharakati kama vile ni tusi wana mtazamo tofauti juu ya maendeleo tu. Kupanga ni kuchagua. yeye amechagua kulia wengine wanaona kushoto ni bora.
28
131
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
jamani naomba mchango. Rafiki yangu amelazwa baada ya kupata mshtuko wakati wa wikiendi. Alikuwa anapambana na hali yake alipokutana na gari la RC. RC alikuwemo ndani akiwa ametulia ndani ya foleni. Kilichomstua rafiki yangu ni kwamba hakukuwa na king'ora wala polisi.
73
50
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
5 years
Ushauri bwerere. Tunahitaji kampeni ya wenye baiskeli kuwa na taa na reflectors. Ni rahisi sana kuwagonga usiku maana hawaonekani kabisa. Kila siku wanasurvive kwa kudra za Mwenyezi Mungu tu.
74
99
999
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Dawa muhimu ya Corona ni taarifa sahihi, taarifa kamilifu, kila wakati. Kuficha habari kwaleta janga, kama tulivyoona China na tunavyoona Marekani. Kusambaza uvumi nayo huleta panic na kutasaidia kusambaza virusi pia. Uwazi na ukweli daima
24
130
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Wakati tunajiandaa kurudisha watoto wetu shuleni, tujiulize tunataka shule ya namna gani? Ya vitisho na viboko ili kupata Division 1 kwa wingi? Au shule inayochochea ubunifu, tafakuri na ukuzaji wa vipaji vya watoto wetu? Hii aina ya pili nayo inakuwa na matokeo mazuri
81
127
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
3 years
Naomba ieleweke. Hili tofali ni kwa ajili ya ujenzi wa darasa, halihusiani na kazi nyingine. 😎😎😎
105
69
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
2 years
🤣🤣🤣🤣🤣 wacha wafundishwe
98
168
1K
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
Enzi za Yesu alikuwa analisha watu 5000. Lakini kwa sasa watu 5000 wanamlisha mchungaji ama kasisi! Kabisa. Daima najiuliza prosperity gospellers wanajijustify vipi wakilinganisha na maisha na mafundisho ya Yesu
84
151
983
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
napenda ifahamike kwamba hawa wanaohamahama kutoka chama hiki hadi kile na hata kudai walikuwa wanatumikia chama wanachohamia kisirisiri ni waongo. Wote walikuwa wanatumikia chama changu cha KWATU: Kwanza Tumbo. Kauli mbiu: Tamba na Tumbo. Mbele Tumbua
60
99
992
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
5 years
Sioni kosa la CAG. Alikuwa makini na specific. Hakusema bunge ni dhaifu moja kwa moja bila bunge lisiposhughulikia taarifa ya CAG linaonesha udhaifu. Straight and clear. Wanaokuza suala hili wana sababu zao.
39
120
971