LinusLasway Profile Banner
Linus Lasway Profile
Linus Lasway

@LinusLasway

Followers
999
Following
22K
Media
289
Statuses
36K

App Alchemist |Spiritual Alchemist– I help you build & monetize apps, & grow spiritually For B2B and Personal Brand.

Dar es Salaam, Tanzania
Joined June 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
@LinusLasway
Linus Lasway
19 days
Hali yako ipoje kwa sasa ya kiroho na kimwili,. -Nzuri.-Amani.-utulivu .-Mbaya.-Majonzi na utulivu.
0
2
9
@LinusLasway
Linus Lasway
16 hours
Unaujua uchawi unausikia wewe?. Vitu kama;. "Kuiba hela rituals".
@RolloverTz
You
21 hours
@AM_NIC3 @CarolNdosi Unampaje zaida wakat pale kuna kile cha kuhesabu hela , na kinahesabu unaona kabsa actual numbers ina maana we unaamin mchawi anaweza loga gar lisiwake . ?.
1
0
2
@LinusLasway
Linus Lasway
16 hours
Kwenye mabenki ninavyoona kwa nini wanafeli kuiba hao uliowaita chuma ulete;. -Labla kuna ulinzi wa ziada kiroho kwa hiyo inawawia Ngumu kwao kuiba benk kiwepesi.
@RolloverTz
You
1 day
@Cowwbama Kwanini chuma ulete hawaibi kwenye mabank??.
2
0
4
@LinusLasway
Linus Lasway
16 hours
Yeah mwisho wa siku,. Umemzaa mtoto na mtoto ajichagulie anachotaka kufanya . Na isiwe kama ndio kisa umemzaa wewe basi ndio awe uwekezaji wako wa uzeeni.
@DrKessyJulius1
Dr.Julius AlmaS
16 hours
@iamthatfemale Ni mawazo ya kifala na kimaskini kuwaza kuzaa Eti watoto waje wakusaidie uzeeni,Mimi uzee wangu naandaa mwenyewe plus kuandalia wanangu Msingi wa maisha Yao ikiwemo Elimu na investment that's it.
1
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
16 hours
Akusaidie How?.
@Paulmeda1
Paul meda
19 hours
@iamthatfemale mtu anakuambia huna mtoto hadi sasa unatakiwa uwe naye mapema aje akusaidie uzeeni.
1
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
16 hours
Kivipi iwe haki? Kwani mtoto kuchagua anachotaka kuja kufanya aachane na kufanya kazi na urithi wa kifamilia ni vibaya?.
@mshanga_j
Mshanga P J
17 hours
@iamthatfemale Lakini tukumbuke kuwa malezi ya watoto ni gharama kubwa sana ambazo huyo mzazi angewekeza kwenye miradi mingine angekuwa bilionea , ni haki na wajibu wa watoto kulipa uwekezaji wa wazazi wao. Nashauri itungwe Sheria ya kuwalazimisha vijana walipe wazazi wao gharama zote za malezi.
0
0
0
@LinusLasway
Linus Lasway
16 hours
Kwa hiyo haujipi Break kwa ajili yako kaka?. Kama,. -kucheck movie?.-kujiponya ki ndani yako?.
@Almalik_Mokiiwa
Almalik Mokiwa
19 hours
@IssahuyaFx 😂😂. I CHOOSE MONEY OVER SLEEPING.
1
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
17 hours
Ni majonzi mazito kwako hasa kama;. -Unafanya kazi ndani na sehemu yoyote unayohitaji hasa kama wewe ni,. >Mjasiliamali wa mtandaoni na mjasiliamali wa nje ya mtandaoni Alfu,. =Hauoni umuhimu wowote ule wa kujiponya Kihisia zako Hasa kutokana na maumivu,majonzi ya kazi zako.
0
0
4
@LinusLasway
Linus Lasway
18 hours
na Je umetumia njia gani kujinasua na changamoto husika au bado haufahamu njia za kujinasua maana mwisho wa siku,. >Nguvu zako za kiroho na Nguvu za mwili wako zitakuwa vyema na kwenda sambamba ukiwa na uelewa wa kukabiliana na changamoto nilizozitaja hapo juu.
0
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
18 hours
RT @LinusLasway: Hali ya wewe ambaye ni mjasiliamali wa mtandaoni na mjasiliamali wa nje ya mtandaoni kuwa na changamoto hizi 2 ambazo ni,….
0
1
0
@LinusLasway
Linus Lasway
18 hours
Hali ya wewe ambaye ni mjasiliamali wa mtandaoni na mjasiliamali wa nje ya mtandaoni kuwa na changamoto hizi 2 ambazo ni,. -kutokuwa na vipaumbele vya siku yako. -kuwa na msongo wa mawazo Usio wa kawaida. Je wewe ni mmoja kati ya watu wenye changamoto hizo juu tajwa.
1
1
1
@LinusLasway
Linus Lasway
20 hours
Kazi na dawa . Eh,. Jibe dada kidogo kaka/Ndugu . Mwagilia moyo mara moja moja sio dhambi. Vipi hapo umenipata?.
0
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
20 hours
RT @LinusLasway: Chocolate baada ya kukaa miezi 4 bila ya kujichua/kupiga punyeto. Kwa hiyo ewe ndugu Mjasiliamali wa mtandaoni na mjasilia….
0
1
0
@LinusLasway
Linus Lasway
20 hours
Chocolate baada ya kukaa miezi 4 bila ya kujichua/kupiga punyeto. Kwa hiyo ewe ndugu Mjasiliamali wa mtandaoni na mjasiliamali wa nje ya mtandaoni . Ni kweli unafanya kazi,unapata wateja . Lakini,. Usijisahau sana hadi ukakwama na wewe kujipa zawadi,. Kwa lugha ya kiswahili ,.
1
1
3
@LinusLasway
Linus Lasway
20 hours
Hii ndio siri iliyopo ya kiroho juu ya kujipa zawadi na Hongera wewe mwenyewe,. Soma huu uzi hadi mwisho,. -Ukijipa Zawadi Na ukijipa Hongera wewe mwenyewe . Kiroho inakufanya uendelee kuwa na utulivu usio wa kawaida . Mfano,. Kuna rafiki yangu alijipa zawadi ya kujinunulia.
2
0
7
@LinusLasway
Linus Lasway
20 hours
Utaishia kuuziwa,. Maji ya upako . Wakati maji wa baharini na maji ya mtoni na maji yatokayo bombani nyumbani kwak9 yana nguvu ya kiroho tayari.
0
0
0
@LinusLasway
Linus Lasway
20 hours
Ukijielezea sana kwa mtu hasa kupita kiasi. Hasa kama wewe ni Mjasiliamali wa mtandaoni na mjasiliamali wa nje ya mtandaoni. Mwishoe utaanza kujisikia,. -kuchoka ndani yako . Hasa kama mtu atakuwa mbishi . Ndio maana kuna rafiki yangu mmoja huwa hapendi kujielezea sana kwa watu.
0
0
4
@LinusLasway
Linus Lasway
1 day
@Johansentz @gabyconscious Kwa mtazamo wangu naona pia ndio mbinu na kitu kitakachowafanya selcom pesa wakae muda mrefu sokoni . Wako,. Linus Lasway. Niite pia kama "Ba maila".
0
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
1 day
Mfano wa hao wajasiliamali ni kama,. @Johansentz na @gabyconscious
Tweet media one
1
0
1
@LinusLasway
Linus Lasway
1 day
RT @LinusLasway: Kidogo kitu ambacho wajasiliamali wengi wameipenda na wameikubali
Tweet media one
0
1
0
@LinusLasway
Linus Lasway
1 day
Kidogo kitu ambacho wajasiliamali wengi wameipenda na wameikubali
Tweet media one
1
1
1