Watu wa Ajabu sana,Binadamu wa ajabu sana
Bola uangamie Watahakikisha lengo Lao nikukuona haujafanikiwa(Daaaamn!)
Skuiz paka shape ni fake,life Style kila k2 fake
Chiz cyo paka uwe na chet,Unyama cyo unyama ni unafki
Ila Mungu ananikinga nimebarikiwa..
WATU FEKI..🤒