Taarifa ni Maisha
@InfoLifeTz
Followers
3K
Following
6K
Media
998
Statuses
5K
Info LifeTz is an Integrated Social Media Project (ISMP) empowering youth through Good Governance, comprehensive SRH&R, HIV and GBV info |Salama Foundation
Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2018
Ukatili dhidi ya wanawake si tu wa kimwili. Maneno, vitisho na hasa mtandaoni pia huumiza. Tutokomeze aina zote za ukatili wa kijinsia. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
1
Kuwa rafiki mwema , paza sauti kukemea auna yoyote ya ukatili wa mtandaoni. Himiza matumizi salama ya mitandao. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
1
Tunaweza kubadilisha tabia ya vijana mtandaoni bila kuingilia uhuru wao kwa kupitia elimu,heshima na usalama.#ChatKijanja #noexcuse
0
1
1
Wazazi, zungumzeni na watoto kuhusu matumizi salama ya mtandao. Wakumbesheni kuhusu picha, jumbe, video zenye maadili pamoja na mazungumzo wanayoyafanya. Uelewa ni kinga. #ChatKijanja #noexcuse
0
4
5
Walimu wanaweza kuwaelekeza wanafunzi namna ya kupambana na ukatili wa kijinsia ukiwemo ule wa mtandaoni.Hii itasaidia kutokomeza matendo ya ukatili hasa kwa wasichana wadogo. #ChatKijanja #noexcuse
0
3
3
Kupitia matumizi mazuri ya mitandao tunaweza kujifunza kuhusu huduma bora za afya ya uzazi pamoja na kutokomeza mimba za utotoni #ChatKijanja
1
7
9
Mzazi,Jitahidi upate nafasi ya kuangalia apps na chats wanazotumia watoto wako.Simamia bila kudhuru heshima yao.Zingatia matumizi salama ya mitandao. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
3
Kama unapata picha,video au maneno yanayokuletea hofu na wasiwasi, usiyatumie.Repoti,block na utafute msaada.Ulinzi wa mtandaoni ni haki yako. #ChatKijanja #noexcuse
0
7
8
Simama kidete,usiruhusu maneno machafu mitandaoni.Zingatia matumizi salama ya mitandao.#ChatKijanja #Noexcuse
1
11
14
Kama unapata picha,video au maneno yanayokuletea hofu na wasiwasi, usiyatumie.Repoti,block na utafute msaada.Ulinzi wa mtandaoni ni haki yako. #ChatKijanja #noexcuse
0
6
9
Simama kidete,usiruhusu maneno machafu mitandaoni.Zingatia matumizi salama ya mitandao.#ChatKijanja #Noexcuse
0
8
9
Rafiki anaekulazimisha kufanya kitu mtandaoni ambacho hauko tayari ni hatari.Usikubali,linda mipaka yako.#ChatKijanja #noexcuse
0
15
17
Maneno mazuri mitandaoni yanajenga urafiki,maneno mabaya yanabomoa na kumomonyoa maadili na utu.Kataa ulatili wa mtandaoni.#ChatKijanja #noexcuse
1
9
10
Rafiki anaekulazimisha kufanya kitu mtandaoni ambacho hauko tayari ni hatari.Usikubali,linda mipaka yako.#ChatKijanja #noexcuse
0
1
2
Kama unapata picha,video au maneno yanayokuletea hofu na wasiwasi, usiyatumie.Repoti,block na utafute msaada.Ulinzi wa mtandaoni ni haki yako. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
2
Usalama wa mtandaoni ni haki yako.Ukiweka mipaka na heshima unalinda mwili,akili na ndoto zako.#ChatKijanja #noexcuse
1
1
2
Usalama wa mtandaoni ni haki yako.Ukiweka mipaka na heshima unalinda mwili,akili na ndoto zako.#ChatKijanja #noexcuse
1
13
36
Taarifa sahihi inakupa nguvu ya kufanya maamuzi.Tokomeza matumizi mabaya ya mitandao #ChatKijanja #noexcuse
0
8
17