InfoLifeTz Profile Banner
Taarifa ni Maisha Profile
Taarifa ni Maisha

@InfoLifeTz

Followers
3K
Following
6K
Media
998
Statuses
5K

Info LifeTz is an Integrated Social Media Project (ISMP) empowering youth through Good Governance, comprehensive SRH&R, HIV and GBV info |Salama Foundation

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Ukatili dhidi ya wanawake si tu wa kimwili. Maneno, vitisho na hasa mtandaoni pia huumiza. Tutokomeze aina zote za ukatili wa kijinsia. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
1
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Kuwa rafiki mwema , paza sauti kukemea auna yoyote ya ukatili wa mtandaoni. Himiza matumizi salama ya mitandao. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
1
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Chunga wenzako, himiza matumizi salama ya mitandao. #Chatikijanja #noexcuse
0
0
0
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Tunaweza kubadilisha tabia ya vijana mtandaoni bila kuingilia uhuru wao kwa kupitia elimu,heshima na usalama.#ChatKijanja #noexcuse
0
1
1
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Wazazi, zungumzeni na watoto kuhusu matumizi salama ya mtandao. Wakumbesheni kuhusu picha, jumbe, video zenye maadili pamoja na mazungumzo wanayoyafanya. Uelewa ni kinga. #ChatKijanja #noexcuse
0
4
5
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Walimu wanaweza kuwaelekeza wanafunzi namna ya kupambana na ukatili wa kijinsia ukiwemo ule wa mtandaoni.Hii itasaidia kutokomeza matendo ya ukatili hasa kwa wasichana wadogo. #ChatKijanja #noexcuse
0
3
3
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Kupitia matumizi mazuri ya mitandao tunaweza kujifunza kuhusu huduma bora za afya ya uzazi pamoja na kutokomeza mimba za utotoni #ChatKijanja
1
7
9
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Wavulana wa kweli hulinda wasichana mtandaoni.Sio kuwadhalilisha.#ChatKijanja #noexcuse
0
1
2
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Mzazi,Jitahidi upate nafasi ya kuangalia apps na chats wanazotumia watoto wako.Simamia bila kudhuru heshima yao.Zingatia matumizi salama ya mitandao. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
3
@kipepe123
KIPEPE 💊
6 months
Kama unapata picha,video au maneno yanayokuletea hofu na wasiwasi, usiyatumie.Repoti,block na utafute msaada.Ulinzi wa mtandaoni ni haki yako. #ChatKijanja #noexcuse
0
7
8
@kipepe123
KIPEPE 💊
6 months
Simama kidete,usiruhusu maneno machafu mitandaoni.Zingatia matumizi salama ya mitandao.#ChatKijanja #Noexcuse
1
11
14
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Kama unapata picha,video au maneno yanayokuletea hofu na wasiwasi, usiyatumie.Repoti,block na utafute msaada.Ulinzi wa mtandaoni ni haki yako. #ChatKijanja #noexcuse
0
6
9
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Simama kidete,usiruhusu maneno machafu mitandaoni.Zingatia matumizi salama ya mitandao.#ChatKijanja #Noexcuse
0
8
9
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Rafiki anaekulazimisha kufanya kitu mtandaoni ambacho hauko tayari ni hatari.Usikubali,linda mipaka yako.#ChatKijanja #noexcuse
0
15
17
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Maneno mazuri mitandaoni yanajenga urafiki,maneno mabaya yanabomoa na kumomonyoa maadili na utu.Kataa ulatili wa mtandaoni.#ChatKijanja #noexcuse
1
9
10
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
5 months
Rafiki anaekulazimisha kufanya kitu mtandaoni ambacho hauko tayari ni hatari.Usikubali,linda mipaka yako.#ChatKijanja #noexcuse
0
1
2
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
6 months
Kama unapata picha,video au maneno yanayokuletea hofu na wasiwasi, usiyatumie.Repoti,block na utafute msaada.Ulinzi wa mtandaoni ni haki yako. #ChatKijanja #noexcuse
0
1
2
@InfoLifeTz
Taarifa ni Maisha
6 months
Usalama wa mtandaoni ni haki yako.Ukiweka mipaka na heshima unalinda mwili,akili na ndoto zako.#ChatKijanja #noexcuse
1
1
2
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Usalama wa mtandaoni ni haki yako.Ukiweka mipaka na heshima unalinda mwili,akili na ndoto zako.#ChatKijanja #noexcuse
1
13
36
@Maichagange
Man Like Sule™
6 months
Taarifa sahihi inakupa nguvu ya kufanya maamuzi.Tokomeza matumizi mabaya ya mitandao #ChatKijanja #noexcuse
0
8
17