HabariTech Profile Banner
HabariTech Profile
HabariTech

@HabariTech

Followers
21K
Following
48K
Media
3K
Statuses
38K

Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech

Dodoma, Tanzania
Joined November 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@HabariTech
HabariTech
5 months
⚑️Hii look ya sasa hivi ya Habariduka natamani ingekuwa na muonekano huu huu kote kwenye desktop na simu . Naendelea kuongeza wauzaji. Na kuna feature mpya itakuwepo ili tuweze kuwa na watu kama @fbuyobe waweke threads zao huku kwa subscription. The road ahead πŸ˜‡
0
3
12
@HabariTech
HabariTech
7 days
Kitu nimetambua ni Watanzania / Vijana wa TZ ukisema biashara wengi wanafikiria RETAILING / REJA REJA tu. Sijui ni kukosa exposure au ni uoga ila kwenye pesa MANUFACTURING & PRODUCTION huwa hatugusi. Shida ni nini?.
9
8
77
@HabariTech
HabariTech
7 days
Ndoto yako kubwa ni kufanya nini?. Yani kama biashara ya namna gani au sasa hivi unatamani kufanya biashara gani?.
4
3
23
@HabariTech
HabariTech
1 month
Jiji la kina @gabyconscious bwana kidogo tu vifoleni mara mnasimamishwa nusu zipite gari aina fulani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
0
0
7
@HabariTech
HabariTech
1 month
Draft inanoga ikiwa live face to face kitu nawaza draft kama hii ipate option ya audio mnacheza huku mnapiga stori kama wana wa PUBG vile.
Tweet card summary image
dama-max-capture-game.lovable.app
Lovable Generated Project
2
0
1
@HabariTech
HabariTech
2 months
Naweza spend hours nikiangalia Gardening & Farming videos on youtube ila sio Tech Videos. Nimeangalia tech videos chache mno kulinganisha na zinazohusu Kilimo.
3
1
18
@HabariTech
HabariTech
2 months
Swali jepesi mno hili. 1. Supernatural.2. Billions.3. Yellowstone.4. House of Cards.5. Peaky Blinders.6. Taboos.7. Scandal. HIzo hapo in that order nafasi 3 zilizobaki bado hazijapata wa kuingia kwenye hiyo list.
@udsm_icon
UDSM ICON
2 months
Kwa upande wangu, hakuna swali gumu kama mtu akuambie upange list ya series 10 kali za muda wote, kutokana na kuangalia series nyingi kali. Je wewe unaweza kutupa hio list? Tukutane kwenye comments πŸ‘‡πŸ‘‡
Tweet media one
1
0
3
@HabariTech
HabariTech
2 months
Kwahiyo Vampire wa kwenye Vampire Diaries nao ni speedsters kama kina The Flash na Quick Silver?. @MvuviMovies.
2
0
4
@HabariTech
HabariTech
2 months
Weirdly watu wanaojua sana technicals/skill fulani huwa wako kimya sana. Ni kama hawajui kujitangaza kwa social media, na ni wachache huwa wako silently wanapiga pesa, ila wengi maisha magumu. Kwa context ya TZ.
0
3
21
@HabariTech
HabariTech
2 months
Tweet card summary image
behance.net
0
2
0
@HabariTech
HabariTech
2 months
Ukishaoa jitahidi sana mkeo asifanye kazi ofisi za watu. Usipoelewa kama mzazi wa kiume bado anapumua nenda kamuulize 😁.
7
1
22
@HabariTech
HabariTech
2 months
Siwezi kusema kwa asilimia ila kwenye excel nimefika level ya kubuild excel apps.
@TOTTechs
#TOTTechs
2 months
Moja kati ya Product Microsoft waliweza basi ni Excel. Kwa hapo ulipo, ni kwa % ngapi unaweza kuitumia Excel?
Tweet media one
1
0
9
@HabariTech
HabariTech
2 months
πŸ˜‚πŸ˜‚ . Pesa za kudownload πŸ˜‚.
@_kijanampole
Kijana Mpole
2 months
@gabyconscious Kina mafole watakwambia hizi site uwakika kupata 600$ per month ingia sasa wewe πŸ˜‚πŸ«΅πŸΏ.
0
0
3
@HabariTech
HabariTech
2 months
Utakata sana tamaa bila knowledge ya kutosha.
@gabyconscious
π™Άπ™°π™±πšˆ π™»π™Ύπš…π™΄πš‚ πšƒπ™΄π™²π™· 6.0
2 months
Investing and making your money work for you always seems easy until you try it with little knowledge or without a financial advisor.
1
1
4
@HabariTech
HabariTech
2 months
Hakuna.
@MijuLee_Tz
NaNaLee_TzπŸ₯€(πŸ‡°πŸ‡·)λ‚Έμ‹œβ™‰οΈ
2 months
Nani Anaruhusiwa kuja Kwako Ghafla Bila Taarifa? πŸ€·πŸ½β€β™€οΈ.
1
0
2
@HabariTech
HabariTech
2 months
Web development.Content Creation.Personal Finance.Technical writing.
@gabyconscious
π™Άπ™°π™±πšˆ π™»π™Ύπš…π™΄πš‚ πšƒπ™΄π™²π™· 6.0
2 months
Kama ungefundisha Taifa zima skill mojaβ€”ingekuwa ipi?.
0
2
6
@HabariTech
HabariTech
2 months
Web development.Content Creation.Personal Finance.Technical writing.
@gabyconscious
π™Άπ™°π™±πšˆ π™»π™Ύπš…π™΄πš‚ πšƒπ™΄π™²π™· 6.0
2 months
Kama ungefundisha Taifa zima skill mojaβ€”ingekuwa ipi?.
1
1
7
@HabariTech
HabariTech
2 months
Unaipa algo confirmation kwamba uko interested na content za namna hiyo hence unaanza kuwa flooded. Algo inacheki pattern yako ya nyuma inafanya association na watu waliokuzunguka then ina toa suggestion kwako na kitu kipo karibu na interest yako. Wewe utaconfirm tu.
0
1
3
@HabariTech
HabariTech
2 months
Not necessary uwe umefanya hivyo wewe mwenyewe. Likely watu waliopo same location na wewe au within 5km range kuna % yao wanashare interest na wewe. So algorithm inafanya assumption kwamba na wewe unaweza kuwa interested na same thing. Utakapokuja view walau post moja.
@PolymathUnivers
Koiyaki.CreatorX.AMB.KE
2 months
Mdau anisanue namna algo ya pinterest inavyofanya kazi coz why ni kama inanipa content as if imesneek into my intuitive mind. Unakuta sijagugo, sijapiga story na mtu sijasearch but content inayokuja utafkri algo iligaze into my subconsious mind.
2
1
12
@HabariTech
HabariTech
2 months
Naweza thubutu kusema thamani kubwa ya Crypto kwa sasa inatoka haswa na Imani ya watumiaji. Ila sasa unaweza kuongelea vipi Blockchain technology bila kuhusisha Cryptocurrency?.
0
0
0
@HabariTech
HabariTech
2 months
Crypto haina hayo yote. Yenyewe ni decentralized na haina dhamana ya serikali wala matumizi ya lazima isipokuwa mtu mwenyewe awe ametaka kuitumia. Bitcoin yenyewe haina thamani, ila kwa sababu watu wameamua kuiamini kama store of value ndivyo inakuwa na thamani.
1
0
1