
HabariTech
@HabariTech
Followers
21K
Following
48K
Media
3K
Statuses
38K
Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech
Dodoma, Tanzania
Joined November 2020
β‘οΈHii look ya sasa hivi ya Habariduka natamani ingekuwa na muonekano huu huu kote kwenye desktop na simu Naendelea kuongeza wauzaji. Na kuna feature mpya itakuwepo ili tuweze kuwa na watu kama @fbuyobe waweke threads zao huku kwa subscription. The road ahead π
0
3
13
X ni mtandao ambao una vita isiyoisha kati ya watumiaji wake. Vita yake kubwa huwa ni nani yuko sahihi katika kila mada, bila ya kujali hoja inajengwa vipi.
1
1
11
Mzungu hatangazi mafanikio mapema akihofia kuwa cancelled na Gen Z. Mtanzania anaogopa VILLAGE PEOPLEπ
0
1
3
CEO @RamaswmySridhar discusses the role of the ecosystem in accelerating AI: βSnowflake is at the center of todayβs AI revolution. Weβre working together with industry leaders, founders, and a strong ecosystem to accelerate AI adoption and build what's next."
3
37
730
Na sio unachoamini tu ila kiwe kile ambacho umefanya utafiti ukaona kina tija na kinaleta faida si chini ya 4% kwa mwaka. Fanya hivyo kwa mwaka mmoja kwanza ujenge mazoea. Alafu ukiona umependa nakuhakikishia utajikuta tu unaongeza dau la uwekezaji wewe mwenyewe.
0
0
12
Anyway sisemi uache kulipia hizo burudani, ila nataka nikupe challenge. Kila mwezi piga hesabu unatumia gharama kiasi gani kulipia hizo burudani. Chukua nusu yake (50%) fanya uwekezaji. Sio lazima iwe kwenye soko la hisa. Ila fanya uwekezaji kwenye chochote unachooamini.
1
0
12
Fanya hivyo kwa miaka yako 20 sijui 30 ya kufanya kazi. Unapofikia muda wa kustaafu unakula pension ya NSSF na ukija huku hukosi kamilion 40 kako. Shida iko wapi? Si kwamba hakuna risk ya kupoteza kwenye soko la hisa hata huku risk ipo ila hata kuangalia sinema zetu niβ¦β¦
1
0
14
Ambapo ukipiga hesabu ya Capital Gain (faida ya kupanda thamani ya hisa) leo ile 1.2 mil ingekuwa 3.12 mil. Ukichaa flani mdogo mdogo. Kumbuka bado kuna dividends unapata kila mwaka unazifanyia compounding.
1
0
20
Ndiyo umepata burudani, ila wewe umepata nini? Miaka mitano iliyopita katika soko la HISA la DSE hisa za CRDB zilikuwa zinatembea Tsh. 120 kwa kila hisa moja. Tukipiga DCA ungekuwa kila mwezi unanunua hisa za Tsh. 20,000 huenda leo ungemiliki takribani hisa 4,500 za CRDB.
2
0
24
Okay so unalipia netflix, Apple Music, Spotify, Azam TV au huduma yoyote ya burudani si chini ya Tsh. 20,000 /mwezi. Miaka mingapi imepita tangu umeanza lipia? Tufanye miezi 60 (miaka 5). hiyo ni 1,200,000 chubwi kwenye shimo la choo. UMEFAIDIKA NINI MPAKA SASA?
40
25
243
Kitu nimetambua ni Watanzania / Vijana wa TZ ukisema biashara wengi wanafikiria RETAILING / REJA REJA tu. Sijui ni kukosa exposure au ni uoga ila kwenye pesa MANUFACTURING & PRODUCTION huwa hatugusi. Shida ni nini?
9
8
78
Ndoto yako kubwa ni kufanya nini? Yani kama biashara ya namna gani au sasa hivi unatamani kufanya biashara gani?
4
3
25
Jiji la kina @gabyconscious bwana kidogo tu vifoleni mara mnasimamishwa nusu zipite gari aina fulani πππ
0
0
7
Draft inanoga ikiwa live face to face kitu nawaza draft kama hii ipate option ya audio mnacheza huku mnapiga stori kama wana wa PUBG vile. https://t.co/Z6N0lkDzSg
dama-max-capture-game.lovable.app
Lovable Generated Project
2
0
1
Naweza spend hours nikiangalia Gardening & Farming videos on youtube ila sio Tech Videos. Nimeangalia tech videos chache mno kulinganisha na zinazohusu Kilimo.
3
1
20
Swali jepesi mno hili 1. Supernatural 2. Billions 3. Yellowstone 4. House of Cards 5. Peaky Blinders 6. Taboos 7. Scandal HIzo hapo in that order nafasi 3 zilizobaki bado hazijapata wa kuingia kwenye hiyo list.
Kwa upande wangu, hakuna swali gumu kama mtu akuambie upange list ya series 10 kali za muda wote, kutokana na kuangalia series nyingi kali. Je wewe unaweza kutupa hio list? Tukutane kwenye comments ππ
1
0
4
Kwahiyo Vampire wa kwenye Vampire Diaries nao ni speedsters kama kina The Flash na Quick Silver? @MvuviMovies
2
0
4
Weirdly watu wanaojua sana technicals/skill fulani huwa wako kimya sana. Ni kama hawajui kujitangaza kwa social media, na ni wachache huwa wako silently wanapiga pesa, ila wengi maisha magumu. Kwa context ya TZ.
0
5
22
behance.net
1
2
1
Ukishaoa jitahidi sana mkeo asifanye kazi ofisi za watu. Usipoelewa kama mzazi wa kiume bado anapumua nenda kamuulize π
7
1
22