HabariTech Profile Banner
HabariTech Profile
HabariTech

@HabariTech

Followers
21K
Following
48K
Media
3K
Statuses
38K

Ulimwengu wa Teknolojia kiganjani mwako. #HabariTech

Dodoma, Tanzania
Joined November 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@HabariTech
HabariTech
7 months
⚑️Hii look ya sasa hivi ya Habariduka natamani ingekuwa na muonekano huu huu kote kwenye desktop na simu Naendelea kuongeza wauzaji. Na kuna feature mpya itakuwepo ili tuweze kuwa na watu kama @fbuyobe waweke threads zao huku kwa subscription. The road ahead πŸ˜‡
0
3
13
@HabariTech
HabariTech
1 month
X ni mtandao ambao una vita isiyoisha kati ya watumiaji wake. Vita yake kubwa huwa ni nani yuko sahihi katika kila mada, bila ya kujali hoja inajengwa vipi.
1
1
11
@HabariTech
HabariTech
1 month
Mzungu hatangazi mafanikio mapema akihofia kuwa cancelled na Gen Z. Mtanzania anaogopa VILLAGE PEOPLE😁
0
1
3
@Snowflake
Snowflake
16 days
CEO @RamaswmySridhar discusses the role of the ecosystem in accelerating AI: β€œSnowflake is at the center of today’s AI revolution. We’re working together with industry leaders, founders, and a strong ecosystem to accelerate AI adoption and build what's next."
3
37
730
@HabariTech
HabariTech
2 months
Stay rich -> Get Richer -> Have Fun
@Atine30
π•¬π–—π–”π–œπ–”π–‘π–”'π–˜ π–‘π–†π–˜π–™π–‡π–”π–—π–“πŸ€
2 months
After getting rich, what next?
0
0
3
@HabariTech
HabariTech
2 months
Na sio unachoamini tu ila kiwe kile ambacho umefanya utafiti ukaona kina tija na kinaleta faida si chini ya 4% kwa mwaka. Fanya hivyo kwa mwaka mmoja kwanza ujenge mazoea. Alafu ukiona umependa nakuhakikishia utajikuta tu unaongeza dau la uwekezaji wewe mwenyewe.
0
0
12
@HabariTech
HabariTech
2 months
Anyway sisemi uache kulipia hizo burudani, ila nataka nikupe challenge. Kila mwezi piga hesabu unatumia gharama kiasi gani kulipia hizo burudani. Chukua nusu yake (50%) fanya uwekezaji. Sio lazima iwe kwenye soko la hisa. Ila fanya uwekezaji kwenye chochote unachooamini.
1
0
12
@HabariTech
HabariTech
2 months
Fanya hivyo kwa miaka yako 20 sijui 30 ya kufanya kazi. Unapofikia muda wa kustaafu unakula pension ya NSSF na ukija huku hukosi kamilion 40 kako. Shida iko wapi? Si kwamba hakuna risk ya kupoteza kwenye soko la hisa hata huku risk ipo ila hata kuangalia sinema zetu ni……
1
0
14
@HabariTech
HabariTech
2 months
Ambapo ukipiga hesabu ya Capital Gain (faida ya kupanda thamani ya hisa) leo ile 1.2 mil ingekuwa 3.12 mil. Ukichaa flani mdogo mdogo. Kumbuka bado kuna dividends unapata kila mwaka unazifanyia compounding.
1
0
20
@HabariTech
HabariTech
2 months
Ndiyo umepata burudani, ila wewe umepata nini? Miaka mitano iliyopita katika soko la HISA la DSE hisa za CRDB zilikuwa zinatembea Tsh. 120 kwa kila hisa moja. Tukipiga DCA ungekuwa kila mwezi unanunua hisa za Tsh. 20,000 huenda leo ungemiliki takribani hisa 4,500 za CRDB.
2
0
24
@HabariTech
HabariTech
2 months
Okay so unalipia netflix, Apple Music, Spotify, Azam TV au huduma yoyote ya burudani si chini ya Tsh. 20,000 /mwezi. Miaka mingapi imepita tangu umeanza lipia? Tufanye miezi 60 (miaka 5). hiyo ni 1,200,000 chubwi kwenye shimo la choo. UMEFAIDIKA NINI MPAKA SASA?
40
25
243
@HabariTech
HabariTech
2 months
How about quitting X for good?
3
1
8
@HabariTech
HabariTech
3 months
Kitu nimetambua ni Watanzania / Vijana wa TZ ukisema biashara wengi wanafikiria RETAILING / REJA REJA tu. Sijui ni kukosa exposure au ni uoga ila kwenye pesa MANUFACTURING & PRODUCTION huwa hatugusi. Shida ni nini?
9
8
78
@HabariTech
HabariTech
3 months
Ndoto yako kubwa ni kufanya nini? Yani kama biashara ya namna gani au sasa hivi unatamani kufanya biashara gani?
4
3
25
@HabariTech
HabariTech
4 months
Jiji la kina @gabyconscious bwana kidogo tu vifoleni mara mnasimamishwa nusu zipite gari aina fulani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
0
0
7
@HabariTech
HabariTech
4 months
Draft inanoga ikiwa live face to face kitu nawaza draft kama hii ipate option ya audio mnacheza huku mnapiga stori kama wana wa PUBG vile. https://t.co/Z6N0lkDzSg
Tweet card summary image
dama-max-capture-game.lovable.app
Lovable Generated Project
2
0
1
@HabariTech
HabariTech
4 months
Naweza spend hours nikiangalia Gardening & Farming videos on youtube ila sio Tech Videos. Nimeangalia tech videos chache mno kulinganisha na zinazohusu Kilimo.
3
1
20
@HabariTech
HabariTech
4 months
Swali jepesi mno hili 1. Supernatural 2. Billions 3. Yellowstone 4. House of Cards 5. Peaky Blinders 6. Taboos 7. Scandal HIzo hapo in that order nafasi 3 zilizobaki bado hazijapata wa kuingia kwenye hiyo list.
@udsm_icon
UDSM ICON
4 months
Kwa upande wangu, hakuna swali gumu kama mtu akuambie upange list ya series 10 kali za muda wote, kutokana na kuangalia series nyingi kali. Je wewe unaweza kutupa hio list? Tukutane kwenye comments πŸ‘‡πŸ‘‡
1
0
4
@HabariTech
HabariTech
4 months
Kwahiyo Vampire wa kwenye Vampire Diaries nao ni speedsters kama kina The Flash na Quick Silver? @MvuviMovies
2
0
4
@HabariTech
HabariTech
4 months
Weirdly watu wanaojua sana technicals/skill fulani huwa wako kimya sana. Ni kama hawajui kujitangaza kwa social media, na ni wachache huwa wako silently wanapiga pesa, ila wengi maisha magumu. Kwa context ya TZ.
0
5
22
@Adrianstudiotz
Adrian studio ( Your branding guy )
4 months
Tweet card summary image
behance.net
1
2
1
@HabariTech
HabariTech
4 months
Ukishaoa jitahidi sana mkeo asifanye kazi ofisi za watu. Usipoelewa kama mzazi wa kiume bado anapumua nenda kamuulize 😁
7
1
22