Kampista Profile
Kampista

@DavidKampista

Followers
100K
Following
1K
Media
3K
Statuses
3K

📲Sports Anchor/Producer 📲CLOUDS MEDIA GROUP

Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
@DavidKampista
Kampista
7 days
Kocha wa Namungo Fc Juma Mgunda anasema kitendo cha Mwamuzi Abdallah Mwinyimkuu kuwanyima penati kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga ndicho kilichopelekea wao kupoteza katika mchezo wa NBCPL! Yes of NO?
6
2
182
@DavidKampista
Kampista
9 days
"Nimeshamwambia hata Rais wa Klabu kuwa hatuwezi kufanikiwa kimataifa kwa kusajili wachezaji kila baada ya miezi sita"Haji Manara"
7
4
232
@DavidKampista
Kampista
12 days
Arsenal tayari wamechekesha huko Wolves 2-2 Arsenal! Hakuna timu ya ubingwa humu tusipotezeane muda!
1
0
29
@DavidKampista
Kampista
22 days
Kwenu Studio!
2
1
97
@DavidKampista
Kampista
25 days
Aliyekua msemaji wa Simba na Yanga,Haji Manara amesema kwa miaka 10 iliyopita hakuna mchezaji anayemfikia Triple C kifikra kwenye mpira wa miguu nchini na kwa namna NBCPL ilivyo dhaifu mzambia huyo atacheza hadi 2030! YES OR NO?
11
7
320
@DavidKampista
Kampista
26 days
Haji Manara ana amini ya kwamba M/kiti Murtaza Mangungu hakuna anachojua kuhusu Simba,kazi yake ni kufunga na kufungua kikao,hivyo yote yanayosemwa dhidi yake ni ya kusingiziwa!
9
3
246
@DavidKampista
Kampista
27 days
"Gueye ni mchezaji mzuri lakini kwa mtazamo wangu hakuna anachomzidi Morice Abraham, ni vile tu watu hawajataka kumuamini mchezaji mzawa kama ambayo hawataki kufanya hivyo kwa Seleman Mwalimu ambaye amewasha vilivyo kwenye Afcon"Shaffih Dauda!
34
8
435
@DavidKampista
Kampista
28 days
"Ningekua mimi ndio Mangungu kwanza nisingekubali Klabu kuendeshwa kimagumashi au kimjini mini.Nisingekubaliana na kitu kinaitwa mwekezaji, sijui bodi ya Klabu!Ningesimamia katiba inayosema M/kiti wa Bodi anatoka upande wa Wanachama wenye asilimia 51 tofauti na sasa"Dauda!
13
3
194
@DavidKampista
Kampista
1 month
Yanga wamesema wanasubiri upande wa pili wajichanganye leo kwa kumuachia aondoke ili kesho mapema wamtangaze!Hii ni kwa mujibu wa Afisa Habari wao Ally Kamwe
9
8
453
@DavidKampista
Kampista
1 month
Mpanzu aende au abaki?
13
1
193
@DavidKampista
Kampista
1 month
Hussein Abel,Shomari Kapombe,Antony Mligo,Rushine De Reuck,Wilson Nangu,Yusuph Kagoma,Naby Camara,Seleman Mwalimu,Neo Maema,Mohamed Bajaber!
0
0
7
@DavidKampista
Kampista
2 months
Mchezo umekwisha!
2
1
209
@DavidKampista
Kampista
2 months
Wazee wenzangu wawekezaji nimewafungulia chimbo la mipango tuishi humu! Link hii👇 Follow the KAMPISTA SPORTS TIPS channel on WhatsApp: https://t.co/FKPm0fDHtp
0
0
3
@DavidKampista
Kampista
2 months
"Nampenda sana Allan Okello.Nilimfuatilia kwa muda mrefu kabla hajaenda Algeria,nakumbuka 2019 nilienda Uganda kumfuatilia yeye,Bosos na Mustafa Kizza.Kama si Januari basi ni Juni nitasajili mchezaji kutoka Uganda"Hersi Said"
0
3
132
@DavidKampista
Kampista
2 months
"Kusema Taifa Stars itafika fainali michuano ya Afcon ni kudanganyana lazima tuwe wakweli si kuzungumza kwa utashi.Kwa wachezaji na uzoefu walionao tunaweza kupiga hatua lakini si kucheza fainali"Hemed Morocco Kocha wa zamani T.Stars.
5
1
103
@DavidKampista
Kampista
3 months
Kwamba Rais wa Vilabu barani Afrika angeweza kutoitumia Klabu ya Simba juu ya matatizo ya kiuongozi lakini hilo halitoshi kuukimbia ukweli juu ya tatizo hilo kwa Klabu zetu. Kwenu wahenga
3
3
159
@DavidKampista
Kampista
3 months
Kapteni wa Yanga,DickJon amesema Mdhamini wao GSM aliahidi kuwalila bonus yao ya Bilioni Moja kwa kuifunga Simba Sc kwenye mchezo wa mwisho wa NBPL na alitekeleza ahadi hiyo hata kabla ya safari yak ya kuelekea Znz siku ya pili yake kwenye fainali ya FA dhidi ya Singida B.S!
6
7
239
@DavidKampista
Kampista
3 months
Umaambiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Simba wanachama walio wengi walikimbilia foleni ya ubwabwa licha ya mkutano kufungwa kihuni!
3
1
161
@DavidKampista
Kampista
3 months
KICHWA CHA HABARI -Tajiri kaa kwa tahadhari, mkakati wa kukung’oa umeanza kimyakimya"Charles Abel"
0
0
140
@DavidKampista
Kampista
3 months
Papii Nonda Shaaban alikatiza Yanga na baadae tulimshuhudia hadi Fainali ya UCL akiwa na As Monaco Ufaransa!Mayele amethibitisha kwa tuzo binafsi na mataji hapa Afrika!
6
11
342