ACTWazalendo
@ACTwazalendo
Followers
18K
Following
5K
Media
8K
Statuses
25K
ACT Wazalendo ni Chama cha Siasa Nchini Tanzania kinachoahidi kuleta |ZanzibarMpya |ZanzibarMoja |MamlakaKamili |TaifaLaWote |MaslahiYaWote
Tanzania
Joined October 2018
Leo Feb 27, 2026 Kiongozi wa @ACTwazalendo, Ndugu @SemuDorothy alifika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Dar es Salaam kuweka sahihi kitabu Cha kumbukumbu ya Hayati Mhashamu Kardinali Polycarp Pengo na kuungana na waombolezaji kutoa heshima ya mwisho. #RIPKardinaliPengo
1
3
9
Kesho Feb 26, 2026 Mwenyekiti wa @NgomeyaWanawake Taifa, Ndugu @JaneRithe atazungumza na waandishi wa habari. Mahala: Makao Makuu ya @ACTwazalendo (Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM) Muda: 5:00 Asubuhi Waandishi wote mnakaribishwa #TaifaLaWote
#MaslahiYaWote
0
2
4
Mwenyekiti wa Taifa wa @ACTwazalendo, Ndugu @othmasoud, amesema ziara zake za Ramadhani za kuwatembelea na kuwafariji wananchi zinalenga kujionea hali halisi ya maisha na changamoto zinazowakabili, hasa wanyonge. Akizungumza Februari 25, 2026, Mjini-Magharibi Unguja, amesema
1
3
10
Kesho Feb 23, 2026 Mwenyekiti wa @NgomeyaVijana Taifa, Ndugu @abdulnondo2 atazungumza na waandishi wa Habari Makao Makuu ya @ACTwazalendo (Maalim Seif House-Magomeni) Muda: 6:00 Mchana Waandishi wote mnakaribishwa. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
0
3
8
"Zanzibar ina wapiga kura 600,000. Sisi @ACTwazalendo tulikuwa na wapiga zaidi ya 400,000. CCM walikuwa na wapiga kura 186,000. Zanzibar sisi ndio chama cha kwanza." Makamu Mwenyekiti Bara @MchinjitaIR
#ZanzibarMpya
#ZanzibarMoja
#MamlakaKamili
2
4
14
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amina. #RIPKardinaliPengo
3
4
16
KC @SemuDorothy akiambatana na viongozi wengine amehudhuria kesi @ACTwazalendo dhidi ya @TumeUchaguziTZ. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
0
2
7
"Utekaji na uvunjifu wa haki za binadamu imekuwa ni sehemu ya maisha yetu. Inajengwa hofu kwa jamii ili kuifanya Serikali isiwajibishwe na umma." Makamu Mwenyekiti @ACTwazalendo Bara @MchinjitaIR
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
0
2
7
Salaam za rambirambi kutoka kwa KC @SemuDorothy kufuatia kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kilichotokea jana Feb 19, 2026. Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amina. #RIPKardinaliPengo
0
3
10
Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Taifa, Ndugu @othmasoud anawatakia Waislamu wote nchini mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. #RamadhaniKareem
2
4
14
Chama cha @ACTWazalendo kinawatakia Waislamu wote nchini heri na baraka za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. #RamadhanKareem
1
8
22
π²ππππ πππ @ACTwazalendo πππππ ππππππ ππππππππ π πππ ππππππ ππππ π’π πΌπππππ π π πΊπ ππππππ. πΊππ π πππππππ πππ ππππππππππππ, ππππππππππ πππππππ ππ πππ πππππ π πππππππ.
0
6
19
Usiache kufuatilia kipindi Cha Power Bank ndani ya Bongo Fm ni kuanzia saa 3:00 asubuhi siku ya kesho tarehe 18 Februari, 2026. Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo Ndugu, @SemuDorothy atakuwa mgeni katika kipindi hicho. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
1
6
15
Ni miaka 5 sasa tangu aliyekuwa Mwenyekiti wetu, Maalim Seif Sharif Hamad atanguliye mbele ya haki. Tunaendelea kuukumbuka uongozi wake na mchango wake katika kukijenga chama chetu. #MaalimSeif
#ACTWazalendo
4
8
28
Kesho Feb 17, 2026 Makamu Mwenyekiti Bara, Ndugu @MchinjitaIR atakuwa katika kipindi cha Jambo Asubuhi cha Jambo Oline Tv. Muda saa 3:00 Asubuhi #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
@ACTwazalendo
0
5
12
Jana Feb 15, 2026 Katibu Mkuu wa @ACTwazalendo, Ndugu @AdoShaibu amefunga ndoa na Bi. Rachel Kimambo. Sherehe ya harusi imefanyika White Sands Hotel. KC @SemuDorothy, Mwenyekiti @othmasoud, KCM @zittokabwe ni miongoni mwa viongozi wa @ACTwazalendo waliohudhuria. Tunamtakia kila
4
6
21
πKiembesamaki Unguja Leo Feb 15, 2026 Mwenyekiti wa @ACTwazalendo Taifa, Ndugu @othmasoud amesema mazungumzo ya kutafuta suluhu ya mkwamo wa kisiasa Zanzibar yanaendelea. Ndugu Mwenyekiti amesisitiza kuwa ACT haishiriki kwa ajili ya kugawana madaraka bali kwa madhumuni ya
3
2
13
TAARIFA KWA UMMA Yahusu kufunguliwa upya kwa maombi ya kuzuia uchomaji wa nyaraka za uchaguzi mkuu 2025. #ZanzibarMpya #ZanzibarMoja #MamlakaKamili
1
3
12
Mwenyekiti wa Chama cha @ACTwazalendo Taifa, Ndugu @othmasoud, alipowasili na kuzungumza na Viongozi wa chama chake wa mkoa wa kichama wa Wete na Micheweni, Kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani, huko Wete Kaskazini Pemba. Mheshimiwa Othman yupo
1
7
18