Charles William
@2CharlesWilliam
Followers
6K
Following
5K
Media
76
Statuses
539
Journalist and Mass communication practitioner| Social and Political issues analyst| Works at Wasafi FM & Wasafi TV| Views are mine!
Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2015
Naibu Katibu Mkuu wa CHAUMMA, Benson Kigaila, alipofika kwenye One on One.
0
0
1
Nilimuuliza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, “Ni hatua zipi Serikali inachukua katika kuangalia ustawi wa mtoto aliyezaliwa na mtoto chini ya miaka 18 au mwanafunzi baada ya kumfunga miaka 30 jela Baba yake kwa kosa la kumpa ujauzito?” #OneonOneWasafiTV
11
3
63
Mahojiano na Katani Ahmed Katani, Aliyewania Ubunge kupitia CUF 2010, na kisha kushinda ubunge kupitia CUF (2015-2020), na baadae kushinda kupitia CCM (2020 - 2025). https://t.co/IiazQwy4xw
0
0
7
https://t.co/IiazQwy4xw Mbunge wa Tandahimba anayemaliza muda wake, Katani Ahmed Katani kwenye One on One ya Wasafi TV
4
0
26
Kwenye One On One wiki hii nilikua na Katani Ahmed Katani, Mbunge wa Tandahimba 2015 - 2025. Mahojiano kamili👇 https://t.co/IiazQwy4xw
0
0
4
Jumatatu ya tarehe 23 Juni 2025 nitakua na Wakili @PMadeleka katika One on One ya Wasafi TV kuanzia saa moja kamili usiku. Usikose!!
3
7
41
Sasa Mzee wangu Hashim Rungwe ataenda kuongeza idadi ya wagombea katika uchaguzi. Hali ilikua ngumu sana kwake kama alivyonieleza katika mahojiano ya One on One kupitia @wasafitv
5
21
194
Kanuni kuu ya kuwa MUONGO MAHIRI ni KUTOKUA MSAHAULIFU. Kwa lugha nyingine; unakua muongo mpaka wewe mwenyewe unauamini huo uongo kuwa ndio ukweli. Lakini wakati unafanya hivyo, kumbuka Amri Kuu za Mungu, amri ya 9 ni “Usiseme Uongo”.
2
3
29
Dini na Siasa havitenganishiki? Sheikh Ponda amenijibu hivi;
3
11
47
Nimezungumza mambo mengi na Sheikh Ponda Issa Ponda kupitia One on One with @2CharlesWilliam, unaweza kutazama mahojiano kamili hapa https://t.co/l6rdv4uFHO
0
1
9
Mahojiano ya One on One na Sheikh Ponda Issa Ponda niliyofanya wiki hii: https://t.co/l6rdv4uFHO
1
2
20
Nilipozungumza na Mbunge wa zamani wa Nkasi Kaskazini Ally Mohamed Keissy kupitia One on One with @2CharlesWilliam
0
0
7
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Aretas Lyimo alipozungumza nami kupitia One on One with @2CharlesWilliam
1
1
11
Mdau wa Kiswahili, Joram Nkumbi anashauri Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia mpaka kidato cha nne ili vijana wapate maarifa zaidi badala ya kukariri vitu bila kuvielewa:
2
2
16