2CharlesWilliam Profile Banner
Charles William Profile
Charles William

@2CharlesWilliam

Followers
6K
Following
5K
Media
76
Statuses
539

Journalist and Mass communication practitioner| Social and Political issues analyst| Works at Wasafi FM & Wasafi TV| Views are mine!

Dar es Salaam, Tanzania
Joined January 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@2CharlesWilliam
Charles William
4 months
Naibu Katibu Mkuu wa CHAUMMA, Benson Kigaila, alipofika kwenye One on One.
0
0
1
@2CharlesWilliam
Charles William
7 months
Nilimuuliza Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, “Ni hatua zipi Serikali inachukua katika kuangalia ustawi wa mtoto aliyezaliwa na mtoto chini ya miaka 18 au mwanafunzi baada ya kumfunga miaka 30 jela Baba yake kwa kosa la kumpa ujauzito?” #OneonOneWasafiTV
11
3
63
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
Mahojiano na Katani Ahmed Katani, Aliyewania Ubunge kupitia CUF 2010, na kisha kushinda ubunge kupitia CUF (2015-2020), na baadae kushinda kupitia CCM (2020 - 2025). https://t.co/IiazQwy4xw
0
0
7
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
https://t.co/IiazQwy4xw Mbunge wa Tandahimba anayemaliza muda wake, Katani Ahmed Katani kwenye One on One ya Wasafi TV
4
0
26
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
Kwenye One On One wiki hii nilikua na Katani Ahmed Katani, Mbunge wa Tandahimba 2015 - 2025. Mahojiano kamili👇 https://t.co/IiazQwy4xw
0
0
4
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
One on One with @2CharlesWilliam
0
0
2
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
https://t.co/Vlv3eHp1Cn Wakili Madeleka kwenye One on One with @2CharlesWilliam
0
0
3
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
Mahojiano ya One on One na Wakili Peter Madeleka kupitia @wasafitv https://t.co/Vlv3eHp1Cn
2
1
14
@2CharlesWilliam
Charles William
9 months
Jumatatu ya tarehe 23 Juni 2025 nitakua na Wakili @PMadeleka katika One on One ya Wasafi TV kuanzia saa moja kamili usiku. Usikose!!
3
7
41
@2CharlesWilliam
Charles William
10 months
Kipindi ni One on One with @2CharlesWilliam kila Jumatatu, saa moja usiku @wasafitv
7
10
266
@2CharlesWilliam
Charles William
10 months
Nilipofanya mahojiano na Mhe. Waziri Jerry Silaa katika kipindi cha One on One @wasafitv
3
1
22
@2CharlesWilliam
Charles William
10 months
Sasa Mzee wangu Hashim Rungwe ataenda kuongeza idadi ya wagombea katika uchaguzi. Hali ilikua ngumu sana kwake kama alivyonieleza katika mahojiano ya One on One kupitia @wasafitv
5
21
194
@2CharlesWilliam
Charles William
10 months
Nilipozungumza na Mzee Hashim Rungwe kwenye One on One @wasafitv
6
11
169
@2CharlesWilliam
Charles William
11 months
Kanuni kuu ya kuwa MUONGO MAHIRI ni KUTOKUA MSAHAULIFU. Kwa lugha nyingine; unakua muongo mpaka wewe mwenyewe unauamini huo uongo kuwa ndio ukweli. Lakini wakati unafanya hivyo, kumbuka Amri Kuu za Mungu, amri ya 9 ni “Usiseme Uongo”.
2
3
29
@2CharlesWilliam
Charles William
11 months
Dini na Siasa havitenganishiki? Sheikh Ponda amenijibu hivi;
3
11
47
@2CharlesWilliam
Charles William
11 months
Nimezungumza mambo mengi na Sheikh Ponda Issa Ponda kupitia One on One with @2CharlesWilliam, unaweza kutazama mahojiano kamili hapa https://t.co/l6rdv4uFHO
0
1
9
@2CharlesWilliam
Charles William
11 months
Mahojiano ya One on One na Sheikh Ponda Issa Ponda niliyofanya wiki hii: https://t.co/l6rdv4uFHO
1
2
20
@2CharlesWilliam
Charles William
1 year
Nilipozungumza na Mbunge wa zamani wa Nkasi Kaskazini Ally Mohamed Keissy kupitia One on One with @2CharlesWilliam
0
0
7
@2CharlesWilliam
Charles William
1 year
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Aretas Lyimo alipozungumza nami kupitia One on One with @2CharlesWilliam
1
1
11
@2CharlesWilliam
Charles William
1 year
Mdau wa Kiswahili, Joram Nkumbi anashauri Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia mpaka kidato cha nne ili vijana wapate maarifa zaidi badala ya kukariri vitu bila kuvielewa:
2
2
16