Wacheni niwaambie watu wangu ata kama mimi ni maskini,pesa mingi ni stress,utajiri ni mzigo mzito sana,Hakuna kulala ukikimbiza pesa yenye haitai tosha,And then when you decide to settle stress ya nani utaachia mali inaanza,Thats infact the rich mans biggest fear
@polo_kimanii
Why you trying to justify poverty bro. Umesahau there is no glory in poverty bana. Mimi nilisema hata kama magari na nyumba ni vitu vya kidunia wacha zipite kwa mikono yangu pia