Ingependeza sana serekali yetu itafute hii kitu,maeneo yote yenye speedlimit zifungwe hizi hii itasaidia kuondoa utata wa zile tochi za wale jamaa za ku edit,hapa ukizidisha speed picha inapiga auto na inatuma ripoti maramoja.
10
9
100
Replies
@maipambomteta Hii kitu niliwahi ikuta mbuga ya wanyama moja ipo maeneo ya pakwachi huko Uganda zimewekwa za kutosha hii ni nzuri sana.
1
0
1
@maipambomteta Itasaidia pia kukuza makusanyo ya fine kwa haraka na bila upotevu. Kuna kipindi walifunga pale ubena kitambo lakini
1
0
1
@maipambomteta Camera zenyewe zimekuwa za kitapeli hakuna kitu inakera kama personal impactkwenye haya mambo
0
0
1
@maipambomteta Hakuna haja bana Watengeneze njia nzuri na pana vyuma vitembee. Muda wa kusubiri siku hakuna. Masaa 16 upo tu kwenye gari
0
0
0