Explore tweets tagged as #DIZO
@gabyconscious
π™Άπ™°π™±πšˆ π™»π™Ύπš…π™΄πš‚ πšƒπ™΄π™²π™· 7.o
11 hours
UnaDiss Dubai This Dubai That unanifanyia marketing mwenzio leo ukisema Dubai watu X wote wanaRefer kwangu Hence, mauzoπŸ“ˆ Huu mwezi umekua mgumu ila so far tumeuza bidhaa zina thamani ya karibia 40m last month ilikua 70mβœ…πŸ«‘ Wadogo zangu Dizo na Baraka ONLINE kuna hela sio
51
61
314
@DizoFx
mwalimu wa diploma
7 days
Yupo forex trader ambae alishawai kupata skendo ya kufanya biashara ya viongo vya wanadamu apa Tanzania Muda mwingine msiwe tu mnapaparukia flex za wachizi wanaojificha kwenye mgongo wa forex Watu ni magaidi pumbavu
0
2
17
@DizoFx
mwalimu wa diploma
4 days
Yani kama mama aliekua anatokwa na damu miaka 12 alimgusa yesu pindo la vazi Adi yesu akaihisi kupungukiwa nguvu Unapata wapi ujasiri wewe kijana wa kulomba mama ikiwa hedhi Mikosi mingine mnajitakia tu Zamani walikua wanatengwa enyewe
2
1
9
@DizoFx
mwalimu wa diploma
4 days
Eti nimuache mke wangu Tanzania Nimuache mtoto wangu Tanzania Niache hali ya hewa natural Tanzania Niache kuku fresh Tanzania Kisa fursa niende kukaa kwenye nchi za watu Tena uarabuni kama omba ombaa Eti exposure Nyie watoto wa juzi wajinga sana
6
5
27
@DizoFx
mwalimu wa diploma
13 days
Mtazamo wangu wa maisha ulibadilika tangu nilipogundua akuna pesa simple Na ata ikipatikana simple Ipo siku italeta mambo magumu yatakayo chukua ile pesa yote kwa wakati mmoja
0
5
21
@DizoFx
mwalimu wa diploma
3 days
Hii wiki tu nimeingizaa zaidi ya million nane za kitanzania Nikiwa apa apa bongo wala sijaenda dubai Hii pesaa kwa apaa Tanzania nchi yenye asali na maziwaa Leo ijumaa nitatembelea sehemu za starehee nitakula mondee nzuri Na sehemu ya kulala nzuri Siwez kulaa hosteli
1
2
20
@DizoFx
mwalimu wa diploma
10 hours
Imefika jioni Usiku unaingia Kuna mpumbavu mmoja usiku wa leo atalala kwenye contena Uko uwarabuni Mimi niko kahama Nalala kwenye usingizi mwororo Alafu atasema exposure
0
1
3
@DizoFx
mwalimu wa diploma
2 days
Watu watadhani jamaa kaongea uwongo kwamba ajawai poteza pesa 1.7billion Mimi niliitwa moshi mwaka flan nikiwa chuo nikaacha masomo Nikaande investor akanipa usd 50k Karibia million130 Nakwambiaje kufika jioni amna ata kumi kwenye account Nilitoroka nikarudi chuo wangeniuwa
15
4
194
@DizoFx
mwalimu wa diploma
9 days
Weekend hivi ni kuzibua volatility tu Amna mahali atupo Tuna trade adi maharage
1
1
14
@DizoFx
mwalimu wa diploma
7 days
Mawazo yako ndo uhalisia wako Kua na utamaduni wa kila baada ya lisaa unajitamkia positive achievements
1
3
13
@DizoFx
mwalimu wa diploma
4 days
Ukijuaa forex umejuaa Akuna mambo ya connection wala cv Auitaji kwendaa kuishi dubai kulala vibarazani Machokoraaa wa ugaibuni
3
2
18
@DizoFx
mwalimu wa diploma
5 days
As long as naweza kupata laki kwa siku apa TANZANIA siwezi kuihama hii nchi Hii nchi ni tamu sana ukiwa na hela Kuliko utumie nguvu nyingi kutoroka nchi hii Tafta helaa tu uishi vizuri
7
10
127
@DizoFx
mwalimu wa diploma
12 days
Narudia tena Akuna strategy mahususi kwa pair flani Price ni fractal kwa maan ya kwamba chochote kinachofanya kazi katika price flani basi akina budi kufanya kazi kwenye price flan Tofauti inakuja kwenye namna ya ku aproach baadhi ya pair basi Ila njia ni zile zile
0
1
10
@DizoFx
mwalimu wa diploma
11 days
Pesa ni yangu kwanini nifiche lotsize
0
1
6
@DizoFx
mwalimu wa diploma
13 days
Kuna mwamba pale geita Anakula zake tu maisha na elkopta yake Akijiskia kwenda dar anaiwasha
15
26
519
@DizoFx
mwalimu wa diploma
6 days
Una chochote cha kuniambia mimi kama dizogold
3
2
14
@DizoFx
mwalimu wa diploma
11 days
Unaona nmeenza kampeni ya ku trade gold tu Cheki siku kadhaa wataiga
0
2
6
@DizoFx
mwalimu wa diploma
5 days
Unaenda ughaibuni kwenda kufanya kazi za fedheha kama kubeba mizigo Unaacha kwenu Tanzania ardhi ni nzuri fursa kibao madini mengi Alafu unakuja kutuambia mambo ya exposure Wengine awana ata pa kulala
2
3
28
@DizoFx
mwalimu wa diploma
3 days
Poa poa Amna noma Nmewasikiaa Me naongea kwa dolaa sibishani na walala vibarazani Walala hoi
0
1
14