@Kudu_ze_Kudu
Kuduishe Kisowile
1 month
Mabusha yanaepukika na YANATIBIKA. Wanaume wengi wanaopata mabusha wananyanyapaliwa na wanachelewa kupata matibabu. Tanzania imefanya upasuaji wa mabusha kwa wanaume zaidi ya 11,000 tangu 2021; ni mwanzo mzuri, bado tuna nafasi ya kutokomeza mabusha na matende ifikapo 2030!
4
9
41

Replies

@ZuwenaKhatib
Zuwena Khatib
1 month
@Kudu_ze_Kudu Nimemkumbuka marehemu Dr Mwele.
1
0
1
@Kudu_ze_Kudu
Kuduishe Kisowile
1 month
@ZuwenaKhatib Ikr. Tunajaribu kukeep up her memory and legacy
1
0
1
@OzikoJo
📌
1 month
@Kudu_ze_Kudu Tanga pale Referral Hospital(Bombo) kuna Mzee alifariki naona kisa Busha nikikumbuka alikataa kata-kata kuhudumiwa wakati alianza kuoza Korodani Hii Elimu ipelekwe sn Huu uwanda wa Pwani,Uelimishaji uzingatiwe🔨 kuwaondoa kwenye Hii IMANI POTOFU kwamba inaletwa na Maji ya Madafu
0
2
4
@AdoniasMusa
wanyajoge26
1 month
@Kudu_ze_Kudu Tupe deal boss huku wako wengi
0
0
0