Hansndengize Profile Banner
Hans Ndengize Profile
Hans Ndengize

@Hansndengize

Followers
98
Following
5K
Media
4
Statuses
774

SDG's champion

The Universe
Joined February 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
7 months
0
3
5
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
8 months
Happy Nane Nane Day #nanenane2025
0
1
2
@LilTunechi
Lil Wayne WEEZY F
10 months
Keep runnin dem streams up! Tha Carter VI out now!!! https://t.co/6mhdGvhBRW
723
2K
16K
@ManCityPT
Manchester City
10 months
🩵 @KevinDeBruyne 🩵
4
366
6K
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Kama mtumiaji wa mitandao ya kijamii, ni muhimu kujua hatua sahihi za kuchukua pale unapokumbana na aina yoyote ya unyanyasaji mtandaoni. Haya ni baadhi ya mambo ya msingi unayopaswa kufanya:
1
6
7
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
3. Hifadhi ushahidi: Tunza ushahidi wa tukio husika kulingana na mazingira ya tukio – iwe ni picha, video, chapisho, ujumbe (meseji), au sauti iliyorekodiwa. Ushahidi huu ni muhimu sana wakati wa kutoa taarifa kwa mamlaka au katika hatua za kisheria
1
4
4
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
4. Tafuta msaada wa kisaikolojia: Unyanyasaji wa mtandaoni unaweza kusababisha msongo wa mawazo, huzuni, au hata mawazo ya kujiua. Ni vyema kuonana na mtaalamu wa afya ya akili kwa msaada na ushauri wa kitaalamu ili kukabiliana na athari za kisaikolojia #elimikawikiendi
0
4
5
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
6. Udhalilishaji wa watoto au kusambaza maudhui yasiyofaa kwa umma #ellimikawikiendi Je, sheria inasemaje? @ElimikaWikiendi
0
4
5
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
2. Matusi na lugha ya kejeli kwa lengo la kumdhalilisha mtu 3. Uenezaji wa taarifa za uongo (uzushi) 4. Vitisho na matusi ya moja kwa moja kupitia ujumbe binafsi 5. Udukuzi wa akaunti binafsi na utapeli wa kidigitali
1
4
5
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la watumiaji wa vifaa vya kidigitali na hasa mitandao ya kijamii, hali hii imepelekea ongezeko la matukio ya kiunyanyasaji kupitia mitandao kama vile:  1. Matumizi mabaya ya picha na video bila idhini ya mhusika
1
4
6
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Je, kwanini ukatili mitandaoni unazidi kukithiri pamoja na sheria kuwepo?  #elimikawikiendi @ElimikaWikiendi
0
4
4
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Sheria hizi zinatambua unyanyasaji mitandaoni kama kosa la jinai, na zimeweka adhabu kali ya mpaka kifungo kisichopungua miaka mitatu kwa mtu yeyote atakayepatikana na hatia ya kushiriki katika vitendo hivyo. Lengo kuu ni kulinda haki, utu, na faragha ya watumiaji wa mitandao
1
5
5
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Sheria ya Makosa ya Mtandaoni ya mwaka 2015, na sheria ya Maudhui ya Mitandaoni ya mwaka 2020 zimekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza matumizi sahihi na salama ya mitandao ya kijamii. #elimikawikiendi #Funguka
1
6
10
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
3. Tamaduni ya jamii nyingi kwenye mitandao kukaa kimya badala ya kukemea wanapoona vitendo vya uaktili kwenye mitandao 4. Mapungufu katika utaratibu wa ripoti kwa vyombo husika Je, unapaswa kufanya nini unapokumbana na unyanyasaji wa mtandaoni? #elimikawikiendi
0
4
5
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Sababu zinazopelekea ukatili wa mitandaoni kuendelea kukithiri ni kama:  1. Uelewa mdogo kwa wananchi juu ya sheria zinazozuia na kukataza ukatili wa kijinsia mitandaoni 2. Hofu ya kuendelea kudhalilika hasa pale kesi zinapotaka kwenda mahakamani
1
6
7
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Je umewahi kufanyiwa ukatili wa kijinsia mitandaoni? Je umewahi kushuhudia mtu akifanyiwa ukatili wa kijinsia mitandaoni? au unafahamu mtu anayefanyiwa ukatili wa kijinsia mitandaoni? #elimikawikiendi #Funguka
1
6
6
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Funguka! Usikae kimya, chukua hatua, unaweza kusaidia mtu au kuokoa Maisha ya mtu,sambaza upendo. #elimikawikiendi #Funguka @ElimikaWikiendi
0
8
6
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
Unyanyasaji mitandaoni ni aina ya ukatili unaofanywa kupitia mitandao ya kijamii, ujumbe wa simu, ama njia yoyote ile ya kidigitali kwa lengo la kumdhuru mtu kihisia, kumdharirisha, kumharbia mtu hadhi yake mbele ya jamii, au watu wake wa karibu. #elimikawikiendi #Funguka
0
5
7
@ElimikaWikiendi
#ElimikaWikiendi
11 months
Kuendelea kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji mtandaoni, Je ni hatua gani muathirika anazopaswa kuzichukua? Wafuatilie @WiLDAFTz na @GjAssenga jumamosi hii kujifunza zaidi #ElimikaWikiendi
1
17
19
@WiLDAFTz
WiLDAF Tanzania
11 months
@wildaftz wishes you a happy international workers' Day. In this Day, we celebrate the resilience of women and men who rise every day to build our communities—at work, at home, and in society. Despite countless obstacles, they lead, nurture, and care with unwavering strength.
0
2
4