Hans Ndengize
@Hansndengize
Followers
98
Following
5K
Media
4
Statuses
774
Kama mtumiaji wa mitandao ya kijamii, ni muhimu kujua hatua sahihi za kuchukua pale unapokumbana na aina yoyote ya unyanyasaji mtandaoni. Haya ni baadhi ya mambo ya msingi unayopaswa kufanya:
1
6
7
3. Hifadhi ushahidi: Tunza ushahidi wa tukio husika kulingana na mazingira ya tukio – iwe ni picha, video, chapisho, ujumbe (meseji), au sauti iliyorekodiwa. Ushahidi huu ni muhimu sana wakati wa kutoa taarifa kwa mamlaka au katika hatua za kisheria
1
4
4
4. Tafuta msaada wa kisaikolojia: Unyanyasaji wa mtandaoni unaweza kusababisha msongo wa mawazo, huzuni, au hata mawazo ya kujiua. Ni vyema kuonana na mtaalamu wa afya ya akili kwa msaada na ushauri wa kitaalamu ili kukabiliana na athari za kisaikolojia #elimikawikiendi
0
4
5
6. Udhalilishaji wa watoto au kusambaza maudhui yasiyofaa kwa umma #ellimikawikiendi Je, sheria inasemaje? @ElimikaWikiendi
0
4
5
2. Matusi na lugha ya kejeli kwa lengo la kumdhalilisha mtu 3. Uenezaji wa taarifa za uongo (uzushi) 4. Vitisho na matusi ya moja kwa moja kupitia ujumbe binafsi 5. Udukuzi wa akaunti binafsi na utapeli wa kidigitali
1
4
5
Hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la watumiaji wa vifaa vya kidigitali na hasa mitandao ya kijamii, hali hii imepelekea ongezeko la matukio ya kiunyanyasaji kupitia mitandao kama vile:Â 1. Matumizi mabaya ya picha na video bila idhini ya mhusika
1
4
6
Je, kwanini ukatili mitandaoni unazidi kukithiri pamoja na sheria kuwepo? #elimikawikiendi
@ElimikaWikiendi
0
4
4
Sheria hizi zinatambua unyanyasaji mitandaoni kama kosa la jinai, na zimeweka adhabu kali ya mpaka kifungo kisichopungua miaka mitatu kwa mtu yeyote atakayepatikana na hatia ya kushiriki katika vitendo hivyo. Lengo kuu ni kulinda haki, utu, na faragha ya watumiaji wa mitandao
1
5
5
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Sheria ya Makosa ya Mtandaoni ya mwaka 2015, na sheria ya Maudhui ya Mitandaoni ya mwaka 2020 zimekuwa mstari wa mbele katika kuhimiza matumizi sahihi na salama ya mitandao ya kijamii. #elimikawikiendi
#Funguka
1
6
10
3. Tamaduni ya jamii nyingi kwenye mitandao kukaa kimya badala ya kukemea wanapoona vitendo vya uaktili kwenye mitandao 4. Mapungufu katika utaratibu wa ripoti kwa vyombo husika Je, unapaswa kufanya nini unapokumbana na unyanyasaji wa mtandaoni? #elimikawikiendi
0
4
5
Sababu zinazopelekea ukatili wa mitandaoni kuendelea kukithiri ni kama:Â 1. Uelewa mdogo kwa wananchi juu ya sheria zinazozuia na kukataza ukatili wa kijinsia mitandaoni 2. Hofu ya kuendelea kudhalilika hasa pale kesi zinapotaka kwenda mahakamani
1
6
7
Je umewahi kufanyiwa ukatili wa kijinsia mitandaoni? Je umewahi kushuhudia mtu akifanyiwa ukatili wa kijinsia mitandaoni? au unafahamu mtu anayefanyiwa ukatili wa kijinsia mitandaoni? #elimikawikiendi
#Funguka
1
6
6
Funguka! Usikae kimya, chukua hatua, unaweza kusaidia mtu au kuokoa Maisha ya mtu,sambaza upendo. #elimikawikiendi
#Funguka
@ElimikaWikiendi
0
8
6
Unyanyasaji mitandaoni ni aina ya ukatili unaofanywa kupitia mitandao ya kijamii, ujumbe wa simu, ama njia yoyote ile ya kidigitali kwa lengo la kumdhuru mtu kihisia, kumdharirisha, kumharbia mtu hadhi yake mbele ya jamii, au watu wake wa karibu. #elimikawikiendi
#Funguka
0
5
7
Kuendelea kukithiri kwa vitendo vya unyanyasaji mtandaoni, Je ni hatua gani muathirika anazopaswa kuzichukua? Wafuatilie @WiLDAFTz na @GjAssenga jumamosi hii kujifunza zaidi #ElimikaWikiendi
1
17
19
@wildaftz wishes you a happy international workers' Day. In this Day, we celebrate the resilience of women and men who rise every day to build our communities—at work, at home, and in society. Despite countless obstacles, they lead, nurture, and care with unwavering strength.
0
2
4