Decoull27 Profile Banner
SENIOR Eng. 🐐 Profile
SENIOR Eng. 🐐

@Decoull27

Followers
2K
Following
19K
Media
300
Statuses
12K

I am Eng. Decoull Servant Of The Gentle | Web & App Developer | Author | YouTuber | Crypto Enthusiast | Community & Content Moderator | Founder of Make Dollary

Joined September 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
2 years
27 JULY SIKU FURAHA ILIYOGEUKA KUWA YA HUZUNI KATIKA MAISHA YANGU. Siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita nilizaliwa, ilikua siku nzuri kwa wazazi hasa mom coz nilifanania siku yake ya kuzaliwa.Iliendelea kuwa siku nzuri kila mwaka. Kutokana na kufurahia siku hii na mama angu.
3
4
12
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
#YouTuber. Huwa inatokea video inakuletea Subs kwa wingi kuliko Revenue. Hii huwakuta YouTubers wengi. Na huwa kuna video yenyewe, ndio main core ya channel inaweza kuwa ulipost 5 years ago lakini ndio inaleta Subs wengi kila siku. Comment screenshot video yako kinara tuone!
Tweet media one
0
0
7
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
#WRC Tunakiwasha! Ni Kuanzia 20 - 23 Machi 2025, Naivasha itawaka moto na mbio kali za WRC Safari Rally! Sio tu rally, njoo uburudike πŸ‡°πŸ‡ͺ Kenya. Ruka na @MagicalKenya kupitia linki: kujifunza zaidi! #MagicalKenya # #TwendeKwaJirani #SafariRallyKenya2025
1
1
3
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
#WRC Tunakiwasha! Ni Kuanzia 20 - 23 Machi 2025, Naivasha itawaka moto na mbio kali za WRC Safari Rally! Sio tu rally, njoo uburudike πŸ‡°πŸ‡ͺ Kenya. Ruka na @MagicalKenya kupitia linki: kujifunza zaidi! #MagicalKenya # #TwendeKwaJirani #SafariRallyKenya2025
1
2
3
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
RT @IAMartin_: Mkifika mjini β€œmama, mama, mama” nyingi. Siyo mama yenu. Ni ukweli kwamba mama zenu vijijini hawana maji, hawana umeme, haw….
0
186
0
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
#YouTubers. Hakuna kitu kigumu kama kuwafanyia adoption audience ya YouTube from one Niche to another. US audience wako loyal sana kiasi unaweza jikuta wana Unsubscribe karibu Β½ ya Subs wako. Nini cha kufanya kabla hujachukua maamuzi ya kubadili contents?. Reply tujue!.
3
0
10
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
New Channel. 9 Days!. Hivi nitatoboa kweli? Wapi nakosea jamani? Siri ni nini ili niweze kuapata views wengi?. Hivi nawe huwa unajiuliza kama mimi? . Ebu tuone na wewe, form one mwenzangu!!
Tweet media one
Tweet media two
0
0
3
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
I already have 70 videos of this. 18 videos nimesha upload huko YouTube. Wenzangu muna ngapi ngapi huko?
Tweet media one
@gamutu255
Gamutu
5 months
Kama unaweza kujiongeza,, ingia youtube search 'BUDHISM WISDOM' tazama video za aina hiyo, transcibe audio,, nenda chatgpt rewrite transcript tafuta text to speech tengeneza voice over , tafuta footage pixabay au pexels,, tengeneza video, upload video 1 kila siku kwa siku 30
Tweet media one
3
1
7
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
4 months
#YouTuber. Ukitaka kutoboa huko YouTube, ukweli ni kwamba loyal Audience ni female. Hawa wakiangalia video zako ni mpaka bando liishe ndio wanatoka kwa channel yako πŸ˜‚. Ewe beginners jitafutie Niche yako na iwe based US, CA au UK.
0
4
17
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
Hii ilipaswa kuwa hivi. "ACHA KABISA MATUMIZI YA ENERGY DRINKS, USIPOWEZA PUNGUZA". For sure hivi vinywaji si vya kuvizoea inapaswa kutumia kwa dharura pale inapobidi.
@GilbertPaul095
MTANZANIA πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
5 months
PUNGUZA MATUMIZI YA ENERGY DRINKS, UKIWEZA ACHA KABISA πŸ™Œ.
0
0
2
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
"Mimi natoka, hivyo vyombo msioshe na ndani msifagie, muende mkacheze mpira, sawa".
@kalage_jr
John kalage πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
5 months
"Mimi natoka maharage acheni yaungue Baba yenu atakuja na nyama"
Tweet media one
0
0
1
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
YOUTUBE SEARCH TERM. Unafahamu nini kuhusu YT Search Term?. Umeshawahi kusikia kuhusu SEO?. Huwa unafanya nini unapopitia YouTube Analytics kwenye channel yako?. Huwa unapitia analytics za kila video?. Toa experience yako kwenye reply.
Tweet media one
4
1
7
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
YOUTUBER. Ni comment gani iliwahi kukukata kutoka kwa audience yako ya YouTube?. Nini ulifanya? Reply sceenshot tuone!. Mimi niliambiwa hivi nikabaki kucheka tu ila nilimjibu.
Tweet media one
0
0
7
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
Got me out here in the water so deep,. Tell me how you're gon' be without me,. If you ain't here, I just can't breathe,. There's no air, no air 🎢🎢. Jordin Spark ft Chris Brown - No Air.
0
0
0
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
Mi najiona niko vile vile tu, sijui kwanini sibadiliki. Hii ni 2016.
Tweet media one
@asapnyamsss
Chase Damani πŸ¦πŸ’Έ
6 months
what did you guys look like in 2016?.
1
0
2
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
Nimepata comment nyingi kwa wadau wanahitaji Swahili Version. Nitawapa siri, jinsi gani unaweza kutumia Tools zote bure. Je, wangapi wapo tayari kwa hilo, nataka kupika ebook ambayo itakufanya uanze YouTube na upate matokeo kwa haraka?
Tweet media one
2
0
3
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
5 months
Nani ambae hii Ebook haikumsaidia ijapokua alisoma, akaelewa na akafanyia kazi?. Nipeni comment kwa wale ambao mliwahi kupata ebook hii. Aidha kama hujawahi kuipata unaweza kulipa TZS 3500/- HALOLIPA 1029641 (MAKE DOLLARY). Kisha nicheck WhatsApp +255719427989
Tweet media one
1
1
10
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
6 months
Unachotakiwa kufanya ni kufikia ofisi ya Posta iliyokaribu nawe na uwaeleze. Hapo utapewa taarifa kuwa namba ya Postal Code yako ina exist kwenye ofisi ipi ya Posta yenye Box namba hizo. Nini unahitaji kujua kuhusu YouTube, Reply na Repost iwafikie na wengine.
0
0
2
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
6 months
Kama ulijaza kwa usahihi Address zako, kuna mahala ulijaza Postal Code/ Zip Code. Hizi namba watu wa Posta wao huzitafsiri ni Postal Box, hivyo huziweka kwenye sanduku ambalo linaendana na Postal Code uliyojaza kitu ambacho si sahihi. Wanaomiliki Box huzichukua na wasijue kitu.
1
0
2
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
6 months
YOUTUBER. Hii ni kwa wale YouTuber ambao hawajui hizi PIN VERIFICATION wanazipataje. Kuna wimbi la YouTuber kufanya Application lakini hawapati. Je, uliwahi kuomba bila kuweka Box ya posta?. Usichojua hizi Docs zimejaa kwenye ofisi za posta. Je unaipataje?
Tweet media one
3
3
22
@Decoull27
SENIOR Eng. 🐐
6 months
RT @TOTTechs: Leo imetimia miaka 5 toka tuanzishe jukwaa la TOTTechs hapa X/Twitter, TOTTechs kirefu ni Tanzanian on Twitter Technologies,….
0
30
0