Citizen TV Kenya
@citizentvkenya
Followers
7M
Following
16K
Media
558K
Statuses
892K
Kenya's Premier TV Station. Breaking News / Entertainment / Your Favorite Local TV Shows. Follow us on https://t.co/tPzCCpxeFt
Nairobi, Kenya
Joined August 2009
#AD When the crowd leaves, who cares for your family? Bima Life ensures they’re supported even after goodbye ✅ KSh 550 per year = KSh 50K ✅ KSh 1,050 per year = KSh 100K https://t.co/tI6GlNKFsJ
0
0
1
Matarajio ya 2026: Tunaangazia utendakazi wa serikali mwaka huu Mambo ambayo wananchi wanatarajia mwakani Rais Ruto aliaahidi kujenga Kenya kama Singapore Wakenya wengi wanalalamikia hali ngumu ya uchumi Serikali iliongeza ushuru wa mlipaji kodi mwaka huu #SemaNaCitizen
0
0
1
Ndoa za mseto Turkana: Mume asiye Mturkana lazima afanyiwe matambiko maalum Desturi za Waturkana kuhusu ndoa na makabila mengine #SemaNaCitizen
0
0
1
Uwiano wa wanasiasa Narok: Gavana wa Narok awahimiza wanasiasa wenzake kushirikiana MCA Masikonte na mwanasiasa Kudate waahidi kushirikiana #SemaNaCitizen
0
0
2
Uganda is known for its rich matoke culture and #KenyasGold went all the way to get that experience
0
0
1
Usafi wa wavuvi Kilifi: Wavuvi washauriwa kudumisha usafi wasikose soko la samaki #SemaNaCitizen
1
0
1
Mpango wa tujiaajiri Mombasa: Serikali ya kaunti yazindua mpango wa kutoa ajira kwa vijana #SemaNaCitizen
0
0
1
Sekta ya afya Nyanchwa: Mitambo ya Hospitali ya SDA Nyanchwa Kisii ilizimwa miezi mitano iliyopita Hospitali ya SDA Nyanchwa yazindua mpango wa kuboresha huduma #SemaNaCitizen
0
0
0
Udhibiti wa itikadi kali za dini: Serikali yashirikiana na viongozi wa dini kudhibiti uhalifu #SemaNaCitizen
0
0
1
Tamasha ya Piny Luo 2025: Tamasha ya kila mwaka ya jamii ya Waluo yaanza rasmi Tamasha yaanza katika Chuo Kikuu cha Rongo, Migori #SemaNaCitizen
0
0
1
Wanahabari na amani: Waandishi wa habari wahimizwa kuhubiri amani Mkutano wa pili wa kila mwaka wa wahariri wafanyika Wajir #SemaNaCitizen
0
0
0
Dereva Pius Ngugi yuwapi? Dereva aliondoka nyumbani na mteja siku 11 zilizopita Familia yake yasema haijui aliko tangu wakati huo Simu yake iliripotiwa kuzikwa eneo la Athi River #SemaNaCitizen
1
0
0
Kisunzi cha gredi ya 10: Taasisi ya Mtaala yaondoa hofu ya uhaba wa vitabu KICD yakiri vitabu havijachapishwa kutokana na madeni Serikali yaahidi kuwalipa wachapishaji vitabu #SemaNaCitizen
0
0
2
KNEC warns against against fake KJSEA analysis by schools
citizen.digital
The Kenya National Examinations Council (KNEC) has cautioned schools against misleading the public with fake or inaccurate analyses of the Kenya Junior School Education Assessment (KJSEA) results.
0
0
0
Ufadhili wa elimu: Dkt Omollo asema serikali imejizatiti kuimarisha sekta ya elimu #SemaNaCitizen
0
0
0