BugandoC Profile Banner
bugando medical centre Profile
bugando medical centre

@BugandoC

Followers
2K
Following
247
Media
606
Statuses
625

all about BMC

Mwanza
Joined May 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@BugandoC
bugando medical centre
25 days
Tuna mashine, vifaa tiba na madaktari bingwa wa kuchunguza na kutibu saratani ya mapafu.
0
0
1
@BugandoC
bugando medical centre
2 months
MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI YAHITIMISHWA RASMI BUGANDO Hii leo Septemba 18 Septemba, 2025 Hospitali ya Bugando imehitimisha mafunzo kutoka kwa wataalamu wabobezi wa tathmini na ufuatiliaji kutoka wizara ya Afya.
0
0
1
@BugandoC
bugando medical centre
3 months
Salamu za Pole
0
1
9
@BugandoC
bugando medical centre
3 months
Mafunzo ya mfumo wa ufuatiliaji na tathimini kwa watumishi yamehitimishwa rasmi hii leo Septemba 16, 2025 huku yakiwa yamenufaisha Menejimenti pamoja na watumishi wa kada mbalimbali katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando.
0
0
4
@BugandoC
bugando medical centre
3 months
MAFUNZO YA KUKABILIANA NA MSONGO WA MAWAZO YATOLEWA KWA WATUMISHI WA TIBA NA MAFUNZO. Idara ya Afya ya akili leo Septemba 2,2025 kupitia kitengo cha saikolojia kimeendesha mafunzo kwa watumishi wa Tiba na matunzo (CTC ) juu ya kukabiliana na msongo wa mawazo kwa wagonjwa.
0
0
11
@BugandoC
bugando medical centre
3 months
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando inaendesha mafunzo ya tiba shufaa (palliative care) kwa wafanyakazi wa Idara ya saratani katika kuhakikisha inaboresha maisha ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya muda mrefu ikiwemo ugonjwa wa saratani.
0
2
15
@BugandoC
bugando medical centre
4 months
HOSPITALI YA BUGANDO YAPOKEA WATAALAM KUTOKA VENDERBELT UNIVERSITY KWA AAJILI KAMBI MAALUM YA UPASUAJI WA MFUMO WA FAHAMU.
0
2
22
@BugandoC
bugando medical centre
4 months
BUGANDO YAENDELEA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA. Washiriki na wawakilishi wa Miss Universe Tanzania 2025 kutoka Kanda ya Ziwa wametembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando Leo julai 25, 2025 lengo likiwa kuchangia damu.
0
0
7
@BugandoC
bugando medical centre
4 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani"
0
0
3
@BugandoC
bugando medical centre
4 months
Fr. Paulo Chobo kwa niaba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini, Mhashamu Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza Renatus Leonard Nkwande Kwa niaba ya Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), amemtambulisha rasmi Sr. Dkt.Alicia Massenga kwa watumishi na uongozi wa Bmc.
0
0
4
@BugandoC
bugando medical centre
4 months
kiwa ni Jubilee ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa kwaya ya Mtakatifu Yuda Thadei Epifania Bugando Leo Julai 20, 2025 wametembea Wagonjwa wa fistula katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando lengo likiwa ni kutoa matendo ya huruma kwa wagonjwa.
0
2
9
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
MADAKTARI NA WAUGUZI WAPATA MAFUNZO YA HUDUMA ZA DHARURA BUGANDO.
1
1
21
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani" @cloudsfmtz @cuhasbugando @rs_mwanza @mwachas_bugando @millardayo
0
0
4
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
DESK AND CHAIR FOUNDATION WATOA VITI MWENDO VYA KUBEBEA WAGONJWA 12 KWA WAGONJWA WA SARATANI BUGANDO.
0
1
9
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani"
0
2
5
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani"
0
1
7
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani"
0
0
3
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
Wizara ya Afya nchini ikishirikiana na shirika la CDC Tanzania pamoja na wadau wa maendeleo MDH Leo July 11, 2025 wametembelea Idara ya maabara ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando .
1
0
12
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani" @cloudsfmtz @cuhasbugando @rs_mwanza @mwachas_bugando
0
0
6
@BugandoC
bugando medical centre
5 months
"Kimbia changia Matibabu ya Saratani"
0
3
8