Watu wenye Dstv makwao wanakuaga na mbwembwe sana
Sijui button gani wanabonyeza yanatokea yale machannel mengi mengi mradi akuvuruge tu wewe mgeni 🙆🏽♂️
So guys kuweni makini
When you’re jogging pembezoni mwa bahari
My dad amegongwa na gari asubuhi
(Hit and run)
Maeneo ya polisi mabatini
Kavunjika mguu but anaendelea vizuri kidogo
Uko zako harusini umependeza ukumbini umezungukwa mezani na maua mazuri
Mara unamsikia MC
“francis unaitwa na bi mkubwa jikoni ukabebe chakula cha mbwa”
But y’all a date sio lazima mkale
Y’all can go on a GYM workout Date
Hiking date
Beach walk date
Shopping date
Cycling date
Swimming date
Something different to make it enjoyable and fun wengine mkishiba mnawazaga mrudi kwenu tu mkanye
Nna mwanangu ameishi ulaya almost 25 years sasa he came back like 3 years ago
Hajai toka nje ya Dar zaidi ya Zanzibar
Leo ameondoka kwenda Singida
Kufika Chalinze tu analalamika kiuno kinauma eti mbali anataka ageuze 😂😂😂😂😂
Jamani tuwaoneeni Huruma hizi new businesses zinazotangaza bidhaa zao humu
Mtu ndo kwanza ameanza mnamvamia kuomba RTs
Best way support kwa ku nunua kwanza
Kuanza na kuanza tu upewe bure jamani? 🤦🏾♂️