BaggoJunior04 Profile Banner
Muhammad Baggo Profile
Muhammad Baggo

@BaggoJunior04

Followers
0
Following
121
Media
5
Statuses
13

Kila siku ni nafasi mpya ya kuleta mabadiliko.

Ruvuma, Tanzania
Joined September 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 years
"A manager's job isn't easy. If 20 years as a consultant, psychologists, and professor of business has taught me anything, it is a profound sense of respect for the men and women who choose management as a career." ✍🏽Marvin Karlins.
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
1 month
The most interesting chapter of your life has not yet been written. Dream, create, achieve, inspire. #mtumishiwawatu🇹🇿
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 months
Nimeshiriki hafla ya Maulid ya Madrasat Jumuiyya iliyopo Kisumu Magomeni, Dar es Salaam. Mjumuiko huu umekuwa ni fursa ya kujifunza mengi toka kwa viongozi wetu wa Dini. Mola Karim azipokee kheri zetu hizi na atudumishe katika amani ili tuzidi kustarehe. #mtumishiwawatu🇹🇿
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
3 months
Nilipata nafasi ya kushiriki maandalizi na kuhudhuria Maulid ya Mtume (S.A.W) kwetu UHURU MADRASAH tarehe 13.09.2025. Hakika ilikuwa ni nafasi ya kihistoria hasa kukutana na watu mashuhuri, kupata nasaha za viongozi wa dini na kuburudika na Qaswidah zenye naghma mbalimbali.
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
3 months
Ewe Mola wetu, kwa huruma yako tusamehe jumla ya makosa yetu, tunyime hila za kukuasi na tupe nguvu za kukuabudu. Tupe nyoyo laini ili tuwaombee mema jamaa zetu kabla ya kujiombea sisi. Wasamehe marehemu zetu, nasi tupe mwisho mwema na utukutanishe nao peponi Yaa Rabb! 🤲
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
8 months
Eid un Sa'iid🤍
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 years
Peponi kuna mlango unaitwa Al-Rayyaan, mlango huo ataingia yule ambae aliyefunga na akiingia tu mlango huo hujifunga na hatoingia mwengine yeyote! 2 Ramadhani, 1445 = 12 Machi, 2024.
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 years
Alhamdulillaah tumeufikia tena mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ni wasaa wa kuzidisha mema na kuacha kabisa maovu. Mola Kareem atuwepesishie katika kutekeleza ibada zetu, atukubalie ibada zetu na atulipe malipo bora zaid InshaAllaah. Nawatakia Ramadhani yenye baraka.
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 years
Heri ya siku ya UHURU Tanzania yangu. Hizi ni jitihada thabiti ambazo wazee wetu wakiongozwa na Mwl. Julius K. Nyerere walizifanya kwa faida ya kizazi hiki. Na sisi tuwawekee mazngira bora watanzania wa kizazi kijacho. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. 🇹🇿🥰
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 years
Tunaungana kama watanzania kwa pamoja na wahanga wa majanga yaliyotuka Hanang hv karibuni. Mola Kareem awapokee na awaweke mahali stahiki ndugu wote waliopoteza maisha, awape pona yenye nafuu majeruhi wote, awape subira wafiwa na wauguzi wote. Aamiyn 🤲🏽
0
0
1
@BaggoJunior04
Muhammad Baggo
2 years
0
0
1